Ni kweli, hii vita inatakiwa iishe haraka ili dunia ipumue, yaani Ukraine apate kichapo na rais wao aidha auawe au akamatwe ili mazungumzo yabadilike maana ni mjinga sana anaruhusu nchi kuchafuliwa kijinga namna ile huku NATO wapo kimya. Kwanza hata wanajeshi wa Ukraine ni wajinga, it was good for them ku surrender. Ila kwa sababu kuna ka kikundi ka NATO ambako ndiko kanafanya juhudi ya kuua wote wanaozungumza ki Russia basi hakawezi kukubali.Duh hawa jamaa ni hatari sana wamechoka wataka kumaliza kazi na kupumzika
Kule syria ulifuatiliaUrusi ya sasa imebakia na makombora ya nyuklia tu..vingine ni zamani...
Sana...kuwa na silaha kubwakubwa hakutoshi, mipango na uongozi ni muhimu sana..kwa mipango NATO wako vizuri kuliko..Kule syria ulifuatilia
Sijui mnatoa wapi hizi akili [emoji16][emoji16]Ni dalili ya kushindwa vita, Putini yalikuwa ni majigabo tu hakuwa na strategies, miscalculated kwa mujibu wa Biden
Wale wafuasi wa Putini sasa wanashuhudia hii aibu
[emoji16][emoji16][emoji16]Hawa jamaa Ni Kama wale waarabu wa TALEBAN sema wao Ni wazungu pure.
Wanamisimamo mikali sana Hawa, na wanachukia sana ubepari na wamarekani kuliko kitu chochote kile.
Ndo Maana putin alivyotangaza kuivamia Ukraine, Hawa walivaa gwanda wakatangulia vitani Moja kwa moja Bila hata kumjulisha Putin
Mbele ya Safar ndo barua ikamfikia Putin kua wanamunga mkono
Pesa na vyeo viliwalainisha...Hawa Putin walimuonyeshaga joto ya jiwe. Sema sasa eti wamekuwa marafiki na Putin.
Russia hajaonyesha udhaifu wowote, Putin na Russia wamekuwa na huruma sana na alisema tangia mwanzo kuwa wao hawanashida na wananchi wao wanamtaka pappet Zelensky na kushika ukrain na kufanya reform upya hakuna jingine sasa yule pappet Zelensky kaingia mkenge kwa kuwasikiliza USA na NATO akaamua kuvunja mkataba wa Minsk(nadhani nimesahau spelling Ila ujumbe umefika) ilo moja, tatzo lingine Zelensky amekuwa akifanya unyanyasaji na mauaji ya watu wa majimbo huru kwa takriban miaka 10 huku akipotezea onyo za Russia. Putin anawafanyia fair tuNi katika hayo mapambio tu, Russia kwenye hii vita kaonyesha udhaifu mkubwa mpaka magenerali wake wanaonekana dhahiri frustrated
Alifikiri vita ni kuangusha majengo marefu tu ya raia, kwa mfano anaangusha jengo residential house refu lakini wanakufa watu 4 tu, hajui watu wako wapi wala chochote akiingia mtaani wanagongwa ni raia waliopewa silaha kwa siku ya vita
Poor putini
We muongo, unaandika uongo mtupu.Hiyo habari ya kugawa chakula ni ya kutoka TV ya russia hata CNN wali " quote" ukibisha tutakuwekea hapa.
Au vipi ile script iliyosomwa Umoja wa Mataifa mazungumzo ya askari wa kirusi na Mama yake kabla hajapigwa risasi na ma sniper wa Ukrain. Kifupi anasema walidanganywa waliambiwa mazoezi tu wakajikuta wako vitani.
Na ile Helicopter ya KA-52 warusi waliilinganisha na Apache ya US zimetunguliwa na Ukrain mpaka china aliyetaka kuzinunua ameziponda sana wanasema bora kumbe za kwao.
Halafu hayo mambo ya njaa kali kwa Askari yamepatikana baada ya ma Hacker wa nchi mbalimbali kunasa mazungumzo ya askari wa urussi kibao toka vita vianze wakiongea a kupanga mipango ya vita, ndio mara dizeli na msosi wameishiwa wanajadili. Sasa watu walidhani jeshi super power kama urussi vipi mazungumzo yananswe kirahisi mpaka meja jenerali mmoja akauawa sababu sniper alijua anakuja na helikopta. Hii ni vita ya David na Goliath. Putin anasota sanampaka huyo jamaa kauona msoto anataka kumsaidia.
Labda atumie zile mbinu za Syria kuoiga mabomu mtaa kwa mtaa sambaratisha mpaka paka na mbwa.
Ukweli ni kwamba wa Chechnya wapo wanapigana toka muda tu. Kumbe putin ni kujimwambafai sana na nuklia. Nuklia hata india wanazo nchi ambayo inasemekana raia wengi hawana vyoo.
Ila ikifikia vita ya mitaani mano to mano bado US Marines ni moto wa kuotea na huwezi nasa mazungumzo yao.
Wala hawavai nguo za jeshi za adui kama wanavyofanya warusi kuogopa kichapo.
Putin atashinda hatimae ila atavuliwa nguo zote
Nchi huru Chechnya au ipi hiyo mnaizungumzia.Hawana njaa kabisa Hawa jamaa,
Wanajitegemea kwa kila kitu na wanaserikali Yao kabisa na kiongozi wao.
Putin Ni Kama godfather wao,
kaheshimu maamuz Yao Kama nchi huru, Ni waislamu Safi na wanajiendesha kwa Sharia Kama vile wako uarabuni.
Na uone walivyo na morali,
Kiongozi wao ndo Yuko mstar wa mbele kwenye Hii Vita uko Ukraine, hakai ofisni Wala kambini kutuma vikosi.
Yuko na vikosi Mona kwa Moja kwny battlefield, ndo uyo unaemuona.
Ila Kuna watu waongo aiseeWalimnyooosha Sana kipind wakitaka kujitenga na kutumia Sharia kujiongoza, akawahofia misimamo mikali kumletea magaidi Russia.
Walimsumbua sana putin mwishowe akaona awaachie waishi wanavyotaka wao kwa mfumo wa Sharia.
Na sahv wamekua jamii inayojitegemea kabisa, wanakiongoz wao na Wanampenda Sana Putin Kama godfather wao kuwapa uhuru.
Kule chechniya,
-Ukikutwa na MKE wa mtu unapigwa mawe unauwawa, na putin wala haingilii
-ukiiba unakatwa mkono, na Putin wala haingilii.
Kule Ni marufuku kufungua kanisa,Ni misikiti TU.
usiusemee uislamu wakati huna ujuzi nao mkuu, hakuja jihadi hapo hiyo ni vita ya urusi na ukraine na haihusiani na uislamu hata 1%..Kajifunze kitu inaitwa jihad,
Afu utapata jibu la swali lako
Jamani hili sio Taifa huru ni jamhut zilizo ndani ya Urusi na mkumbuke Urusi ni shirikisho na sio nchi Moja.Hawa jamaa wangekua Ni washari Sana afu wakawa na vifaa pamoja na nyuklia Kama Russia.
Sidhan Kama marekani na washirika wake wangekua katika uso wa dunia mpk Leo hii.
Kwa chuki walonayo dhidi ya wamarekani wangeshawalipua Moja kwa moja Bila kujiuliza Mara mbili.
Ile haikuwa vita ya Waislamu ila vita kati ya wachechnya wanaotaka kujitenga na jeshi la Urusi.Huko Chechnya si ndio Putin alichinja sana waislamu, leo masheikh wa bongo wanavyomsifia huyo Putin.
Zote ni republic ambazo zipo zote ndani ya urusiKuna tofauti gani kati waChechniya na waDagestani?
Ile haikuwa vita ya Waislamu ila vita kati ya wachechnya wanaotaka kujitenga na jeshi la Urusi.
Kwa hiyo aliwapiga bila huruma kabisa.
Na kushinda vita ile
Needless to say;this is beyond your pay grade.Yes. Akili kijiko nguvu tembo ndo marafiki wa Putin. Na washabiki wengi wa Putin huku ni wale wanakaaga vijiweni akili hawana. Kwa kifupi huwa wanalishwa hadi chakula. Hawajui lolote kuhusu uchumi