Kesi ya Mbowe: Mbowe na viongozi wa CHADEMA msiposikiliza ushauri wa Godbless Lema anaeshauri muondoe mawakili mahakamani, mtakuja kujiulaumu sana

Mbowe "Tunu ya Taifa" 😂😂😂hafungwi Kama Besigye
 
Ni kweli wanaumbuuka, ila wao wana agenda yao na pengine hiyo ndio muhimu zaidi kwao.
Hapana Salary slip, review upya maoni yako. Kesi hii kuanikwa hadharani ni muhimu sana kwa mustakabali ya haki nchini. Acha mvua iendelee kunyesha ili tuone panapovuja. Huko mbele hata walipoweka lami patadondosha maji.
 
Haya hukuona Kingai ili umpe ayaseme mahakamani? Mbona alipoulizwa kama Mbowe alikimbia kesi alikanusha mahakamani? Au kati yako na Kingai Nani shahidi muhimu? Kumbe wanaposema kesi hii imetengenezwa na Usalama wa taifa na kukabidhiwa Polisi wamalizie wako sahihi? Maana Polisi tunaowajua wasingeweza kutengeneza upuuzi wa aina hii wakaiiita kesi ya Ugaidi. Tangu 1998 Polisi wa Tanzania wanaujua Ugaidi baada ya kufundishwa na Wamarekeni, TISS ndo wamebaki wabangaizaji na wabambikia kesi wakiongozwa na think tanks za Makonda na Sabaya.
 
Kwahiyo wewe mawazo YAKO ni yapi zaidi ya kutuletea mawazo ya Lema?

Unajua implications za hiyo hatua anayopendekeza Lema?

Unajua kuwa Lissu tangu mwanzoni mwa hii kesi alifikiri hivyo na baadae wakabadili approach?Unajua kwa nini walibadili?

Unajua kuwa upande wa utetezi au jamhuri muda wowote wanaweza kuomba mabadiliko ya jaji kama wanakuwa na sababu za msingi za kufanya hivyo?
 
Wakijitoa sasa hivi MATAGA watasema mawakili wa mboe wameona wamezidiwa na hivyo kuamua kujitoa,kwa hali ilivyo bora wapambane kupAngua ushaidi mpaka mwisho ili wote tuone vioja vinavyoendelea huko mahakamani
Wiki iliyopita tu walizusha kwamba Kibatala kajitoa kabaki Mtobesya.
 
Nadhani kwa hii comment mjadala umesha ufunga
Pale hakuna kesi ni ubabaishaji tu wa mahakama za ccm.
 

Mbowe kwenda jela sio suala zito. Comes with the territory. Huwezi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ukawa salama Tanzania. Haiwezekani. You have to pay the cost to be the boss. Leo hii tungekuwa na namna ya kupiga hesabu ya gharama zinazoingiwa na serikali katika kuunda na kuendesha machinery ya kupambana na CHADEMA tungetishika.

Huyo Halima Mdee na wenzake wameshakuwa neutralised kwa vijisenti. Wameshapoteza credibility. Huko CCM hakuna anayetilia maanani kauli zake hata akifoka namna gani. Polisi ndio wameshampuuza kabisa as a nonentity.

Angeleta vurugu mahakamani? Polisi wepi wangemruhusu hata afike huko mahakamani? Angetekwa njiani na kufichwa. Na kiwango kilichofikiwa ilibakia kubakwa kabisa wasiwe na sauti tena. Acha Mbowe na CHADEMA waendelee kubeba msalaba wao wa kuwapigania Watanzania wasiokuwa na ujasiri wa kusimama kidete kutetea haki zao.
 
Wapi alibadili approach? Una ushahidi?
 
Ni kweli wanaumbuuka, ila wao wana agenda yao na pengine hiyo ndio muhimu zaidi kwao.
Salary Slip, ukikaa kimya maana yake ni nini? Si watapata sababu kwamba umedharau mahakama? Dunia itapata wapi ufafanuzi kwamba huna hatia? Kesi iendelee hadi mwisho, ili ijulikane nani muongo na nani mkweli.
 
Saada Mkuya ni mchepuko wa Mbowe!!???
 
Kwa kuwa unazo taarifa za alichokiomba na alicho jibiwa katika balozi ulizo zitaja, ni vyema ungeziweka wazi taarifa hizo ili kuimarisha hoja yako.
Gaidi ni mtu hatari sana duniani,Je serikali ilishindwaje kumkamata mtu hatari namna hiyo popote alipokuwa? Mbowe alirudi nchini kwa hiyari yake, Je ilichukuwa muda gani adi kukamatwa kwa mtu hatari aina hiyo? Wakati mbowe anarejea nchini tuhuma za ugaidi kumuhusu zilikuwepo ama zilijitokeza baada ya mbowe kuwepo nchini?
 
Mbona yeye aliikimbia nchi Kama rahisi hivyo.
 
Ben Saanane yuko kuzimu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…