Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Wind itakuja na speed ya 120 km kwa saa mpk pwani Kisha itabadilika speed itakuwa 60 km kwa saa..madhara yake yapo you can imagine speed ya gari ikiwa 60 Sasa ndo upepo mzee
Kuweni na Amani....mtuliza bahari YESU KRISTO yupo kazini,aliutuliza upepo mkali na kumfanya petro atembee Baharini na sisi ataiponya nchi yetu kwenye tarehe tajwa.

Kwa nini tunataja CNN,TMA,sijui kijazi...tunaacha kutaja mtengeneza dunia hii ,aliyeumba bahari hii ,aliyeutengeneza hata upepo mnaougopa ,yupo HAI......

Na anajua na ku monitor trend ya upepo na mvua ,hebu kuweni na imani kwake ....na jumapili hii ni siku ya sabato kwake .....hebu muaminini YESU KRISTO na mumuombe kila mtu kwa imani yake....

He's the master of all intelligence na creator of all things.

Alishasema "Peace be unto you ".
 
Huku athari za Kimbunga hicho 'Jobu' zikiwa zimeanza huko Mkoani Mbeya kwa Mvua Kubwa na yenye Upepo Mkali kunyesha mpaka Kuharibu barabara kwa 'Kuitenganisha' na nchi ya Malawi.

Akiongea na BBC Dira ya Dunia muda si mrefu Afisa wa Kituo cha Hali ya Hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Ndugu Samuel Mbuya aliyekuwa akizungumza na Mtangazaji Regina Mziwanda kasema Siku ya Jumapili tutegemee 'Maafa' makubwa Mikoa ya Dar es Salaam na Mafia japo Mikoa ya Mtwara na Lindi pia wanaweza Kukumbana nayo.

Ndugu Samuel Mbuya amesema hivi sasa Kimbunga hicho kipo umbali wa Kilimeta 236 kutokea Mafia na kwamba Siku ya Jumapili ndiyo 'Kitapiga' rasmi Mkoani Dar es Salaam kikiambatana na Mvua Kubwa sana na Upepo Mkali mno.

Taarifa ambazo Generalist nimezipata hivi punde tu ni kwamba tayari Balozi kadhaa nchini Tanzania zimewaonya Wafanyakazi wako kuchukua 'Tahadhari' zote cha Kimbunga hicho 'Jobu' ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania ndani ya miaka 70.

Haya kila mwana JF achukue tahadhari.
Matangazo ya jana kuhusu hicho kimbunga na leo Jua kali lilivyowahi dsm,daah kweli huu ni utabiri kama betting ya mpira tu.....labda huko Lindi na Mtwara na kwa wachawi Mafia huko
 
Tuache Uoga
IMG-20210424-WA0009.jpg
 
Kingetegea siku ya Bunge kikapita ile mitaa ya Dodoma sijui ingekuaje, nchi ingepata hasara, mara kingezoa supika wetu kwakweli Mungu atuepushe wabunge wetu tunawapenda kimbunga jobo kisiwazoe maana wanatutetea siku mojamoja wakiamka vizuri
HahahahahahahHah Nimecheka ghafla..mwendzake angesindikizwa na wengi
 
We unaambiwa upepo mkali unakuja na huku unaendelea kukaa mjini kwanini usiondoke na familia yako kwa muda mkaenda hata kibaha huko kusikilizia
Kwa mtu mzima mwenye utashi amegundua Jambo jinsi kijazi boss wangu alivyokuwa akiongea.something terrible will happen hivyo kaeni kikamanda funga nyumba Chukua family yako washa gari toka speed njoo hata dodoma kabisa Kama pesa ipo.
 
Ujinga mtupu, hicho wanasema kitapungua sana nguvu kabla hakijafika huku, tusitishane

DD2E63AF-4302-445E-90F2-043068CC2F03.jpeg
 
Back
Top Bottom