ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Unahamisha mada!! Hoja yangu ya msingi ni kwamba huwezi ku justify kutembea na mke wa mtu kwa kuhonga pesa nyingi. Kama comment yako ilivyojieleza so stick to it......Usichanganye habariHoja ni kwamba vijana mpunguze mihemko ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
2.Ndoa ni ya watu walio komaa na kustaarabika kama unahisi huwezi kutatua matatizo yanayo husu ndoa tafadhali usijihusishe nayo.
Siku hizi manaowa tu kisa mnayo hela ya unga kuna zaidi ya kula na kupigana miti kwenye ndoa hizi..
Mimi sioi najijua hata demu tu nikawa nae sehemu akaombwa namba na akatoa wakati nimemtoa mimi out napiga, na uzuri natoa onyo mapema kabisa sitaki ujinga. Life is do or dieKwa akili hizi hata usioe wala kukaa na mtoto wa mtu. Utaishia jela kama mwenzako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ukichimba madini ndio unakuwa mental illness mkuu watu wanachimba mpaka makaburi achana na madini hiyo ni lelemama.Ndiomana visa haviishi vya kuwabutua wanaume wapo, watu kama nyie hamjui Hussle za kwenye machimbo, Kaa kimya hujui chochote kuhusu maisha ya kuchimba madini,
Wewe nae ni kiazi mviringo tu,sasa kama hawana ndoa mke na mume imetokea wapi?Una uhakika walikuwa wanayo ndoa? Kwaiyo ndo mnafundishwa namna ya kutatua matatizo kwa kuuwa?? Stupido generation..
Kweli. Sasa ndio mnazaa nje na ndani?Hoja ni kwamba vijana mpunguze mihemko ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
2.Ndoa ni ya watu walio komaa na kustaarabika kama unahisi huwezi kutatua matatizo yanayo husu ndoa tafadhali usijihusishe nayo.
Siku hizi manaowa tu kisa mnayo hela ya unga kuna zaidi ya kula na kupigana miti kwenye ndoa hizi..
Hizi statement zimekuwa zilipendwa, je serikali haina think tanks wenye kutafuta suluhisho la kudumu dhidi ya matukio ya namna hii?na kusema wanaofanya vitendo kama hivyo watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Sana inaumiza mnoTena usaliti wa kuzaa ndani ya ndoa na kutaka kumbambikia mtu inauma sana. Ni dharau kubwa mno.
Wewe ushaambiwa hadi ndugu walianza kuongea juu ya umri wa mimba na wakati wa mume kuwa yupo machimbo.., sasa sijui hata unabisha nini
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja, mkazi wa Mero, wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
Sasa huyo demu au malaya. Yaani umetoe out na hapo hapo atoe namba mbele yako? We unatongoza malaya tatizo.Mimi sioi najijua hata demu tu nikawa nae sehemu akaombwa namba na akatoa wakati nimemtoa mimi out napiga, na uzuri natoa onyo mapema kabisa sitaki ujinga. Life is do or die
Sijasema aue, nimesema tuoe ila tusifunge ndoa, inarahisha kwenye suala la kuachana na kugawana mali, kuporwa mali na mahakama kunaongeza maumivuHakuna kitu kama hiyo... wangap wameacha na wameanza upya mzee... sasa kuua kumempa nini...
Mkuu, kiombe radhi kiazi mviringo, kinatoa chips na ajira kwa wingi nchini.Wewe nae ni kiazi mviringo tu,
Hujui na hujawai tulia, mining is something special and a different world,Kwamba ukichimba madini ndio unakuwa mental illness mkuu watu wanachimba mpaka makaburi achana na madini hiyo ni lelemama.
Mimi sioi najijua hata demu tu nikawa nae sehemu akaombwa namba na akatoa wakati nimemtoa mimi out napiga, na uzuri natoa onyo mapema kabisa sitaki ujinga. Life is do or die
Angalia maudhui ndiomana watu wanatuomba hata wake za watu mwanamke kuzingua kuna hulka, na sababu nyingi, unaweza kuwa na demu kumbe hakupendi anapenda pesa zako, a reason is free for anythingSasa huyo demu au malaya. Yaani umetoe out na hapo hapo atoe namba mbele yako? We unatongoza malaya tatizo.
Haikuwa ugomviKwahiyo ukienda Machimbo ndiyo mtoto anakuwa siyo wako? What if kama alitungisha mimba na ndiyo akenda Machimbo? Wapi kwenye hayo maelezo wamesema kwamba jamaa alienda machimbo wakati mkewe alikuwa hana mimba? Kwahiyo mmeconclude kwamba jamaa alivyoenda machimbo mpaka anarudi alikuwa hajui kwamba mkewe mjamzito/amejifungua?
Kaza mwendo mama D cc Sandali AliMWANZO 4:11
Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako
Haikuwa ugomvi
Tumekujibu kilichoandika. Siku njema
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja, mkazi wa Mero, wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
Being a man is pride, respect and responsibilities. Fedheha ni Adui yangu mkubwa sana