Fungua pm basi ni kama unanionyesha maji na niko jangwaniI love you since you login in jamii forum
Ukikataa basiNitakataa mm sio maharage ya mbeya
Huna mtu humu nisiingilie penzi la mtu halafu kweli unanipenda ???Fungua pm basi ni kama unanionyesha maji na niko jangwani
Naam ni akili tu hisia tunawaachia wao.Mguu ndani mguu nje uongoπ
Ndiyo nakupenda sitaki kukuchezea au we utanichezea?Huna mtu humu nisiingilie penzi la mtu halafu kweli unanipenda ???
DahNdiyo nakupenda sitaki kukuchezea au we utanichezea?
Isije ikawa katamani tu kunivua boksa anichezee na kuniachaDah
Huu uzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana sintokuchezeaNdiyo nakupenda sitaki kukuchezea au we utanichezea?
Jamani mpenzi π€Isije ikawa katamani tu kunivua boksa anichezee na kuniacha
Tunakuja mzeiya
Avatar yako haiachi kuja kwenye fikra zangu kila mara sili wala silali bila kuangalia hicho kimdoli jinsi navyokupendaJamani mpenzi π€
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Isije ikawa katamani tu kunivua boksa anichezee na kuniacha
Mie ni wakawaida tu na siwezi sema mie ni mwembamba mie kinene ndio naweza sema sio mrefuAvatar yako haiachi kuja kwenye fikra zangu kila mara sili wala silali bila kuangalia hicho kimdoli jinsi navyokupenda
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa ntaanza kukosa usingizi kwasababu ya kukufikiriaMie ni wakawaida tu na siwezi sema mie ni mwembamba mie kinene ndio naweza sema sio mrefu
ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah
Nimecheka akiyanani
Wacha unapenda vinono hayaSiku zinavyozidi kwenda naona kabisa ntaanza kukosa usingizi kwasababu ya kukufikiria