Akaja Rais mwingine au ni Rais huyu huyu “akaja”?Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Kihenzile ni kichwa. Akagombee Kyela walikomlea.
Ngumbaru tunajiandikiaga tu.Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Si ndiyo atazizalisha Kwa wingi?Kumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.
darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege
Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Hivi mnapotaja taja majina, huwa mnawajua kweli hao mnaowataja au vyeti ndio msingi wa kumtaja mtu..km ni vyeti kwanza huelewi mahitaji ya nchi kwa sasa kwenye eneo husika na pili zama hizi na hasa Tanzania vyeti sio msingi wa kupima uwezo wa mtu kiutendaji..usipojua haya bac wewe ni kasuku!Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
RelaxHivi mnapotaja taja majina, huwa mnawajua kweli hao mnaowataja au vyeti ndio msingi wa kumtaja mtu..km ni vyeti kwanza huelewi mahitaji ya nchi kwa sasa kwenye eneo husika na pili zama hizi na hasa Tanzania vyeti sio msingi wa kupima uwezo wa mtu kiutendaji..usipojua haya bac wewe ni kasuku!
Kwakweli Elimu ameshindwa tukubali tu ukweli...Mkenda hapo w. ya elimu naona tu bila bila kwenye uchumi ataweza nin tena.. Japo lolote linaweza kutokea
Tuambie ukichwa wake..Kihenzile ni kichwa. Akagombee Kyela walikomlea.
Sasa mbona umelikoroga😄Ni swali or future sentense?
Huyu mtoto anayemtaja britanicca ndio ataweza?Kwakweli Elimu ameshindwa tukubali tu ukweli...
Mkuu ameandika "kwa Rais ajae"Mwigulu hawezi kuwekwa kando hata iweje.
Huko kwa Kihenzile lolote lawezekana.
Mimi nabisha hakusema yeyeJamaa alisema nape na makamba watatenguliwa. Watu wengi walibisha ila ndio hivyo
Mm nabishaMkuu unambishia britanicca 🤣
Uwe unaangalia watu wa kuwabishia
Muda utaongeaMm nabisha
Kwahiyo sshv wachaga wamepungua pale?Siyo siku hizi
Cute Wife a.k.a Nikki wa PiliMimi nabisha hakusema yeye
Hii nchi kukitumikia mpaka uweze kuingia Bungeni?Kihenzile ni kichwa. Akagombee Kyela walikomlea.