Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Kuna siri kubwa sana juu ya jinsi gani binadamu anakuwa obsessed na kumpenda mtu mpaka kumuoa na kwenye hiyo siri vigezo binafsi havihusiki kabisa.
Mfano kuna gorgeous mmoja black beauty flani hivi smart upstairs!. sawa na sifa zote hizo lakini mimi sijali kuhusu hizo sifa zake na hata sijui nimempendea nini!... I just love her for no reason na nikimuona sura yake na kuangalia macho yake ya brown marble nahisi kuwa hypnotized. Na ukingatia mimi sio pathetic kiasi cha "kupenda" mtu kiasi cha kujishangaa it's weird.

Sasa unaona mkuu, siku ukifikia hatua ya kuoa basi utajishangaa na kushuhudia unavyooa mtu usiyemtarajia tena bila kujua kwanini. Hizo sifa zote utazipotezea na kuzisahau.
 
Kwa taarifa yako wanawake weusi ndiyo wazuri Kwa wanaume wengi, lakini swala la kigezo ni la mtu husika na halimpi majibu sahihi mtu mwingine mwenye sifa zake dhidi ya mwanamke anayemtaka
 
Noted
 
Kwa taarifa yako wanawake weusi ndiyo wazuri Kwa wanaume wengi, lakini swala la kigezo ni la mtu husika na halimpi majibu sahihi mtu mwingine mwenye sifa zake dhidi ya mwanamke anayemtaka
Toa mfano wa mtu maarufu hata mmoja mwenye mke mweusi kwa hapa Tanzania
 
Kwangu mimi
Urefu 30%
Ucha Mungu 30%
Weupe 30%
Usafi 10%
Chura 0%
 
Binafsi

Dini 20%
Heshima 20%
nasaba yake 20%
Uzuri 20%
Upendo kwangu na ndugu 20%
 
kwa matukio niliopigwa!! Naona kuoa siolazima wote tuoe dunia inaenda kasi sana mambo mengine kama kuoa inabidi yasipo kuendea vzuri unaachan naayo kabsa una move on.

Kwang mm naoa mtoto ndo walazima ili kuacha legacy yko na awe kazaliwa na mwanamke ambay kila mtu ana sifa kam zinazotolewa..

Apo sasa linakuja swala la MALEZI atleast mtoto nae ajihisi kam binadamu flan hv

Apo linakuj swala la PESA . Ili yakikutoa yakutokea una uwezo wa back up na una move on
 
Noted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…