Kina mama wenye watoto wa kike, ila mnaishi na baba ambao sio walio wazaa kuna ujumbe wenu hapa

Hiki ulichoandika ni kweli 100%. Na wa-mama wengi WANAFAHAMU kinachoendelea kati ya hao baba wa kambo na mabinti wako, lakini wanaamua kukaa kimya Ili kulinda mahusiano yao.
 
Chonde chonde msivit..o.be hivyo vitoto vya kambo.
Mimi wacha nitie neno hapa, nina binti ni mtoto wa marehemu mdogo wake na wife naishi naye ni mwanafamilia yuko secondary school.

Kuniambia mimi naweza kuwa na hisia za mapenzi kwake kwakweli huo ni uwendawazimu kabisa, sijui wanaofanya hivyo wana akili gani?

Ujinga pekee ninaoweza kuufanya ni kugonga kitoto cha mwaka 2000 ambacho kilishakata kamba chenyewe na asiwe mwanafunzi na awe na sifa za ziada kunishawishi with her beauty.

Otherwise kuvitia vitoto ambavyo kimsingi wewe kwake ni Baba siwezi kufikia ushetani huo, ingawa nishamshuhudia jamaa yangu mmoja, kamla mtoto mtu, akaliwa mama mtu na akaliwa binti mwingine tena same family, nilichokiona ni ecomomic crasis ndio inasababisha mama na watoto wake wanamuuzia mbunye mtu mmoja kwa style ya kujifanya kama wanamzimia.
 
Watu wanakula kila mtu, wanakula mke hadi na wadada/wadogo wa mke. Nja mbaya kwakweli
 
Kuna jirani yetu ana binti mkubwa .binti ana mwili mkubwa kuliko mama .Yule Baba huwa namuonea huruma.ni kama wake wenza yaani
 


Lindeni ndoa, mkishindwana ameni rooms Kuwa na mahusiano huru Kulinda maslahi ya watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…