Pre GE2025 Kijana, Ushirikina na Uchawi hautakusaidia kupata nafasi ya Uongozi wa Kisiasa

Pre GE2025 Kijana, Ushirikina na Uchawi hautakusaidia kupata nafasi ya Uongozi wa Kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchaguzi huu,,tunaenda kusaka wataalam kutoka sauzi,, wa nigeria mambo yanakua magumu,,hadi kieleweke 2025 lazima tuzame mjengoni dodoma
usipoteze pesa zako kirahisi namna hiyo gentleman :pedroP:
 
Kuwa mwanasiasa nguli na kupanda vyeo vikubwa lazina uwe na malaika wenye nguvu sana pembeni yako au uwe na nguvu kubwa sana ya kwako mwenyewe ya ndani.

AU

Uwe na mauchawi yenye nguvu sana.

VINGINEVYO utaishia kuvaa magauni ya kijani tu huku wenzio wakitafuna manyama.
uko sahihi:pedroP:
 
Pesa itarudi nikiingia mjengoni,,,,hio ni biashara na huo ni mtaji, faida baada ya kuzama mjengoni, yani kazi yako kupigapiga meza tu pale na kusinzia badae akaunt inasoma
walio jaribu hiyo habari wakakwama naskia wengi wao wanateseka na mental health issue saivi :pulpTRAVOLTA:
 
mbona uliemtaja mrahisi sana,

miongini mwa nielie kua nikipambana nae,

alikua na shanga nyeupe mkononi na shingoni, hizi alijitahidi kuzificha zosionekane lakini akijisahau unaziona tu live,

lakini pia nilidokezwa kwamna na kwenye korodani na kwenye mshedede pia, alikua amepavisha shanga nyeupe kulingana na mwembwe za mnganga alie mrubuni:pedroP:

lakini mwisho wa siku akapigwa chini mapema kabisa kwenye nchujo wa chama, sasa sijui kama tayari alikua amesha ua mtu asie na hatia kanbla maskini ya Mungu dah?
Mliopita Kwa mbeleko ya chuma ndio mnasema haya!!

Wabunge mlioingia 2020 ni wale ambao hamjaiva kisiasa yaani ndio mzee!2020 hakukua na uchaguzi bali draft la watu wachache!ndio maana Kuna walioongoza kwa kura lakini wakakatwa na kamati ya roho mbaya!

Kuna wale walitangazwa washindi japo walishika nafasi ya tatu au ya nne!!

Mungu kweli yupo na ana nguvu sana lakini kuishi kwenye frequency ya mawimbi ya kiungu ndio kazi"Tunajua Hawasikii wenye dhambi"

Halo ulipo tayari man dhambi ya kupitisha mikataba ya kinyonyaji na Sheria kandamizi huyo Mungu unaemuomba Kwa ujasiri upi !!? Na damu imemwagwa Kyle ngoro ngoro!!?Lana za watz Kwa uonevu was kisheria unazikwepaje!!?

Fikiria upya 2025 is a real deal!!
 
mimi nmeshauri wanasiasa vijana wenzangu jambo ambalo sijaona umihimu wake kwa wengi...

Mimi nina mshukuru Mungu, nimevuka salama kumtegemea yeye pekee,
na sasa bafanya siasa za jimboni, kitaifa na kimataifa kwa uhakika kwasababu Mungu yupo pamoja nami ndani yangu daima :pedroP:
Bado asili ya uongozi wa nchi hii ipo akhera au kuzimu kavu!huko ndipo walipo ma hayati wote waliotangulia kufa tukawazika Kwa mbwembwe na huko ndipo wanapanga kiongozi anaefuata huku juu yaani jina linatoka huko sisi tunakamilisha Kwa kupiga kura kuhalalisha huyo alochaguliwa!!

Hata hivi vyama ni vyama vya kichawi vipo Kwa ajenda za akhera kuzimu kavu!!!

INGIA YOUTUBE MTAFUTE SHEHE OMARI MNYESHANI NA KAFARA LA LINDI UONE MZIGO!!!
 
Bado asili ya uongozi wa nchi hii ipo akhera au kuzimu kavu!huko ndipo walipo ma hayati wote waliotangulia kufa tukawazika Kwa mbwembwe na huko ndipo wanapanga kiongozi anaefuata huku juu yaani jina linatoka huko sisi tunakamilisha Kwa kupiga kura kuhalalisha huyo alochaguliwa!!

Hata hivi vyama ni vyama vya kichawi vipo Kwa ajenda za akhera kuzimu kavu!!!

INGIA YOUTUBE MTAFUTE SHEHE OMARI MNYESHANI NA KAFARA LA LINDI UONE MZIGO!!!
Na safari hii alieomba nafasi awe kiongozi wa malaika ndo yupo mstari wa mbele kupanga na kupangua
 
Zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza.

Mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa wananchi kwa masharti magumu, huku akiwa anakukoromea kwa ukali na vitisho, bidii ambayo ungeweka tu mwenyewe na ukafanikiwa.

Uvivu wako katika kutafuta uongozi wa kisiasa na tamaa zako za kupata uongozi bila kuweka bidii ya ushawishi wa sera na mipango mikakati yako kwa wananchi, visikuchochee ukatumbukia kwenye dhambi hii ya ushirikina na uchawi na pengine kupelekea hadi kusababisha vifo na mauaji kwa binadamu wenzako.

Kwa njia hiyo, huwezi kudumu, huwezi kuwa na amani, wala kufurahia uongozi wako ikiwa kuna roho na damu za wasio na hatia ulizodhulumu zinakulilia kwa uchungu kila uendako.

Uongozi na mamlaka za wanadamu vinatoka kwa Mungu, sauti ya wengi sauti ya Mungu, ukimtumainia na kutegemea Mungu katika nia na dhamira zako njema atatufanikisha.

Uganga, uchawi na ushirikina unakupoteza mchana kweupeee na elimu yako.

Pambana kwa bidii na haki utatoboa tu.

Dominika Njema.
Ila,wapendao uchawi na madaraka,wengi ni wanaCCM wenzako.Miezi hii watu wenye ndugu walio na albinism wanawaza sana kila wakiwaoneni ninyi CCM.
 
politically,
which is healthier arrival?
late or before?:pedroP:
Hakuna hata moja jema hapo bora ufike kwa wakati maanake wengine wanapata madaraka mapema hvyo wanakuwa hawajakomaa bado na wengine umri umeenda hawaendani na current generation kwa hyo uongozi ni maandalizi mkuu sio kusubiri zali la mentali watu watakupiga knockouts.
 
Ukikosa uwezo ukawa na tamaa utafanya lolote kupata uwezo.
Waliaminishwa ktk giza ndomana wanaenenda ktk giza, but Nuru hufukuza giza.
Ukiamini katika Nuru utakuwa kiongozi bora nawe kila upitapo utapata hadhi na heshima stahiki.
 
Hakuna hata moja jema hapo bora ufike kwa wakati maanake wengine wanapata madaraka mapema hvyo wanakuwa hawajakomaa bado na wengine umri umeenda hawaendani na current generation kwa hyo uongozi ni maandalizi mkuu sio kusubiri zali la mentali watu watakupiga knockouts.
una wazungumziaje watu kama akina generali ulimwengu na mh.warioba kupambana kama wanaharakati dhidi ya akina Paul makonda, pumbalu au Tulia?

kuna alie chelewa au kuwahi zaidi kwenye medani ya siasa kwa sasa? 🐒
 
Ila,wapendao uchawi na madaraka,wengi ni wanaCCM wenzako.Miezi hii watu wenye ndugu walio na albinism wanawaza sana kila wakiwaoneni ninyi CCM.
hebu elezea vizur kidogo, tupe uzoefu,

walikukosa kosa ee hao uliowataja au wakati uko foleni kuingia kwa mganga, kibabe akaja mwanasiasa wa chama ulichotaja kusimama mbele yako aingie kwanza yeye?🐒
 
Bado asili ya uongozi wa nchi hii ipo akhera au kuzimu kavu!huko ndipo walipo ma hayati wote waliotangulia kufa tukawazika Kwa mbwembwe na huko ndipo wanapanga kiongozi anaefuata huku juu yaani jina linatoka huko sisi tunakamilisha Kwa kupiga kura kuhalalisha huyo alochaguliwa!!

Hata hivi vyama ni vyama vya kichawi vipo Kwa ajenda za akhera kuzimu kavu!!!

INGIA YOUTUBE MTAFUTE SHEHE OMARI MNYESHANI NA KAFARA LA LINDI UONE MZIGO!!!
ntaingia huko YouTube nimuone huyo binadamu ana maono gani juu ya ushirikina ...

nakubaliana nawe kwamba viongozi, mamlaka na serikali za wanadamu katika dunia hii zinatoka kwa Mungu..🐒

Ni muhimu kuamini Mungu
 
Wewe jipotezepoteze ukijidai hauwajui CCM wenzako wacheza na fisi.
mie sio mchawi wala sishiriki ushirikina. Mimi ni wa Nuru sio Giza..

Ndio maana kila siku nashuhudia Neema na Baraka za Mungu katika siasa zangu,

Mambo ni hadharini tena mchana kweupe, mtu una madigrii yako kadhaa unarubuniwa na mtu ambae hajamaliza hata darasa la saba, ni ajabu sana 🐒
 
Back
Top Bottom