Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

[emoji24][emoji24][emoji24] Changia hoja please! Usiwe illiterate namna hiyo na kuwa mnafiki katika personal matters. Haisaidii kitu kuwa na Personal hatredy na mimi. Mimi ni mtanzania ambaye naipenda nchi yangu na watanzania wenzangu ikiwemo na wewe. Sina Sababu ya kwenda deep kwenye ugomvi ambao wewe wala mimi hautatusaidia. Acha vitendo vyako vya unafiki na provocation mara moja na concetrate na maisha yako!

Mimi sio mungu wako na wala sio mtu aliyekufanya wewe usiendelee na maisha unayo yatamani, lakini hujayapati na wala hutegemei kuyapta.

Matatizo yako na familia yako usinifanye mimi nika husika kwa namna moja au nyingine. Kama wewe mwenyewe unayachezea maisha yako kwa kushinda mtandaoni usitegemee wengine nao kuwa kama wewe. Uchawi unaanza na husuda na ndiyo hapo mtu anapo anza kuzuia maendeleo yake na familia yake kwa ajili ya mafanikio ya mwenzake.

Nikutaarifu tu kijana wa Uswahilini, usilo lijua wewe sio ndiyo mwenzako halijui pia.
Kwenye nchi za wenzetu CV na References za experience ya maisha ni vitu common sana na vina-matter kuliko maneno matupu.

Nikichangia hoja na katika hoja yangu nika indicate msemo kama; "nilipokuwa ujerumani nasoma..." hiyo sio sifa bali ni reference in the context ya hoja. Ni kitu cha kawaida katika discussions, comments au uchangiaji wa hoja.

Nakupa mfano; Wazungu wakiwa kwao na kuzungumzia mambo ya Afrika au tabia za wanyama au watu Tanzania, mara nyingi utasikia kwenye context ya hoja wanaanza na maneno kama; "nilipo kuwa Serengeti... au Zanzibar ...". Hapa sio kwamba anajisifu, la hasha, bali anataka msikilizaji au msoma hoja yake aelewe kuwa hayo anayo yaeleza sio fantasy, bali ana i-refer hoja yake na experience aliyoipata aidha Serengeti au Zanzibar. Lakini kwa vile wewe mkoma huelewi hilo, tayari unawaza kuwa huko ni kujisifa, majivuno na kejeli. Ya nini hayo yote? Hii ni attitude ya kuendeleza umasikini wa akili. Ni sawa sawa na kujichimbia kaburi mwenyewe.

Makosa kama "AGP" badala "IGP" hayo ni makosa yanayo itwa syntax error au semantic error. Hai husiani chochote na kuchanganyikiwa kwa akili wala kuwa mjinga. Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa hata wewe kwenye hoja zako unazo changia kuna makosa kama hayo. Zaidi ya hayo nafikiri uta elewa kuwa mara nyingi tuna tumia Smart phones tukiwa mtandaoni na wakati huo huo mtu anakuwa safarini kwenye gari, treni au ndege wakati anaandika, kwa hiyo ni kawaida makosa ya haina hiyo hutokea. Jitihidi kuelewa mambo in context.
Usikakamae na Behavior za watoto wa darasa la pili.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe jamaa ni choo sana. Ni nini hii sasa? Ndiyo, nimesoma masomo ya juu Ujerumani kwenye Faculty ya Mechanical Engineering. Subject Areas zangu ni Process Engineering (Bachellor) na Design Engineering (Masters) So what?

Zaidi ya hayo ndiyo, nina utaalam wa CAD (Computer Aided Design) katika Tools za CATIA V5 na Siemens NX. Je, unajua ni vitu gani hivi?

Na kama isitoshe, kikazi ili niweze kuwa na Access kwenye CAD Data zilizo kuwa Served kwenye Data Base kama PDM/PLM System na SAP nina tumia VPM (Virtual Processing Manegement Programs), wenyewe wanaziita "Interfaces" kama; 3D comm, ENOVIA VPM, PRISMA, SMARAGD na TEAM CENTER kutegemeana na projects na kampuni uliyoko.

Kwa maelezo yangu hayo mafupi kuhusu utaalam wangu uta make up your mind mwenyewe kutambua mtu mwenye qualifications kama hizi atafanya kazi wapi? Sitaki useme tena nanajisifu. Ningependa tu u aknowledge kuwa ninazo Qualifications na skills za vitendo na sio tu za nadharia, kama wengi wetu wanao jifanya wasomi nchini, lakini pindi wanapo pewa madaraka na mkuu wa serikali, kushindwa kuperform vizuri.

Je, cockroach hiyo sio skills za kuniwezesha mimi "sokwe" wa Afrika ku-compente na watu wa ulimwengu wa kwanza kwenye majukwaa makubwa ya kimataifa na kuniwezesha mimi na familia yangu kuishi maisha ya kula bata?

Ni elimu yangu cockroach na nimeisotea mwenyewe. Hakuna mtu ataninyang'anya cockroach. Na wewe endelea kulia tu cockroach na kuni kejeli. Mimi si ndiyo napiga maisha hivyo! Nina shida gani tena cockroach?


Aiseee! Nafikiri hapa una matatizo makubwa sana ya kiakili au wivu. Maneno ni jina langu na Meier ni jina la ukoo wa mke wangu. Sasa tatizo hapa ni nini? Sijakueleza kuwa mimi naitwa Maneno Meier. Meier siyo kibongo changu. Mtu akiandika kitu jitahidi kukisoma kwa umakini ili uelewe na usipende kuleta uzushi usio eleweka, hiyo sio tabia nzuri ya wanaume, kama wewe ni mwanaume kweli, mimi naona ni tabia ya kike! Mbona unajiabisha na kujidhalilisha mwenyewe brother?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeshinda kwa kuni provoke! Wewe kweli sikuwezi! Nakunyooshea mikono! Ila ningependa kulitoa moja tu la mwisho.

Please! Please! Please! Naomba usisome magazeti yangu kama wewe haikupendezi. Wewe haya kuhusu hayo. Nayaandika kwa ajili yangu na nafasi yangu kwa jinsi ninavyo ona ina paswa na kunipendeza mimi kuchangia hoja. Hakuna mtu ana kulazimisha kuyasoma.

JF ni Plattform huru ambalo lina mpa kila mtu dunia uhuru wa kutoa au kuchangia mawazo yake ya moyoni kwa kuzingatia taratibu za good neighborhood with each other, wenye kupendezewa na hoja watasoma na wale wasio pendezwa nayo waache. Sijajua kama kuna utaratibu mwengine wa kuchangia hoja JF. Kama kwako ni pumba au texts ni ndefu acha! Usiumize kichwa na kujipa Stress zisizo na sababu!

Mkuu hongera sana hii ndio ilikuwa mawazo ya founders wa JF pamoja na mambo mengine ya kupeana taarifa za kuivusha Tanzania, leo hii imebadilishwa kuwa kijiwe cha upotoshaji. Watanzania tubadilike maana nchi yetu tutajenga wenyewe tuache hizi propaganda ambazo haziwezi kuinua maisha ya Watanzania. Ni aibu kubwa wazungu wanakuja kuiba na kupora rasilimali zetu kwa kutumia ndugu zetu. Lets wakeup and build our country.
 
Nenda kwanza kapate degree ya mkopo wa Magufuli, halafu ndiyo uje JF uchangie hoja ambazo zina substance.

Ina elekea mambo ya kike ndiyo kazi yako hiyo unayo ijua vizuri. Sorry Ngumbaru!

Mkuu safi sana utawafahamu tu hawa, wako wengi humu wana kazi moja tu kukashifu na kufikiria Watanzania wote ni mbumbumbu kama wao. JPM amebadili mind-set ya Watanzania na Afrika kwa ujumla (game changer) kwa wanaojitambua, lakini hawa pimbi bado wana mawazo mgando.
 
jambo jema lazima lipongezwe but why now
Mapambano mapya lazima yameanza. Tuangalie CDM watatupa stail ipi mpya. Kwanza Jiwe aanze kuponda, lazima atajibiwa tu. Ukikaa mbali na adui yako hutakuja kumuweza.
 
Mkuu safi sana utawafahamu tu hawa, wako wengi humu wana kazi moja tu kukashifu na kufikiria Watanzania wote ni mbumbumbu kama wao. JPM amebadili mind-set ya Watanzania na Afrika kwa ujumla (game changer) kwa wanaojitambua, lakini hawa pimbi bado wana mawazo mgando.
Nimeipenda hiyo kwenye mabano. Tusubiri kesho ataongea nini baada ya kumuona Mbowe uwanjani
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Narudia tena, ww lazima utakuwa umechanganyikiwa ndio maana unatoa maelezo marefu kama uko kwenye kuomba ajira. Sina muda wa kuweka elimu yangu hapa na kujisifia mambo ya kipuuzi huku natumia fake ID, ningekuwa verified user ningeweza kuweka CV yangu hapa ili uweze kufuatilia kama una shaka. Sasa we unajisifia huku unatumia fake Id kama sio wendawazimu ni nini? Nyie wazee ndio huwa watu wanawachapia wake zenu maana hamna lolote la maana zaidi ya kujisifia usenge.
Umempa za uso! Watu wenye tabia za kujimwambafai kama huyo kawaida huwa na udhaifu fulani mchafu sana na hizo tabia wanazitumia kuficha huo udhaifu au aibu ya aina Fulani.
 
Kuhudhuria sherehe ni lazima kutoa tamko rasmi?!
Yaah, ukuzingatia huko nyuma walisusa! We ulitaka Mbowe aonekane pale uwanjani kimya kimya, Nyumbu wa Lumumba waanze kuimba kuwa anaunga juhudi. Si tetesi umeanza kuzisikia ati wana mpango wa kuamia huko
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Umempa za uso! Watu wenye tabia za kujimwambafai kama huyo kawaida huwa na udhaifu fulani mchafu sana na hizo tabia wanazitumia kuficha huo udhaifu au aibu ya aina Fulani.

Mkuu onyesha udhaifu wake kwa hoja sio kwa character assassination kitu ambacho wewe na makuwadi wako mmeshindwa kukionyesha. Onyesha jinsi alivyo ji-mwambafai? Huyo mwenyewe aliyeleta hilo neno la kujimwambafai alifanya nini zaidi ya kuifilisi nchi. Chuma kimeingia Ikulu na kinafanya kazi ambayo inatakiwa kufanywa na rais.
 
Mara nyingi tumekuwa tukimsikia wakati akihutubia kwenye majukwaa ya kisiasa, Rais Magufuli, akinadi kuwa maendeleo hayana chama, akimaanisha kuwa nchi hii hapaswi mwananchi yeyote abaguliwe kwa misingi ya vyama.

Kwa maana hiyo anachohubiri Rais Magufuli ni kuwa Taifa hili ni lazima lidumishe umoja wake, bila kujali tofauti zetu za dini, kabila na itikadi za kisiasa.

Leo ndiyo tunasherekea miaka 58 tokea Taifa letu linyakue Uhuru wake toka kwa mkoloni na chama kikuu cha upinzani nchini, kimeeleza wazi kuwa mwaka huu kitashiriki kikamilifu shughuli hizo za kumbukizi ya Uhuru wetu.

Ingawa imekuwa kama "surprise" fulani hivi, lakini Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini, Freeman Mbowe, ametoa wito kwa wanachama wa Chadema, kujitokeza kwa wingi sana, huku wakiwa wamevaa sare zao za Chadema na wahudhurie sherehe hizo.

Tunawaomba waandaaji wa sherehe hizo wawe "fair" na wasifanye upendeleo wa aina yoyote ile, kwa kuwanyanyasa wanachama wa Chadema na kuwapa upendeleo maalum, wanachama watakaokuwa wamevaa sare za chama chao cha CCM, kwa kuwa sherehe hizo ni za kitaifa na kama anavyopenda kuongea kwenye majukwaa ya kisiasa, Rais Magufuli, kuwa maendeleo hayana chama.

Vile vile ifahamike kuwa chama cha Chadema kimesajiliwa kihalali na ni lazima kijishughulishe na shughuli mbalimbali za kitaifa.

Wewe uwe CCM au Chadema, hupaswi ubaguliwe kwa kuwa tu wewe ni Chadema, kwa kuwa maendeleo hayana chama, na kila chama kinapaswa kiwe "treated fairly" bila upendeleo wowote kwa misingi ya uchama

Leo ni kipimo kizuri sana cha kutambua kama Rais Magufuli huwa anayatamka hsyo maneno "seriously" na hatamki kuwahadaa Umma wa watanzania

Ikitokea waandaaji wa sherehe hizo wakawabagua wahudhuriaji hao kwa misingi ya uchama, basi tutajua kuwa kumbe hata hayo maneno yanayomtoka JPM mdomoni, ni usanii mtupu!
 
Mkuu onyesha udhaifu wake kwa hoja sio kwa character assassination kitu ambacho wewe na makuwadi wako mmeshindwa kukionyesha. Onyesha jinsi alivyo ji-mwambafai? Huyo mwenyewe aliyeleta hilo neno la kujimwambafai alifanya nini zaidi ya kuifilisi nchi. Chuma kimeingia Ikulu na kinafanya kazi ambayo inatakiwa kufanywa na rais.
Huyo mwenyewe aliyeleta hilo neno la kujimwambafai alifanya nini zaidi ya kuifilisi nchi. Chuma kimeingia Ikulu na kinafanya kazi ambayo inatakiwa kufanywa na rais.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nimezipenda sana.[emoji106]
 
Tunao ona mbali tulijua kuwa chadema haitafika mbali na ajenda ya kuhujumu juhudi za jpm na sasa wanaona waaachwa nyuma na makesi na kupoteza kwenye uchaguzi wa mitaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

USSR
 
Naunga mkono hoja, tena msiishie kujitokeza tuu kwenye sherehe, bali ungeni kabisa mkono juhudi...
P
Hapana Pascal

Inatosha tu kujitokeza kusheherekea siku kuu ya Uhuru, bila kuunga mkono juhudi za JPM, kwa kuwa nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi na haitakuwa kosa kujumuika kusheherekea bila kuunga mkono juhudi, kwa kuwa kama ambavyi huwa anapenda kusema mkuu wa nchi, kuwa maendeleo hayana chama
 
Kwa sababu huna cockroach. Hakuna sababu nyingine. Hoja zako mbona zina onyesha kama mtu ana elimu na experience ya kazi au la. Wewe huna kitu. You are so narrow minded. Ungekuwa mtu mwenye skill kubwa isinge wezekana ukawa mda wote kwenye mtandao na kuwaamnisha watu eti una elimu? Nyanya yako ndiyo anaweza akakubaliana na wewe.

Mtu mwenye elimu hata ya degree moja hawezi toa hoja shallow namna hiyo kama zako. Argue techinacally na references na sio vitu ambavyo viko hypothetical!

Nasema hivi, njoo na verified user Kisha uweke hiyo elimu na tuone ulicho achieve, Ni kipi so far umelifanyia taifa hili. Nipo kwenye mitandao muda wote maana simu yangu ninayo mkononi muda wote, naweza kupiga simu, kujibu sms nk. Kuwepo mitandaoni sio kama kwenda
kanisani useme unazima simu. Niko huru maana nimejiajiri na kutoa ajira kwa wengine, mimi sio mtumwa wa kazi za wanaume wengine kama ww. Kwakuwa ww umeajiriwa na wanaume wenzio unapaswa kuripoti kwenye hiyo ajira kuanzia asubuhi mpaka jioni, kinyume na hapo ukifukuzwa kazi ukija mtaani lazima uolewe.
 
Back
Top Bottom