Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Ili kudhibiti hili la kunangwa ilibidi wanachadema uwanjani wawe wengi sana ili akizidisha majungu naye azomewe kwa nguvu zote huenda ataacha.Akiongea vizuri wamshangilie akibugi wapige buuuuuuuhKwenda kunangwa hilo lisisahaulike. Ngoja tuone japo sioni kama jiwe ana staha kwa wapinzani hasa cdm
Wakati wa kuingia inabidi CDM wawe wanavizia wanaCCM wanavyoingia nao wanaunga hapohapo ili wasizuiwe na wanausalamaKimsingi ccm hawataki viongozi wa cdm wahudhurie hizo hafla kwani viongozi wa cdm huwa wanashangiliwa sana, jambo ambalo huwakera sana viongozi wa ccm na ccm kwa ujumla.
WatakudakaKudadeki nasafiri kutoka nyasa kwenda Mwanza nikiwa na Tshart imeandikiwa Lisuu unafaa uwe raisi 2020
Exactly hiyo ndo dawaNawashauri wananchi watakao kuwa uwanjani, iwapo kutatokea kejeli, matusi na udhalilishaji wajibu mapigo kwa kuzomea sana kauli hizo.
Wasiogope maana kushangilia na kuzomea zote ni kelele.
Tutaheshimiana tuu.
Ha haha, nyaani nguo ya kutokea ni shati la kijani? Tutake radhi "sisi wanaccm" maana itaaminika kuwa tunavyojaa sherehe nyingi mfano Kipaimara, Arobaini, kupokea ndege nk tukiwa tumetinga kijani wakati sio sherehe ya chama sio mapenzi ya chama bali ni nguo za mtoko.Usitishe watu we taahi. , siku pekee ambayo Watanzania hawaruhusiwi kuvaa sare za vyama ni siku za uchaguzi tuu!. Siku nyingine zote, rukhsa kuvaa sare za vyama, tena kwa umasikini huu uliotopea, watu wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea wa kutupwa, kuna wengine sare za vyama ndizo nguo pekee za kuulambia walizo nazo na nimezishuhudia hadi siku ya Krismasi, hivyo wenye sare zenu, ulambieni nazo bila kuogopa chochote!.
P
We jamaa kwani Ndege waliyotumia Kilimanjaro Stars kwenda Uganda ni ipi?Sasa kwenda Mwanza kutoka Dar wanakofanya kikao watasafiri na ndege zipi? Zile wanazozikashifu au watatumia ungo? Hiki chama kinafurahisha sana, yaani hata sherehe kubwa kama hizi bila figisu figisu za kisiasa haiwezekani. Tanzania kwanza mengine baadaye.
Na hicho ndicho tunachokitaka wananchi kwa ujumla tutajitokeza kwa wingi haijawahi kutokea na rais akithubutu kuongea maneno na lugha zake za kejeli tutaondoka kimya kimya na kumwachia jukwaa lake na wanaccm kiduchu 😅😅😅😄😃😂Ngoja wakaambulie matusi na masimango!!
Halafu kuna mahali amesema alisoma Ujerumani. Mtu hajui kutofautisha AGP (Silo) na (IGP) Sirro anabaki kubwekabweka tu. Ndio hao ccm inaendelea kuwepo kwasababu yao.
Mkuu una hoja za kipuuzi sana.Mimi sio msukuma lkn huwa siangaiki na anapoongea kisukuma. Anaongea kisukuma kutokana na hadhira iliyopo na sijawahi msikia mnananchi wa kawaida akitoa povu zaidi ya bavicha wa kwenye media..lingine Jiwe asijisahau na kuanza kuzungumza KIKABILA.
..hizi ni sherehe za kitaifa, pamoja na kwamba zinafanyika kwao Mwanza.
Huyo hana AKILILini rais aliongea kikabila ambacho Watanzania walengwa hawakuelewa? Akiongea Kiingereza ni sawa au sivyo?
Waambie viongoz wako wasiwe wanapanda...hizo ni ndege za magufuli siyo za waTz.
..zingekuwa za waTz zisingeandikwa campaign slogan za magufuli.
Mkuu una hoja za kipuuzi sana.Mimi sio msukuma lkn huwa siangaiki na anapoongea kisukuma. Anaongea kisukuma kutokana na hadhira iliyopo na sijawahi msikia mnananchi wa kawaida akitoa povu zaidi ya bavicha wa kwenye media
Inafuatana na Nature ya kiongoz mwenyewe. Magufuli akiwa Mbeya atajitahidi atupie hata kakinyakyusa kidogo na hadhira iliyopo inafurahi sana,Dodoma, Arusha na kwingineko hufanya hivo. Nachoona una Chuki binafsi kiasi upuuzi kwako nayo ni hoja.Jpm ni mtu anayetukuza asili tofauti na hao wengine unaowataja. Kila anapoenda anapenda aendane na watu wa huko.Unataka kusema JPM hata alipoenda Kigoma aliongea kisukuma?..kuna wakati huyu mzee anajiona ni raisi wa kule, na wakati mwingine raisi wa waTz wote.
..mbona nyerere, mwinyi, mkapa, kikwete, hawakuwahi kuongea lugha za makabila yao?
We ni mshamba saaana unafikiri njia sahihi ya kulinda amani ni kwa kuwamaliza wale wote wenye mawazo tofautiKatika yako na mimi nani atakuwa mgonjwa?
Mimi sijipendekezi isipokuwa tofauti yangu na yako ni kwamba mimi najua hathari za vita wakati wewe huzijui. Nyie mda wote mnawaza kula Bata tu kwa kuwa terolize watanzania kwa vitendo vyenu vya kueneza uongo usio kuwa na miguu wala mikono. Watu wazima kazi zenu kupiga kelele za uongo tu kuhusu Rais wetu na serikali yake.
Ninge wish Magufuli angekuwa diktekta kweli akawamaliza nyote nyie. Nyie ni wahuni tu msio jua misingi ya kuwa na amani kwa maendeleo yetu.
Mimi wakati nasoma Ujerumani nimesha wahi fanya kazi kwenye makambi ya wakimbizi wa Rwanda na Burundi niki fanya translation. Wakimbizi walinifurahia sana walipo sikia mimi ni mtanzania, nafikiri walijihisi mimi ni nwenzao kwa utanzania wangu.
Action hii ilinifanya nimkumbuke baba wa Taifa Mwalim Nyerere kwa jitihada zake za kuondoa hitlafu zetu za kikabila, kidini na kiitikadi kwa kutupa lugha moja ya kiswahili.
Amani ni tam na ni thawabu kubwa kuliko uroho wenu wa madaraka na ruzuku kutoka serikalini.
Bavicha mwenzio joka kuu anasema hizo ndege ni za Magufuli. We unasema ni za wananchi. Ebu kutaneni chamber mje na msimamo mmoja.Hata wakizikashifu haiondoi maana kuwa hata wao ni zao. Fedha zilizonunulia hata kama kwa utaratibu mbaya bado zao, gharama za uendeshaji bado zao nk.
Kwanza wanachama na wapenzi wa Chadema ndio wachangiaji wakubwa wa kodi maana ndio wasomi wengine wenye kazi nzuri, biashara nzuri na kubwakubwa tofauti na CCM ambayo wapenzi wake na wanachama wengi hawana elimu, masikini na wazee.
(Hiyo sisemi Mimi lakini ni tafiti ya Twaweza)
Mmekua kama watoto kila kitu kulia lia. Yaani hata akiongea kisukuma ni shida hahahahahahahWe ile lugha ya kuchungia ng'ombe anayochanganya Mara nyingi unadhani kila mtu anamuelewa?
We wengine wanakula nyama kila siku lakini hawajawahi kumuona huyo ng'ombe
Waambie viongoz wako wasiwe wanapanda.
Mkuu acha upuuzi. Hotuba ipi ya Magufuli kahutubia kwa kisukuma tu?Yaani anaongea na watu ambao asili yao wengi ni wasukuma, akitupia tumaneno tuwili tu basi shida?Kuna mda nilikua nakuona mtu wa maana lkn saiz we ni takataka tu kwa Hoja hizi..huko kwa makabila mengine huwa anasalimia tu.
..lakini akifika Usukumani inakuwa habari nyingine.
..tuwe wakweli kwamba kila kiongozi akiamua kuiga mfano huu wa Magufuli bado tutakuwa na nchi, au tutagawika vipande vipande.
..Pamoja na tatizo la ukabila, kuna tatizo la matamko ya kidini-dini ktk shughuli za kiserikali.
..TUJISAHIHISHE.