KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

Vifaa vya kupimia mapigo ya moyo, stethoscope, nyingi ni mbovu tu na zinaletwa Afrika zikiwa used, kinaweza kushindwa kudetect mapigo ya moyo ilihali mtu bado hajafa. Kukurukakara ya kulazimisha mtu azikwe harakaharaka matokeo yake ni kumzika mtu akiwa hai!

I feel like IVAN DRAGO 'if he dies he dies'
 
Najazia, mimi ni mkristo, ninayoshuhudia makanisani siyo yale tuliyofundishwa kwenye maandiko, ninachokiona sasa ni bora mtu ujifungie kwenye chumba chenye utulivu na kumuomba Mungu wako, kisha ukawasaidie masikini, wajane, wagonjwa na yatima, Mungu wa mbinguni atakupa thawabu kuliko kwenda kushiriki biashara haramu ya kupora fedha za watu kwa kisingizio cha sadaka
  1. Kuna vitu viwili vinaitwa ubatizo na kipaimara, mawili haya yamekuwa biashara hivi sasa huko makanisani, Yesu kristo alibatiza bureeee!!! Lakini hivi sasa unajazishwa form kwaajili ya ubatizo au kipaimara, hizo fomu zinawekewa viwango vya pesa ya kulipa bila kujali ni mtu wa kipato cha chini au cha juu, usipoweza kulipa basi mtoto habatizwi na kijana hapewi kipaimara.
  2. Kwenye mazishi, kunatangazwa sadaka, mwisho wa siku sadaka ile inatajwa kuwa nauli ya kiongozi wa ibada ya mazishi, ni wizi mtupu.
Ukristo umekuwa biashara hivi sasa, wenye pesa ndiyo wanahudumiwa haraka zaidi kiroho kuliko masikini
Mkuu Faana umetaja suala la kuwasaidia maskini, wajane, wagonjwa na mayatima. Hakika limenigusa sana hasa kuona ambavyo binadamu tumejisahau kuyasaidia haya makundi wakati tukionesha ufahari katika maisha na nyumba za ibada. Kuyasaidia haya makundi ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa!
 
Ulawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
As humans, we are all fallible, LORD have mercy
 
Watu bilioni 6 duniani sio wote wajinga waamini kisichokuwepo
Hizo hessabu za watu bilioni 6 wanaoamini unachokiamini ulifanya wapi?

China ina watu 1.4B, 99% hawaamini miungu wala mungu, India ina watu 1.38B, 90%+hawaamini hivyo vitabu vyenu, hapo ni almost 2.78B.

Hapo sijaongelea Japana na nchi nyingine za Mashariki ya Mbali.

Ukija kwetu hapa Afrika karibu nusu ya wanachi hawana dini ama wana dini za asili ambazo kimsingi haziongelei maisha baada ya kifo.

Kwa takwimu hizo chache maana yake zaidi ya nusu ya wakazi wa Dunia hii ya watu 7B Hawaamini mungu huyo unaemuamini wewe.

Sasa hao 6B unaowasema umewatoa wapi kama watu Duniani wako 7B.

Halafu ulivyo na akili ndogo, kwa kua watu wengi wanaamini jambo basi na wewe utaamini kwa sababu wengi wanaamini. Ndio maana tunasema waumini 99%+ hawana akili ya kuwaza wala kupambanua, ni fuata upepo tu kama wewe.

Ndio maana mnaitwa kondoo wa bwana, kweli ni mikondoo, mijitu mijinga isiyo na akili.
 
Mkuu umetililika vizuri sana... Nyongeza upande wa waislam unarusiwa kuoa mpaka wanne, uwezo na uwaminifu wako tuu ili kuepusha kuzini....
Sasa incharg unaonaje ukajiunga kwenye Uislamu?
 
Ugh, nimependa maoni yako japo yanakinzana na yangu, mimi naonelea pindi inapothibitika mtu amefariki basi awahi kuzikwa, ni hayo tu
I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.

Nomba kuuliza swali, kwa nini awahi kuzikwa? Akichelewa kuna shida gani?
 
I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.

Nomba kuuliza swali, kwa nini awahi kuzikwa? Akichelewa kuna shida gani?
Sababu kwa mujibu wa maandiko au ufahamu wa kawaida tu?
 
Ulawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.

Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?
 
Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.

Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?
Hii ni komenti ya mtu asiye na busara, mwenye chuki dhidi ya imani zingine na mwenye ukengefu, upogo na upofu, mfia dini asiye na uelewa wa mambo mengi.

Kuna kesi nyingi za mashehe au maimamu kulawiti watoto, Mtume Muhamedi alioa mtoto wa miaka 9.
Je, tuite kuwa uislamu ni dini ya wabakaji, na viongozi wake ni walawiti watoto?
 
Hii ni komenti ya mtu asiye na busara, mwenye chuki dhidi ya imani zingine na mwenye ukengefu, upogo na upofu, mfia dini asiye na uelewa wa mambo mengi.

Kuna kesi nyingi za mashehe au maimamu kulawiti watoto, Mtume Muhamedi alioa mtoto wa miaka 9.
Je, tuite kuwa uislamu ni dini ya wabakaji, na viongozi wake ni walawiti watoto?
Unaongelea kesi? Soma hiyoooo: Argentina: Kiongozi wa Kanisa mahakamani kwa kuwanyanyasa kijinsia wanaume

Hiyo bashraf tu, ukijibu kijinga nakupa mziki kamili, extended version.
 
Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.

Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?
Hii si sawa mpendwa, hekima ni kumhukumu mtu kwa kitendo chake mwenyewe pasina kuwanasibishia wengine
 
Back
Top Bottom