Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Witch hunt/ witch purge ni mambo yaliyofanyika ulaya zama za giza, miaka ya 500-1500.
 
Kwenye umaskini mwingi, magonjwa, vifo vya kutatanisha, umri mdogo wa kuishi na matatizo mengine ni jambo la kawada kabisa, wala hakuna mahusiano na uchawi.
 
Huo mkoa mm naona ni kama wanaishi maisha ya mwaka 2000 wakati now ni 2023.
Sijui ni ujuaji na ubishi wa kijinga ndio unawaponza sijui hata ni nn?
 
Mbn hujatuwekea picha ya wanaodhalilishwa au hata wewe unaleta uzi uli uzue taharuki ktk jamii?

Hapa niko wilaya moja ya Mkoa wa Kigoma lkn hilo sijaliona kbs
 
We fanya yako mkuu...acha nao wafanye yao..
 
Lengo la hiyo operation ni kuondoa huo uchawi,amini nakwambia uchawi umetajwa hadi kwenye vitabu vitakatifu,kwa hiyo upo.Ambaye familia yake ni wachawi ndoo wanalalamika na hii operation.
Nchi inaongozwa kwa katiba na sheria, sio hivyo vitabu vyenu vitakatifu.
 
Inaonekana unaongea kitu ambacho haujui sisi wenyeji wa hayo maeneo tunajua kiundani zaidi vifo vya kipuuzi sana vinavyotokea huko.
Vifo vya kipuuzi ni kwa sababu ya umaskini uliotopea, jamii zote masikini wastani wa umri mdogo wa kuishi ni jambo la kawaida kabisa.
 
Huyo anayeutoa huo uchawi ni nani ??
Yeye mwenyewe sio mchawi au mshirikina??
 
Nyie mnaopinga hiyo Operation mnajua mateso wanaopitia watu huko inakofanyika hiyo Operation?

AFRIKA HAIENDELEI SABABU MACHAWI YANANENEPEANA TU KILA SIKU CHA KUSHANGAZA KUNA WATU WANAWATETEA HUMU!
Africa ndilo bara linaloongoza kwa raia kuwa na imani za kidini tofauti na China, Japan, Marekani au Ulaya.
 
Nyie mnaopinga hiyo Operation mnajua mateso wanaopitia watu huko inakofanyika hiyo Operation?

AFRIKA HAIENDELEI SABABU MACHAWI YANANENEPEANA TU KILA SIKU CHA KUSHANGAZA KUNA WATU WANAWATETEA HUMU!
Africa haiendelei kwa sababu ya uongozi mbovu, uvivu, elimu duni na mawazo kama ya haya ya zama za giza.
 
Wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa wa Kigoma wauze mashangingi yao, wachimbe visima vya maji safi, wajenge hospitali karibu na vijiji na waweke barabara za vijijini lami waone kama watu watakufa vifo vya ajabu ajabu tena.
 
Wazungu wenyewe wanikiita hiko kipindi ni cha zama za giza/za ujinga na upumbavu, na wanajutia sana mpaka leo walivyokuwa wajinga enzi hizo.
 
Sasa hapo umethibitisha vipi huyo mama mdogo ndiye aliyemchezea mtoto wa kaka yako??

Mbona watoto wengi tu wanaumwa muda mrefu na kupona bila kupelekwa hospitalini!
 
Nipo zangu masanga garden nakula k vant njoo tule maisha Chief
Dah masanga jamani, Mimi ni product ya huko sema tu hivyo enzi nakuja huko kijiwe ilikuwa just in town ipo njia ya airport sijui Kama bado IPO na kule mlimani mesi kule kilimahewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…