Vifaa vya kupimia mapigo ya moyo, stethoscope, nyingi ni mbovu tu na zinaletwa Afrika zikiwa used, kinaweza kushindwa kudetect mapigo ya moyo ilihali mtu bado hajafa. Kukurukakara ya kulazimisha mtu azikwe harakaharaka matokeo yake ni kumzika mtu akiwa hai!
HmmmWewe pia kuamini kwako hakufanyi awepo. Hilo la kwanza.
Jambo la pili, hakuna ushahidi kwamba Mungu ama shetani wapo, huo ni uongo wa wazi.
I dont get you chief, 'wadaya mean?'I feel like IVAN DRAGO 'if he dies he dies'
Mkuu Faana umetaja suala la kuwasaidia maskini, wajane, wagonjwa na mayatima. Hakika limenigusa sana hasa kuona ambavyo binadamu tumejisahau kuyasaidia haya makundi wakati tukionesha ufahari katika maisha na nyumba za ibada. Kuyasaidia haya makundi ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa!Najazia, mimi ni mkristo, ninayoshuhudia makanisani siyo yale tuliyofundishwa kwenye maandiko, ninachokiona sasa ni bora mtu ujifungie kwenye chumba chenye utulivu na kumuomba Mungu wako, kisha ukawasaidie masikini, wajane, wagonjwa na yatima, Mungu wa mbinguni atakupa thawabu kuliko kwenda kushiriki biashara haramu ya kupora fedha za watu kwa kisingizio cha sadaka
Ukristo umekuwa biashara hivi sasa, wenye pesa ndiyo wanahudumiwa haraka zaidi kiroho kuliko masikini
- Kuna vitu viwili vinaitwa ubatizo na kipaimara, mawili haya yamekuwa biashara hivi sasa huko makanisani, Yesu kristo alibatiza bureeee!!! Lakini hivi sasa unajazishwa form kwaajili ya ubatizo au kipaimara, hizo fomu zinawekewa viwango vya pesa ya kulipa bila kujali ni mtu wa kipato cha chini au cha juu, usipoweza kulipa basi mtoto habatizwi na kijana hapewi kipaimara.
- Kwenye mazishi, kunatangazwa sadaka, mwisho wa siku sadaka ile inatajwa kuwa nauli ya kiongozi wa ibada ya mazishi, ni wizi mtupu.
As humans, we are all fallible, LORD have mercyUlawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
Hizo hessabu za watu bilioni 6 wanaoamini unachokiamini ulifanya wapi?Watu bilioni 6 duniani sio wote wajinga waamini kisichokuwepo
Ugh, nimependa maoni yako japo yanakinzana na yangu, mimi naonelea pindi inapothibitika mtu amefariki basi awahi kuzikwa, ni hayo tuI dont get you chief, 'wadaya mean?'
Kabisa Mkuu, na hata utoapo kusaidia hawa furaha na faraja waipatayo wao ni baraka tosha toka kwa MunguKuyasaidia haya makundi ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa
achana na dini za kunjunga...
Ajiunge tu haraka. IkimpendezaMkuu umetililika vizuri sana... Nyongeza upande wa waislam unarusiwa kuoa mpaka wanne, uwezo na uwaminifu wako tuu ili kuepusha kuzini....
Sasa incharg unaonaje ukajiunga kwenye Uislamu?
I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.Ugh, nimependa maoni yako japo yanakinzana na yangu, mimi naonelea pindi inapothibitika mtu amefariki basi awahi kuzikwa, ni hayo tu
Mkuu umetililika vizuri sana... Nyongeza upande wa waislam unarusiwa kuoa mpaka wanne, uwezo na uwaminifu wako tuu ili kuepusha kuzini....
Sababu kwa mujibu wa maandiko au ufahamu wa kawaida tu?I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.
Nomba kuuliza swali, kwa nini awahi kuzikwa? Akichelewa kuna shida gani?
Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.Ulawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
Kwa mujibu wa ufahamu wa kawaida.Sababu kwa mujibu wa maandiko au ufahamu wa kawaida tu?
Hii ni komenti ya mtu asiye na busara, mwenye chuki dhidi ya imani zingine na mwenye ukengefu, upogo na upofu, mfia dini asiye na uelewa wa mambo mengi.Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.
Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?
Unaongelea kesi? Soma hiyoooo: Argentina: Kiongozi wa Kanisa mahakamani kwa kuwanyanyasa kijinsia wanaumeHii ni komenti ya mtu asiye na busara, mwenye chuki dhidi ya imani zingine na mwenye ukengefu, upogo na upofu, mfia dini asiye na uelewa wa mambo mengi.
Kuna kesi nyingi za mashehe au maimamu kulawiti watoto, Mtume Muhamedi alioa mtoto wa miaka 9.
Je, tuite kuwa uislamu ni dini ya wabakaji, na viongozi wake ni walawiti watoto?
Hii si sawa mpendwa, hekima ni kumhukumu mtu kwa kitendo chake mwenyewe pasina kuwanasibishia wengineUkweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.
Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?