Kijana Mke wa mtu atakuliza siku moja

Next time nitakutafuta, tutaanzia hapo Canada, sawa?
 
Na kwa uzoefu wangu, kama mke anagawa nje ujue anagawa kwa wengi. We unaweza ukamkamata huyo mmoja ukajiona umeshinda kumbe pembeni kuna wana wengine wanaendelea kujilia wanakuchora tu..

This is true . Nilipokuwa natoka na mke wa mtu ( nimetubu kwenye hili na Mungu wangu anisamehe sitokuja kurudia hili kosa la kuwa in relation na mke wa mtu ) nilishawahi pia ku suspect anatoka na msela mwingine. Nilipokuja kuchunguza nikajua ni kweli na yeye alikiri na akaomba sorry , by that time nilikuwa nimeshapanga kumpiga chini maana i was not at peace and i wanted peace . So nilipokuja kujua anamegeka. Nikaona hiyo ndio sababu nyingine

Mwanamke akianza toka nje piga chini
 
Hapo ndo team kataa ndoa inapopata nguvu na kauli mbiu zao eti ndoa ni utapeli
 
daah sio powa huu uzi inabd nkamuoneshe mwanngu mmoja hivi😂
Muoneshe na mwambie kuwa tunapambana usiku na mchana ili kupata amani na furaha kwenye maisha yetu. Mwambie hatuna muda wa kukaa na wake zetu sababu tunafight kwa ajili ya kesho bora. Mwambie hatuwarudhisi kama wanavyosema kutokana na kuchoka kwa sababu kutafuta na kuandaa kesho bora ya familia zetu. Mwambie tunapambana na tunapata stress tunapopambana kwa ajili ya kesho iliyo bora.

Mwambie atalipa gharama kwa kutembea na wake za watu kwani wengine tumezaa nao watoto. Mwambie atajutia maisha yake yote, mwambie yeye ndio atakiwa mke wetu nida si mrefu, mwambie ajiandae kuvuliwa ubingwa, mwambie awe anatembea na vilainishi kabisa. Mfikishie ujumbe wetu.😀😃😄😁😆
 
FUTA la mgando au koozi jepesi litausika kijana ukikamatwa na mke wa mtuu..

Kaa mbali na mke wa mtu na wanafunzi ,malaya mpk wa buku wapo
Hivi watu wanaona fahari sana kulawiti mgoni? Sasa si ndo uongezwaji wa ushoga huu.
 
Maisha magumu yanafanya vijana kutafuta sehemu zenye unafuu.

Wake za watu nayo ni fursa kama nyingine.
 
Hii comment ifanyiwe lamination.
You nailed it
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Aise kwangu nitamuonya kwanza huyo kijana,,akirudia lazima nimtoboe
KWa Maana adhabu yatakiwa iume
 
Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?

Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?

Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?

Anakwambia anakupenda sana eeeh!

Utalia siku moja.
Brother, jitahidi kumfanya mke wako awe na furaha, usilalamikie watu kwa mapungufu yako
 
Hakunaga mwisho mzuri kwa kula mke wa mtu kifuatacho ni kupigwa bunduki,kuchinjwa,kulogwa,umeomewa sana huruma umesodomiwa.
Baada ya utamu kifuatacho ni uchungu na majuto ya mda mrefu.
 
Umekula mke wa mtoa kafara next kafara ni lazima aweke jina lako kwenye list.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…