akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Tuombe sana Mungu la sivyo bidhaa zitapanda bei sana, njaa, maradhi na misaada tutakosa, bado weapons of mass destruction haziangalii umo au haumo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujathibitisha roho ipo, hujaonesha roho inapimwaje, na unaleta habari za imani kwenye uthibitisho.Tatizo akili yako imefungwa kwenye science only ina maana elimu nyingine huamini kama inaweza jibu maswali yako, lakin nitapitia logic ya science humo humo, body ya binadam ni product ya atoms, lakin roho from Quran perspective na nilivyo understand ni kiumbe kingine kilichomo ndani ya binadam na mtu anapokata roho means anatenganishwa na hio energy. Experience ya kitabu inasema roho huanza kutolewa kidole gumba vya miguu mpaka inafika koromeo. Na ilipotoka roho panabaki baridi kabisa. Hivyo roho ni lile joto mwili kwa tafsiri ya Quran ukichanganya na common sense. Hivyo joto mwili linapimika kwa thermometer ukija ki science.
Lakin elimu ya dini ni imaani Zaidi ambayo wewe hio huna na hutaki kutumia common sense kujoin the two ili uelewe wewe huamini katika si called dini hivyo twende kikomo sense zaid
Nimekuthibitishia sema ujaelewa nimekwambia ni form of energy iliyoumbwa kipekee kupewa viumbe kwa ajili ya utambuzi na kujitambua ili uweze kupokea maelekezo na creator wako. Sasa unapotaka tupime roho ni ile existance yako tu kipimo tosha kwamba roho unayo , dini zingine zinasema ni pumzi ya uhai,nyingine joto la mwili(ganzi) hapa ndio nilipoeleza ambayo hupimwa na thermometer.Bado hujathibitisha roho ipo, hujaonesha roho inapimwaje, na unaleta habari za imani kwenye uthibitisho.
Quran ni kitabu kilichojaa ujinga na contradictions.
Nikikuwekea contradictions za kwenye Quran hapa huwezi kumaliza kuzitatua.
Tena wewe maisha yako yote hisani ya mzunguIsrael hatakaa akamtisha Iran kamwe...
Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.
Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?
Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
Naogopa sana kufanya mazungumzo na ntu asiyejua tofauti ya "hujaelewa" na "ujaelewa".Nimekuthibitishia sema ujaelewa nimekwambia ni form of energy iliyoumbwa kipekee kupewa viumbe kwa ajili ya utambuzi na kujitambua ili uweze kupokea maelekezo na creator wako. Sasa unapotaka tupime roho ni ile existance yako tu kipimo tosha kwamba roho unayo , dini zingine zinasema ni pumzi ya uhai,nyingine joto la mwili(ganzi) hapa ndio nilipoeleza ambayo hupimwa na thermometer.
Mungu tupe watu wenye fikra nzur kwenye taifa letuWakimaliza kikao nataka watume ndege yenye sumu itakayoua kuanzia watu Hadi funza na sisimizi.
Na kama wanaogopa kubonyeza kitufe nipo tayari kwenda kuifanya hiyo kazi
Tatizo akili yako imefungwa kwenye science only ina maana elimu nyingine huamini kama inaweza jibu maswali yako, lakin nitapitia logic ya science humo humo, body ya binadam ni product ya atoms, lakin roho from Quran perspective na nilivyo understand ni kiumbe kingine kilichomo ndani ya binadam na mtu anapokata roho means anatenganishwa na hio energy. Experience ya kitabu inasema roho huanza kutolewa kidole gumba vya miguu mpaka inafika koromeo. Na ilipotoka roho panabaki baridi kabisa. Hivyo roho ni lile joto mwili kwa tafsiri ya Quran ukichanganya na common sense. Hivyo joto mwili linapimika kwa thermometer ukija ki science.
Lakin elimu ya dini ni imaani Zaidi ambayo wewe hio huna na hutaki kutumia common sense kujoin the two ili uelewe wewe huamini katika si called dini hivyo twende kikomo sense zaid
Naandika makusudi kusave time cha msingi kilichoandikwa kimeeleweka? Kina make sense? Hapo unaniatack mimi badala ya mjadala wetu.Naogopa sana kufanya mazungumzo na ntu asiyejua tofauti ya "hujaelewa" na "ujaelewa".
Wewe Kiswahili tu hujui.
Kiingereza nacho hujui kuandika "existence" unaandika "existance".
You are basically semi literate.
Nimeku attack wewe kwamba hujui Kiswahili, hujui Kiingereza, hujui mantiki.Naandika makusudi kusave time cha msingi kilichoandikwa kimeeleweka? Kina make sense? Hapo unaniatack mimi badala ya mjadala wetu.
Ukiwa mwongo jitahidi kuwa smart kichwani broIran sio masikini pamoja na chuki zenu jehova lkn wekeni akiba ya neno vikwazo vyote wamepitia wairan je mnafaamu kuwa nchi inayoongoza kutudai deni kubwa kulikozote zote uzijuazo. na ipo kimya kama aitudai wanatuonea uruma na ali zetu kuwa ni IRAN kama amuamini ulizeni au tafuteni dwedali la deni. Mtashangaa punguzeni chuki
Hizo logical fallacies ni according to you, sisi tunatumia na ndio our basic kwenye kutupa information ya vitu tunavyohitaji wewe unataka upewe majibu ndani ya field moja tu ya science wakati elimu ni bahari inasehemu nyingi za kujibia swali na huwezi kupata majibu ya vitu ambavyo hata science haivijui vizuri then unataka science ikupe majibu.Nimeku attack wewe kwamba hujui Kiswahili, hujui Kiingereza, hujui mantiki.
How do you save time by writing "existance" instead of existence? Kubali tu hujui.
You are semi literate. Ndiyo maana hatuelewani.
Ndiyo maana unaleta habari za Quran kwenye kuthibitisha roho ipo.
Ungejua mantiki, ungejua Quran imejaa logical fallacies na haifai kutumiwa kama kitabu chenye authority kwenye kuthibitisha roho ipo.
Yani huna hata utashi wa kuuliza hizo contradictions ni zipi.Hizo logical fallacies ni according to you, sisi tunatumia na ndio our basic kwenye kutupa information ya vitu tunavyohitaji wewe unataka upewe majibu ndani ya field moja tu ya science wakati elimu ni bahari inasehemu nyingi za kujibia swali na huwezi kupata majibu ya vitu ambavyo hata science haivijui vizuri then unataka science ikupe majibu.
Mimi kutokujua kingereza na kiswahili kidogo hiki ninachoandika na uhakika aliyesoma lugha zote mbili kwa ufasaha hawezi pata taabu kunielewa ninamanisha nini. Kuna watu wana elimu kubwa kabisa ya science na philosopher wakubwa lakini wana dini na wanakubali vitabu kwasababu akili zao haijafungwa minyororo kwenye field moja pekee.
Unasema Quran ina contradictions je kama ni wewe amabae hujui nini kimeandikwa umeshindwa kutafsiri sisi makosa yetu yapi? Contradictions na truth ni vitu viwili tofauti tunachoangalia aya hii inasema kweli? Kulingana na uhalisia wa kitu chenyewe? Kwa kutumia tu akili ya uliyonayo
Aah mkinga bado unawaua hawa watoto humuYani huna hata utashi wa kuuliza hizo contradictions ni zipi.
Sio tu mjinga hujui, wewe ni mjinga hujui halafu huna hata utashi wa kujua.
Ujinga ni sifa nzuri kuliko upumbavu hizo contradictions ni zipi huenda unahoja karibuYani huna hata utashi wa kuuliza hizo contradictions ni zipi.
Sio tu mjinga hujui, wewe ni mjinga hujui halafu huna hata utashi wa kujua.
Unamsaidiaje mtu mjinga ambaye hajui, hajui kwamba hajui, halafu hana hata utashi wa kujua?Aah mkinga bado unawaua hawa watoto humu
Pumzika mzee mwenzangu 😂😂
Yani hata hili swali ulishindwa kuuliza mpaka nikusaidie mimi kuwa unatakiwa kuuliza?Ujinga ni sifa nzuri kuliko upumbavu hizo contradictions ni zipi huenda unahoja karibu
😂😂😂A real philosophical questUnamsaidiaje mtu mjinga ambaye hajui, hajui kwamba hajui, halafu hana hata utashi wa kujua?
Na zaidi, mwenyewe anajiona anajua.
Kazi kubwa sana hiyo.
Ficha ukilaza kamanda...aliyekudanganya Iran hasaidiwi nani..?Kikao cha nini wao si wanaume waingie vitani waache kulialia na waache kuomba misaada kutoka USA na Western countries.
IRAN ndio kidume hapo hasaidiwi na kima yeyote na hategemei misaada.
Fanya kamsaidieni bwana wenu huko anahangaika kuna casualties wengi wametangaza emergency medical huko North baada ya kichapo cha Hizbollah