KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

600,000 Tzs kufadhili ugaidi sio Jambo dogo, kumbe ugaidi sio garama
Mkuu unafikiri nyumba unayokaa inahitaji petrol na kiberiti cha Shilingi ngapi kukuangamiza na familia yako? Laki 6 inaweza nunua madumu mangapi ya petrol na kuuwa wangapi au kuchoma Filling Stations ngapi. Hapo ndipo utajua impact ya laki 6 kwenye ugaidi. Gaidi ni mtu hatari sana
 
mtakoma na magaidi yenu mlifikiri hatuwajui mtatajana tu wote mnataka kuua mpaka mkuu wa wilaya? sasa anatoka kuja kutoa ushahidi huku mtakoma
Huyo ata atoke kesho ,alishafutwa pembe zote za dunia , hivyo hivyo yeyote asogeleaye nyayo zake amefutwa, asema bwana

Hatutwishwi na joka kuu, maana Bwana ametupa mamlaka ya kuyadhibiti hata yawe 1000
 
Aiseeh , nlikua najua kwa utisho na ukubwa wa neno "GAIDI", Basi Kuna hela ndefu Sana inayohitajika kuufadhiri!

Kumbe hata 600k inaweza fadhili MAGAIDI na ikatosha!!?

Kuna haja ya kujiadhali Sasa, maana naona wote Ni magaidi TU, kwn uwezekano wa kuipata 600k upo kwa Kila mtu aamuae!
 
Aiseeh , nlikua najua kwa utisho na ukubwa wa neno "GAIDI", Basi Kuna hela ndefu Sana inayohitajika kuufadhiri!

Kumbe hata 600k inaweza fadhili MAGAIDI na ikatosha!!?

Kuna haja ya kujiadhali Sasa, maana naona wote Ni magaidi TU, kwn uwezekano wa kuipata 600k upo kwa Kila mtu aamuae!
[emoji3][emoji3] Habari yako bwana GAIDI?
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali...
Hivi unahitaji hela kiasi gani kukodi wavuta bangi wa kuchoma vituo vya mafuta?

Acheni mahakama ifanye kazi yake; Ayatollah Mbowe is presumed innocent until proven guilty!
 
gaidi ananyooshwa kwelikweli
1629714436193.png

AMEN
 
gaidi ananyooshwa kwelikweli
Mbowe hana pressure. Hela yake iko benki (Uswisi, Dubai, SA, nk) imetulia inasubiri matumizi akitoka.
Halafu sasa hivi serekali inamgharamia chakula na malazi bure. Hatumii hata sensi tano yake. Wewe na mimi ndiyo tupo huku mitaani tunaitafuta sumuni ya kununulia hata chips dume.

Bila kusahau kuwa umaarufu wake unakuwa kila iitwapo leo. Kama Nelson Mandela!
 
Haya mambo yanashangaza, huku naona ugaidi, upande wa pili nasikia tena uhujumu uchumi, hawa jamaa naona wanaweka mashtaka yasiyo na dhamana ili waendelee kumuweka ndani.

Hii kesi naona imetengenezwa ili kuipoteza ile ya Sabaya, kule Sabaya akihojiwa anasema ana maadui wa kisiasa, hapo Kisutu wanasema Mbowe alimsababishia majeraha Sabaya, hayo majeraha aliyapata lini? wapi? waliripoti polisi? wana RB?
Utajua tu kama aliwahi dhuriwa na Makengeza,ngoma ndo kwanza inaanza
 
Aiseeh , nlikua najua kwa utisho na ukubwa wa neno "GAIDI", Basi Kuna hela ndefu Sana inayohitajika kuufadhiri!

Kumbe hata 600k inaweza fadhili MAGAIDI na ikatosha!!?

Kuna haja ya kujiadhali Sasa, maana naona wote Ni magaidi TU, kwn uwezekano wa kuipata 600k upo kwa Kila mtu aamuae!
Soma maelezo na ufafanuzi #195 kutoka kwa Omtiti ndipo utajua namna 600000/= inaweza kufanya UNYAMA NA UGAIDI wa ajabu!
 
Mbowe hana pressure. Hela yake iko benki (Uswisi, Dubai, SA, nk) imetulia inasubiri matumizi akitoka.
Halafu sasa hivi serekali inamgharamia chakula na malazi bure. Hatumii hata sensi tano yake. Wewe na mimi ndiyo tupo huku mitaani tunaitafuta sumuni ya kununulia hata chips dume.

Bila kusahau kuwa umaarufu wake unakuwa kila iitwapo leo. Kama Nelson Mandela!
ndiyo inabidi ujishangae wewe unayetoa mimacho kuangalia comment zinazomsemambowe iliuzijibu badala ya kwenda kutafuta hea ya chips dume
 
Back
Top Bottom