Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Baada ya kudai katiba mpya unamlaumu Mbowe?
Mkuu mbowe lazma akinywe icho kikombe usimtetee haingii akilini ukakae na kiongozi mfanye maliziano ya kupokonya madaraka yake halafu mkafikia muafaka
 
Hicho chama kina viongozi na wafuasi wajinga sana.
 
Ulitaka Mbowe afanyaje? kuandamana hamtaki na maridhiano hamtaki afanye nini?
Ni kweli unayoyasema kuwa watanzania ni waoga wa kupigania haki.
Lakini ufahamu kuwa ni aheri tungebakia katika mazingira tale yale ya kabla ya maridhiano bandia.

Wakati ule licha ya watanzania kukosa ujasiri kupigania haki zao, lakini CHADEMA na ACT, walifanikiwa kuifanya Dunia nzima kufahamu kuwa Tanzania na watanzania wapo kwenye utawala gandamizi. ile ilikuwa ni hatua kubwa sana na muhimu. Ni kutokana na mazingira hayo, kulikuwa na pressure kubwa ya kimataifa ambayo ilifikia mpaka Samia kulazimika kumtoa Mbowe kutoka gerezani. Kutokana na ugandamizaji, jamii ya kimataifa ilisitisha misaada kadhaa kwa Tanzania. Mataifa mengi rafiki yalisitisha misaada kwa Tanzania. Msaada wa MCC ulifutwa, msaada wa jumuia ya Madola ulifutwa. Msaada wa kibajeti kutoka jumuiia ya Ulaya, ulipunguzwa sana.

Mazingira hayo magumu ndiyo yaliyomlazimisha Samia kutafuta maridhiano bandia. Akayatumia maridhiano hayo bandia kujitangaza kimataifa. Na CHADEMA ikatumika kama shahidi wa Samia kuwa utawala wake unaheshimu demokrasia na haki za binadamu.

Bila ya maridhiano yale, kibano cha jumuia ya kimataifa kingeendelea na hata kuongezeka, hali ambayo ingeweza kuwalazimisha watawala dhalimu kusalimu amri.

Leo kuna kazi kubwa kurudi kwa jumuia ya kimataifa mliyoiaminisha kuwa mambo ni mazuri, halafu ukawaambie mambo siyo hivyo. Unaweza kupuuzwa.
 
ndugu zangu mbowe na wenzake wanamapungufu meng na wanakula sn hela za ccm ila ukwel n kwamba ili mamb yt yaende sawa tunaitaj katiba mpya. nimebahatika kuw na malafk zngu ambao n walim (weng walikuw n wasimiz upgaj kura) wanayonambia jns walivykuw wanawapitish wgmbea wa ccm inatisha, had mmja amenambia mwanang juz ulvnambia unawah kpga kula nkataman nkwambie n bora ucngeend t mana kpnd wat w kpg kula hawap nilikuw na kaz ya kuwapgia kula wgmbea wa ccm, kby anajiaum ela yenyew waliypew n ndgo san. watanganyika tuamke bad tunaitaj kupgania uhuru wet. jah bls us
 
Huyu jamaa ameshagundua anaongoza kundi la NYUMBU...

Haya, baada ya kukiri kosa nini kinafuata?

Anaomba radhi na maisha yanaendelea au anajiudhuru?
 
Soma hapa
1. Mafundisho ya kijamii

Qur'an inasisitiza haki za binadamu, usawa, na heshima kwa wote, na masuala haya yanaendelea kuwa muhimu katika jamii za kisasa. Kwa mfano:

Usawa kati ya wanaume na wanawake: Qur'an inasisitiza usawa wa kijinsia, na inatoa haki kwa wanawake, ikiwa ni pamoja na haki za kumiliki mali, haki za ndoa, haki za kurithi, na haki za elimu. Katika zama za sasa, ambapo masuala ya usawa wa kijinsia yanazungumziwa, mafundisho ya Qur'an yanabaki kuwa ya kisasa.

Haki za watoto: Qur'an inaelezea haki za watoto, hasa kuhusiana na malezi bora na haki ya kuishi. Hii ni sawa na malengo ya haki za mtoto yaliyoainishwa na Umoja wa Mataifa.


2. Maadili ya kifamilia

Qur'an inatoa mwongozo kuhusu ndoa, talaka, na malezi ya familia. Hii ni muhimu katika kila jamii, na inasaidia kutoa miongozo ya kumlinda mtu binafsi na kuimarisha familia. Mfano:

Ndoa: Qur'an inasisitiza ndoa kama mkataba wa heshima na usawa. Kwa mfano, Qur'an inasisitiza kuhusu uaminifu na usawa katika ndoa: "Naishi na wake zenu kwa uadilifu" (Qur'an 4:19).

Talaka: Qur'an inatoa miongozo ya haki za pande zote mbili wakati wa talaka, akisisitiza kutunza haki za wanawake na wanaume: "Talaka inaruhusiwa mara tatu, basi semeni neno la haki" (Qur'an 2:229).


3. Mafundisho ya uchumi

Qur'an inasisitiza haki ya mali, usawa wa kiuchumi, na utawala wa fedha. Mambo kama ushirikiano wa kifedha, uhuru wa biashara, na kudhibiti riba ni miongoni mwa masuala ambayo Qur'an iligusia tangu wakati wa Mtume Muhammad, na haya ni masuala yanayohusiana sana na masuala ya kifedha ya kisasa. Mfano:

Riba (Usury): Qur'an inakataza riba, ambayo inasemekana kuwa ni dhuluma: "Enyi mliyo amana! Msifanye riba mara kwa mara ili msitengeneze mali kwa kutumia mali ya watu kwa batili" (Qur'an 3:130).

Sadaka na Zaka: Qur'an inasisitiza umuhimu wa kutoa sadaka (zaka) kwa wale wanaohitaji, kama sehemu ya jamii ya kiuchumi. Hii ni hatua muhimu katika kupunguza umaskini na kutekeleza haki ya kijamii.


4. Kusimamia mazingira

Qur'an pia inaelezea umuhimu wa kutunza mazingira na kuishi kwa usawa na maumbile. Katika dunia ya sasa, ambapo masuala ya mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira ni changamoto kubwa, Qur'an inatoa mifano ya kisasa kuhusu kutunza ardhi, maji, na viumbe hai.

Utunzaji wa mazingira: Qur'an inasema: "Na ardhi ameifanya kuwa yenye kupangiliwa kwa ajili yenu, ili mtachukue kutokana nayo vyote mnavyohitaji" (Qur'an 55:10). Hii inaonyesha dhima ya binadamu katika kutunza na kujali mazingira.


5. Kusuluhisha migogoro na amani

Qur'an inasisitiza umuhimu wa amani na suluhu wakati wa migogoro. Katika dunia ya leo, ambapo vita na migogoro ni changamoto kubwa, mafundisho ya Qur'an kuhusu amani na kusuluhisha migogoro yanaendelea kuwa muhimu:

Amani: Qur'an inasema: "Na ikiwa wanao hamu ya amani, basi nitakuwa na amani" (Qur'an 8:61). Hii inaonyesha msisitizo wa kutafuta amani hata katika hali za vita.


6. Sayansi na maarifa

Qur'an inajumuisha mafunzo ya sayansi, ikiwa ni pamoja na elimu ya anga, maji, viumbe hai, na afya. Kwa mfano:

Uumbaji wa Dunia na Mbingu: Qur'an inaelezea maelezo kuhusu uumbaji wa mbingu na ardhi na jinsi alivyoviumba viumbe hai, na baadhi ya vipengele hivi vimeonekana kuwa vya kisayansi na vinaweza kuhusianishwa na utafiti wa kisasa.

Mbali ya Jua na Mwezi: Qur'an inasema: "Na jua lina mwangaza wake, na mwezi ni kivuli kilichong'aa" (Qur'an 10:5). Hii inaonyesha uhusiano kati ya jua na mwezi, ambapo mwezi hauwezi kutoa mwangaza wa asili bali ni taa inayorefushwa na jua.
Bila kusahau kuwaua wasio waislamu na kwamba shetani ni mwafrika. Jinga na likitabu lako hilo
 
Tujikumbushie kidgo 4rs
1. Reconciliation
2. Resilience
3. Reforms
4. Rebuild
Hizo ndio 4rs za mama mbowe alikasea ipi mkuu??
 
Kwa nini mods wanaruhusu hizi habari za uongo? Ushahidi wa Mbowe kukiri uko wapi?
 
Back
Top Bottom