Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
I will not Marry anyway umeisoma hio?? Nakula mbususo tuBado upo Dunia ya ngap mkuu?? Watu washatoka huko zaman mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I will not Marry anyway umeisoma hio?? Nakula mbususo tuBado upo Dunia ya ngap mkuu?? Watu washatoka huko zaman mno
Ntakuwa na hawala tu ila sio mke na sio mahawala Bali hawala na namzalisha watoto vizuri tu ila kumuoa no no ntampa matunzo yote yote bila hiana.Huo Ni uzinifu na utachomwa Moto wa milele
Mkuu naona una uhaba wa kugonga pic Kali na wenye matakoUkioa kwa kutokuzingatia hivyo vigezo huoni kuwa kwa baadae itachangia kuleta misunderstanding ndan ya ndoa ??
KabisaMkuu unataka kuleta matatizo
Hapo nadhani sifa f,h na i zinapaswa kuwa na asilimia kubwa
Back to the question, mimi ningepanga hivi
1. Dini/imani/itikadi/hofu ya Mungu - 65%
2. Mali - 20%
3. Uzuri - 15%
😂😂Mkuu naona una uhaba wa kugonga pic Kali na wenye matako
Jamaa nimshamba Sana plus kukosa experience ndio maana anaongea utumbo
Ndio imeisha hio, makamuzi yaendeleeHuyo atakuwa mkeo Sasa!! Kwan defn ya kuoa inasemaje ?
Kama ingekuwa kweli unawala wala usingekuwa unaangalia hivyo vigezo kwa mwanamke unayetaka kumuoaMkuu pic Kali ndo chakula changu Cha kila ninapohitaji,kinyume na hapo sili
Mkuu wala hakuna sehemu nimekutukana ila nimekwambia ukweliBaada ya kukosa hoja umeamua kuvuka mipaka Sasa!! Nimeandika Uzi huu ili kuwanusuru nyiny wazinifu,mlionuka uzinifu mwil mzima
Nasema hivi... Wewe ni kijana mtoto mtoto tena wale mnaotafutaga wanawake wenye kazi wachangie mahitaji ya maisha yenuNijibu Kwanza swali langu mkuu,maana una pretend kitu ambacho hakina hata fact
Yaani awe na dini kwa asilimia 0.5 kisha wakati huo huo awe na uwezo wa kutii na kufuata maelekezo (halali) kwa asilimia kubwa hivyo? Mbona kama umechanganya au mimi ndio sijaelewa.Uwezo wa kutii na kufuata maelekezo = 80%.
Umri 2%.
Uzuri 3%.
kuyajua na kuyatimiza majukumu yake 12%.
Historia ya familia anayotoka 1%.
Kujua kupika 0.5%.
Usafi 0.5%.
Dini 0.5%.
Elimu 0.5%.
Nimevujisha pepa lote.
Wew unataka baadae uje uwe msumbufu kwa wake wa wenzio