Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Umesema sahihi, ukihudumia unamfanya mpenzi wako ajitume na kukupa vingi Kwa bed kuliko ukiwa huudumii
 
Wanaume dhaifu wapokee hizo Pole.

Kama Diamond hahongi,
Na wapo matajiri kibao hawahongi alafu kuna kakijana Maskini hata kwao hakabadilisha maisha ya kwao kanahonga kwa nini kasipokee pole yako
Mkuu mbona unaongea hoja dhaifu sana Diamond akihonga unadhani atatangaza aisee unajuaje hizo mambo za ndani za mtu mazee..
 
Utakuta mzazi au ndugu/rafiki anakulaumu kuwa unahonga wanawake hela badala ya kuwasidia wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…