Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
SwadaktaMadhara ya kuoa mke wa jamii hayo , usioe kama hauna uwezo wa kumudu kuchapiwa .
Unafikiri ukiua au kumpaka mafuta ya upako master, ndio mke wako ataacha kuchapwa ?
Wakuchapwa ni wakuchapwa tu haijalishi umekasirika vip baada ya kumkuta akichapwa ,kama ni kuchapwa atachapwa tu .
Hayo ni maneno tuu,umeoa Malaya na atachapwa tuuNi mafuta mgando tuu. Kopo mbili mpaka ziishe
Safi sana,wanaoa Malaya halafu wanasema ni MkeHivi ni vitisho vya kuku dhidi ya mwewe, kamwe havitakaa vitekelezeke.
Ndiyo maana Kuna msemo "Dua la kuku halimpati mwewe."
Kwani mkeo kabakwa? Si amegawa uroda kwa hiari yake? Yaani kama mm utaknikuta nachati JF kitandani kwako na hutanifanya chochote. Ukinidhuru jela inakuhusu.
Pambana na mkeo!!
Wewe ndio Mwenyekiti wetuNakula mashangazi/wake za watu toka 1997 nikiwa sekondari sijapata madhara yoyote
Njoo basiAje mwenyewe halafu uletewe shida haiusiani
Kuna jamaa alimfuma jamaa tena mshkaji wake anamla mke wake ndani kwake wala hakuleta fujo wala ugomvi alichofanya ni kuchukua vitu vyake na kusepa.Sio Kila anayetombreeewa analo la kufanya mkuu,wengine ni wale tunaomwachia Mungu na Kuna wale wa god forgive I don't,!!!hao hadi wapasue spika ndio watakuachia
Kama mke anagawa atagawa tuu. Wala usijifariji eti kuna siku utamkamata. Wewe cha kufanya mwache au vumilia .Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
virse versa tufuate ushaul wa mdau mmoja pale juu wanawake wanafiki,Mimi nilie nae hua ananiambia mume wake yuko vizuri mno kitandani na alishaniambia kabisa kwamba mumewe ana "mzigo" kuliko wangu. Tena aliniambia mume wake ndio alimtoa sealed. Cha ajabu sasa huu ni mwaka unaenda wa 4 tuko pamoja na nikitishia kumuacha anapambana balaa..
Na ikichomoka wakati wa mechi anairudisha fasta...Kabisa mkuu , kwa sababu mpka mwanamke mtu mzima aamue kumpa utamu wake , mwingne tofauti na mme wake yeye sio mtoto ujue!!
[emoji16][emoji16][emoji16] huyo atakua amedhamiria kabisaNa ikichomoka wakati wa mechi anairudisha fasta...
Mimi kitu nilichokuja kugundua kuhusu wanawake;virse versa tufuate ushaul wa mdau mmoja pale juu wanawake wanafiki,
Na kwa uzoefu wangu, kama mke anagawa nje ujue anagawa kwa wengi. We unaweza ukamkamata huyo mmoja ukajiona umeshinda kumbe pembeni kuna wana wengine wanaendelea kujilia wanakuchora tu..Kama mke anagawa atagawa tuu. Wala usijifariji eti kuna siku utamkamata. Wewe cha kufanya mwache au vumilia .
Mimi kitu nilichokuja kugundua kuhusu wanawake;
Mwanamke hana tofauti yoyote na mwanaume pale linapokuja suala la matamanio ya kingono. Kila mwanamke ana kitu chake fulani ambacho akitokea mwanaume mwenye nacho, ujue huyo ke lazima atatoa gemu tu, labda huyo me asitake.
Kama jinsi ambavyo mwanaume unaweza kuwa na mke mrembo, mzuri, mpole nk na bado ukaenda kuchapa nje, vivyo hivyo na mwanamke hata awe na mume mzuri, mwenye hela, anaesimamia kucha nk bado anaweza akatamani na akachapwa nje!
We ukiona mwanamke wako katulia kwenye ndoa mshukuru Mungu na ujue pengine hajakutana na mwanaume mwenye kile "kitu fulani" ambacho kinammaliza nguvu huyo ke. Siku akikutana nae na jamaa akakomaa kidogo tu ujue mzigo unaliwa mchana kweupee..