KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu


I feel like IVAN DRAGO 'if he dies he dies'
 
Mkuu Faana umetaja suala la kuwasaidia maskini, wajane, wagonjwa na mayatima. Hakika limenigusa sana hasa kuona ambavyo binadamu tumejisahau kuyasaidia haya makundi wakati tukionesha ufahari katika maisha na nyumba za ibada. Kuyasaidia haya makundi ni miongoni mwa ibada kubwa kabisa!
 
Ulawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
As humans, we are all fallible, LORD have mercy
 
Watu bilioni 6 duniani sio wote wajinga waamini kisichokuwepo
Hizo hessabu za watu bilioni 6 wanaoamini unachokiamini ulifanya wapi?

China ina watu 1.4B, 99% hawaamini miungu wala mungu, India ina watu 1.38B, 90%+hawaamini hivyo vitabu vyenu, hapo ni almost 2.78B.

Hapo sijaongelea Japana na nchi nyingine za Mashariki ya Mbali.

Ukija kwetu hapa Afrika karibu nusu ya wanachi hawana dini ama wana dini za asili ambazo kimsingi haziongelei maisha baada ya kifo.

Kwa takwimu hizo chache maana yake zaidi ya nusu ya wakazi wa Dunia hii ya watu 7B Hawaamini mungu huyo unaemuamini wewe.

Sasa hao 6B unaowasema umewatoa wapi kama watu Duniani wako 7B.

Halafu ulivyo na akili ndogo, kwa kua watu wengi wanaamini jambo basi na wewe utaamini kwa sababu wengi wanaamini. Ndio maana tunasema waumini 99%+ hawana akili ya kuwaza wala kupambanua, ni fuata upepo tu kama wewe.

Ndio maana mnaitwa kondoo wa bwana, kweli ni mikondoo, mijitu mijinga isiyo na akili.
 
Mkuu umetililika vizuri sana... Nyongeza upande wa waislam unarusiwa kuoa mpaka wanne, uwezo na uwaminifu wako tuu ili kuepusha kuzini....
Sasa incharg unaonaje ukajiunga kwenye Uislamu?
 
Mengi yanayofanyika siyo Ukristo bali ni utamaduni wa kimapokeo.
 
Ugh, nimependa maoni yako japo yanakinzana na yangu, mimi naonelea pindi inapothibitika mtu amefariki basi awahi kuzikwa, ni hayo tu
I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.

Nomba kuuliza swali, kwa nini awahi kuzikwa? Akichelewa kuna shida gani?
 
I see, umependa maoni yanayokinzana na yako? Safi sana, mko wachache sana wa aina yako, hii ni KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.

Nomba kuuliza swali, kwa nini awahi kuzikwa? Akichelewa kuna shida gani?
Sababu kwa mujibu wa maandiko au ufahamu wa kawaida tu?
 
Ulawiti,ushoga ni tabia ya mtu,hakuna maandiko yoyote kwenye vitabu vitakatifu vinafundishwa hayo mambo
Vinginevyo tukubaliane kuwa hakuna waislamu wanaotenda hayo mambo?
Kama wapo basi hao ni waislamu wa aina gani?
Ukweli ni kuwa Ukristo haufati mafundisho ya Yesu alayhi Salaam, unafata mafundisho ya kanisa, na kanisa, bila shaka yoyote linaendeshwa na mashoga, kwa ushahidi kamili.

Wakukushangaa ni wewe unaetetea viongozi wanaokuongoza imani yako kuwa ni mashoga. Au nawe ni shoga?
 
Hii ni komenti ya mtu asiye na busara, mwenye chuki dhidi ya imani zingine na mwenye ukengefu, upogo na upofu, mfia dini asiye na uelewa wa mambo mengi.

Kuna kesi nyingi za mashehe au maimamu kulawiti watoto, Mtume Muhamedi alioa mtoto wa miaka 9.
Je, tuite kuwa uislamu ni dini ya wabakaji, na viongozi wake ni walawiti watoto?
 
Unaongelea kesi? Soma hiyoooo: Argentina: Kiongozi wa Kanisa mahakamani kwa kuwanyanyasa kijinsia wanaume

Hiyo bashraf tu, ukijibu kijinga nakupa mziki kamili, extended version.
 
Hii si sawa mpendwa, hekima ni kumhukumu mtu kwa kitendo chake mwenyewe pasina kuwanasibishia wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…