Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Mbowe anafanya kazi kubwa sn kupambana na haya mashetani kwa mbinu zote
 
Mimi nashangaa watu kudai kuwa Mbowe aondoke lakini viongozi wengine wabaki! Hivi ni mawazo gani mapya unategemea kutoka kwa watu ambao wameshirikiana nae siku zote? Wanakuwa kama wale waliotegemea CCM itabadilika kwa sababu kiongozi wake mkuu amebadilika. Wanasahau kuwa CCM ni taasisi na kwenye suala la kushika dola kwa namna yeyote ile wote wanaimbq nyimbo moja.

Aidha, ukiona mpinzani wako anakuambia kuwa utamshinda ukimuondoa kapteni wako wa sasa ujue kuna tatizo. Chadema ime perform beyond expectations ukizingatia madhila iliyopitia.

Ni Mbowe na viongozi wenzake ndio wamekiwezesha kubaki imara. Kwenye hilo anatakiwa ashukuriwe, sio kubezwa.

Amandla...
 
Mbowe alifanya upuuzi mkubwa sana. Ngoja alipe gharama za upuuzi aliofanya.
 
Wameanza uongo. Watakubaliana waseme wao ndio washindi ccm imewaibia kura. Kisha wataenda ubalozi wa marekani na umoja wa ulaya kutoa taarifa ya uongo na wao balozi watajidai ni kweli vibaraka wao ndio washindi. Tutegemea sugu akiwa na mawani makubwa ya giza chain shingoni na suruali mbano kupewa yeye kuongoza ujumbe ubalozi wa marekan.🇺🇲😆
 
Unamlaumu Samia wakati waliofanya hayo mnawajua
Mjinga wewe...

Wewe kumbe hata hujui kuwa Waziri wa TAMISEMI ni Bi. Samia Suluhu Hassan...!

Na hata hujui kuwa TAMISEMI ndiyo iliyoandaa, kuratibu na kusimamia kila hatua ya ubaya na uchafuzi wa mchakato wa uchaguzi huu wote..!

Utaachaje kumng'ong'a na kmshutumu bibi huyu tena Mzanzibari kwa uchafu na uharibifu aliwafanyia Watanganyika...?

Na obvious, kwa jinsi ulivyo bado mjinga, bila shaka moyoni mwako umeshaanza kubisha kuwa waziri wa TAMISEMI si Bi. Samia Suluhu Hassan bali ni Mohamed Mchengerwa, mkwilima wake aliye na kifua kipana kwa mama mkwe wake...!!

Shauri lako, kama bado unaamini hivi, basi endelea kuishi na ujinga wako huo.................!!!
 
Kufa kila mtu atakufa, hata wanaofanyiwa ubaya nao watakufa. Kwahiyo suala la kifo lisitumike kuwatisha baadhi ya watu.
Ukiwaua wenzako unategemea uishi milele..? Mwisho wa maisha yote ni ubatili mtupu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…