mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Jerusalemu ipo salama makombora 200 mmeua mpalestina wawatu maskini mlevi yule mmoja na mmetujeruhi wawili. Wenzenu kombora Moja tuliua mkuu wa magaidi, mwanae na maafisa muhimu. Sisi si kama nyie.Muite na yule shangazi yako wa kule namtumbo pia muende Tel Aviv mkawasaidie Israel wamezidiwa
Wewe endelea kumsubiri tu Yesu arudi huku kwingine waachie wanaume Iran ndio show zao za kibabe hizi.kikao hicho hakiachagi mtu salama.
Kaka shikamooo, Mtu wa maana kabisa,🤣🤣🤣🤣
Wasubirie kikao kimalizike ndipo watajua hicho kikao kinaumuhimu Gani mbwa wale
Ni mara ya kwanza Iran kummiminia mvua ya makombora moja kwa moja Israel?Sulbakheri mwamba! Huu mchezo hawauwezi na hawatokuja kuuweza
Israel ni habari nyingine
Nawaza sana pale Irani nani atapigwa
Mohamed ahdenijad ni rafiki yangu.
Ayatollah khominei sijui kama aliruhusu huu upuuzi wa kitoto wa Jana.
Watu wote wa irani na nchi jirani mtalipa Kwa huu ujinga.
Ila hii shoo angekuwepo sadam ingenoga sana ila Israel atabaki kuwa mbabe wa wa wakati wote
Ni mara ya kwanza Iran kummiminia mvua ya makombora moja kwa moja Israel?
Si alipigwa makombora mia tatu zaidi ya jana na aliufyata?
Ulikuwa bado hujazaliwa? Hii ni Iran mkuu mataifa yote ya ulaya na Marekani walikaa na mwanaume mmoja kumuomba apunguze urutubishaji wa uranium lakini aliwavimbia na hakuna kitu wamemfanya.
Mnaanza kuhamisha magoli na kutafuta vichaka vya kujificha.Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...
Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.
Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?
Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
Ya huko kijiji kwenu yanakushinda utayaweza ya Israe,Wakimaliza kikao nataka watume ndege yenye sumu itakayoua kuanzia watu Hadi funza na sisimizi.
Na kama wanaogopa kubonyeza kitufe nipo tayari kwenda kuifanya hiyo kazi
Mmmmh umejuaje?Wadau hamjamboni nyote?
Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.
Tuombe Mungu atuvushe salama
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Kama huyo Mungu wenu mnaemuabudu anayabariki mauaji ya watu wasio na hatia basi atakuwa lofa, ni bora tuwe upande wa huyo mnaemuita shetani, ambaye hahusiki na majanga.Wafuasi wote wa shetani duniani kote wanaiombea mabaya Israel, lakini watashindwa.
Wa USA NA UK PIA WAMOWadau hamjamboni nyote?
Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.
Tuombe Mungu atuvushe salama
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Umetoka kwenye Andaki mkuu?Wadau hamjamboni nyote?
Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.
Tuombe Mungu atuvushe salama
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
War councilWadau hamjamboni nyote?
Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.
Tuombe Mungu atuvushe salama
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman