TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Binafsi huyu mzee kinana simuelewi haya majibu yake, ni anarukaruka tu kwenye majibu.
Mfano kwenye issue ya usawa wa wabunge wa znz na Tanganyika, nyingine ni amekubali kuwa ziliungana nchi mbili na akahitaja moja kuwa ni Zanzibar ila amekimbia na hakuitaja Tanganyika.
Pia ametoa mifano mingi kuhusu wingi wa wabunge na wingi wa wananchi kutoka nchi kadhaa, katoa mf. kutoka Switzerland ambayo ina idadi ya watu 8,842,736 na ikiwa na cabinet ya watu 8 tu.
Huo mfano umetokana na yeye mwenyewe kusema ni kihoja basi ni kihoja kweli.
Na kagusia TICTS ambayo ilikuwa mgodi wake ambao anajua fika alikuwa anaihujumu nchi ila kwa kuwa yupo upande wa kula mema basi anadhihaki.
Mengi anayoongea mzee Kinana siyo kweli vile hapa ukumbini wengi tuliopo ni kondoo tu.
Mfano kwenye issue ya usawa wa wabunge wa znz na Tanganyika, nyingine ni amekubali kuwa ziliungana nchi mbili na akahitaja moja kuwa ni Zanzibar ila amekimbia na hakuitaja Tanganyika.
Pia ametoa mifano mingi kuhusu wingi wa wabunge na wingi wa wananchi kutoka nchi kadhaa, katoa mf. kutoka Switzerland ambayo ina idadi ya watu 8,842,736 na ikiwa na cabinet ya watu 8 tu.
Huo mfano umetokana na yeye mwenyewe kusema ni kihoja basi ni kihoja kweli.
Na kagusia TICTS ambayo ilikuwa mgodi wake ambao anajua fika alikuwa anaihujumu nchi ila kwa kuwa yupo upande wa kula mema basi anadhihaki.
Mengi anayoongea mzee Kinana siyo kweli vile hapa ukumbini wengi tuliopo ni kondoo tu.

