mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
-
- #101
Umenitoa machozi mwanangu kwikwikwi. Yaani Baba zako wanaumia wewe unasemabusomi? Si uje uanzishe kiwanda cha kuprocess vitu na uuze nje?Sisi wahaya ni wasomi, wewe muhaya wa wapi bado unalima?
Hapa niko Oxford University nina kikao na ma profesa wazungu
Kama haiwezi kuingilia basi iruhusu watu wauze hata Uganda inawezekanaSerikali haiwezi kuingilia soko. Poleni na pambaneni na hali zenu
Kwa nini isiingilie wakati wanapata mapatoSerikali haiwezi kuingilia soko. Poleni na pambaneni na hali zenu
Hata sungura na kwale wadogo nilifuga. Nilipokosa soko nikagundua jinsi ya kuwatengeneza vizuri sungura nikawa nauza hadi tshs 30,000/= yaani ni watamu kuku asogeiNi yaleyale ya kuhamasisha watu wafuge sungura wakati soko hakuna. Vanilla nayo walihamasisha na kushawishi wakulima na bei kuwa kilo ni 1,000,000
Kwa hiyo kilimo ni kitu kibaya?? Acha matusi jadili mada kama huwezi funga mdomo, sio bukoba tu hata mazao mengine kama korosho ni majanga tuWahaya mshike Elimu.
Sasa mnashikilia kilimo na bodaboda mmejazana mwanza ndo maana uandishi haujanyooka na ni ujumbe unaupeleka kwa rais.
Sio magendo tu mkuu mrangi , kuna majangili wakubwa wako bungeni na viongozi wakubwa, tunawaita waheshimiwa,Magendo ukirisk lazima utoboe
Tushawaona wangapi wakifanya hiyo
Kuna watu tunawafaham walifanya magendo wakapiga hela hadi sahv wameingia kwenye siasa wnaitwa waheshimiwa
Hii dunia uwanja wa fujo ukifanya kufata mstari hutoboi,utabakia msindikizaji tu kuwatajirisha wengine
Ova
Maskini wewe amka kwenye usingiziMkoa wa mwisho tanzania kwa mujibu wa TRA
Sio mimi ni TRA wanautaja mkoa wa kagera kuwa wa kinara kwa umasikini.Maskini wewe amka kwenye usingizi
Haha tuliza hasira mkuu labda TRA ya kichwani mwakoSio mimi ni TRA wanautaja mkoa wa kagera kuwa wa kinara kwa umasikini.
Google website yao
Ndio uje Tanzania Sasa inunue za 50,000.Pole sana nilijua ni hasira hizo
Ila kwa Kweli mnapigwa haswa
Mimi nanunua vanilla ya Madagascar Kg kwa £330( 1m ya bongo)
Ila niko nje ya nchi na huku Bei ni juu kwa bei zenu mnazopigwa huko
Angalia Bei ya kg Madagascar 2022
View attachment 2291443
Ndio uje Tanzania Sasa inunue za 50,000.
Tatizo za Tz hazikidhi viwango....Ndio uje Tanzania Sasa inunue za 50,000.
Soma tena hiyo Post,mbona ameeleza vizuri sana,Shangaa na wewe
Kaanza na lawama hata sijui ni kijiti kimoja ndio elfu 32 ama
Mbona hamkujenga viwanda awamu yenuBila viwanda mtalia sana tu
Soma tena hiyo Post,mbona ameeleza vizuri sana,
Kwani huelewi wapi?
Sawa mhaya rais kasikia kilio chenu.Kwa hiyo kilimo ni kitu kibaya?? Acha matusi jadili mada kama huwezi funga mdomo, sio bukoba tu hata mazao mengine kama korosho ni majanga tu
Huyu alikuwa tapeli. Ameiba fedha za watu akajifarikisha na kupotea ktk dunia ya Njombe.Mtafuteni yule jamaa wa vanilla vilage Njombe, anununua million moja kwa kilo,
Nimenukuu matangazo yake ITV,
Huwa najidanganya kuwa wahaya wote wanajua kiingereza, kumbe wapo na wasiojua kama huyu.it's seriously issue
Mimi ni muhehe bwana na baridi ya sawala hii nitajifunza vipi kingerezaHuwa najidanganya kuwa wahaya wote wanajua kiingereza, kumbe wapo na wasiojua kama huyu.