Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kwanza tunashukuru kwa kuunga mkono juhudi, pili sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za kitaifa zimeisha? Tatu hawa jamaa wasipewe maiki wasalimie watambulishwe na kupunga mkono tuu hawaaminiki hawa miaka yote wazingue leo wamegundua nini.
 
Wanafikaga ujerumani kwa Kubembwa tu sio jitihada zao.
 
Hii mbinu wangetumia toka mwanzo wangefika mbali sana
 
Kwanza tunashukuru kwa kuunga mkono juhudi, pili sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za kitaifa zimeisha? Tatu hawa jamaa wasipewe maiki wasalimie watambulishwe na kupunga mkono tuu hawaaminiki hawa miaka yote wazingue leo wamegundua nini.
Kamanda Mbowe anatisha sana mbona mnaanza kuteteneja si mna majeshi na mabomu?
 
Tangu mwaka 2015 sijawahi sikiliza hotuba yoyote ya vimaadhimisho vyovyote naonaga short crip mitandaoni ila tarehe 9/12/2019 nitapika kahawa chupa nzima na kashata zangu najifungia ntaangalia kila hatua .
Mimu sijawahi kuooteza muda kusikiliza hotuba yoyote ya huyu Bwana, maama.majya hamna kitu. Itakuwa mara ya kwanza kuvuta attention tangu. Because of Brilliant H.E FREEMAN MBOWE.
 
Unajipendekeza mpk unakera ndugu, utakuwa siyo mzima wewe.
Halafu kuna mahali amesema alisoma Ujerumani. Mtu hajui kutofautisha AGP (Silo) na (IGP) Sirro anabaki kubwekabweka tu. Ndio hao ccm inaendelea kuwepo kwasababu yao.
 
Makonda ndio alitekeleza kwa Amrit ya mzee baba
 
Kentanyola motele mwana.naona dawa imewaingia sasa mnnaanza kuzinduka.kwa nini mlikua hamhudhurii tokea mwanzo? Nguruwe hasusiwi shamba la mihogo
 

Hili ni bandiko la mwanaume mwenye tabia za kike.
 
..hizo ni ndege za magufuli siyo za waTz.

..zingekuwa za waTz zisingeandikwa campaign slogan za magufuli.
Pia watanzania wangeshirikishwa kwenye manunuzi kwa sasa hatujui chochote kuhusu ndege zaidi ya kuziona tu. Alafu unasema ndege za watanzania?
 
Hili ni bandiko la mwanaume mwenye tabia za kike.
Sosa’s ni sayansi na sayansi ndo imetumika hapo.....naaamini rais wetu atashinda hili katibu I kubwa kabisa katika maisha yake
 
Wewe umelewa, au umevuta sigara kubwa?
Nilitaka kukujibu hoja kwa hoja, lakini hustahili kupewa heshima hiyo.

Mfuatilie vizuri huyu member, huwa anajisifia kasoma Ujerumani na mke wake eti ni mjerumani, anasema hata hilo jina la kwenye id Ni la mkewe! Ana pointless za hatari na hujiona bonge la msomi mzalendo. Sasa pata picha anaandika post ndefu yenye kejeli na kujipendekeza juu, huku akiwa na tatizo kubwa la kuandika kwa ufasaha, kuna post moja nilimpa vitu vyenye ncha kali mpaka akatia akili. Ni mtu aliyechanganyikiwa
 
Wapiga kura wepi wa kuwa na imani? Kama wangekuwa wachache sanduku za kura zingekuwa zinaibiwa na kuporwa? Mbona mnadanganyika sana na propaganda za CCM kuwa ndio wanaopata kura za wapiga kura? Kwa nini wanatumia hila kama wanakubalika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…