Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Uuuiiuuuuuhh 😁😂😂😁🤣🤣🤣🤣Eti mnajikuta tu mnakaa kama kaka na dada nyieeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uuuiiuuuuuhh 😁😂😂😁🤣🤣🤣🤣Eti mnajikuta tu mnakaa kama kaka na dada nyieeee
Wewe tulia mkuu.....tumtoe nyoka pangoni.....wewe andaa panya Tu wa kumlisha
Nyie nao,umbea wote huu mjini huyo mkeo inabidi alete story za kumsengenya majiraniKumbe Kuna muda story zinakata mnabaki mnatazamana kama mabeberu
Hahaha kwa usawa wanaoutaka lazima wao nao wachangie mengine zaidi ya hiyo uliotaja hapo juu tu. Kama raha tunapata wote why should I be the only one to keep strengthening the relationship forward tu?Tangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Nyota njema huonekana asubuhi lakini wewe ulivyo na bahati nyota yako imeonekana jioniunataka nikafe nikifufuka nije na uzi um🤣🤣🤣
Nini kikuue wewe?unataka nikafe nikifufuka nije na uzi um[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Nilijua kugongewa mke ni uongooo ahhhh kumbe kweli banaaaa duuuuh wahuni sio watuwazur
Wanakuwa kama wapo kambini kumbe ni wanandoa......kama story hamna si mnavuana nguo tuNyie nao,umbea wote huu mjini huyo mkeo inabidi alete story za kumsengenya majirani
we utakua chawa wa uyo jamaa nini🤣🤣🤣mbon upo serious kuliko yeyeNyota njema huonekana asubuhi lakini wewe ulivyo na bahati nyota yako imeonekana jioni
Nmempa wine sasa hatak turud getoAlaaa........sasa mbona mnavutana kama walevi.....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah!!!!
Mkuu....hayo mambo ni Siri ya kambi.......kikubwa heshima tu.......ukishaoa vaa joho la ujinga ili uishi maisha marefu...... ukijifanya mwanasayansi mapema tunakuzika
Ms R njoo PM tuyajenge😋ebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
Sumu
Sasa ulifanyaje?ukilala kibarazani au shwaaa Kwa shosti?Kwamba mwanaume weza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wangu😂😂😂😂😂.
Tangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Wanasaidia kulea na majukumu mengine ya nyumbani.Na huu ukweli mchungu ambao wanawake wanaupinga.......ngoja niishie hapa nisijeonekana nawavunjia watu heshima bure
Amekataa panya anataka kuku wa KFCWewe tulia mkuu.....tumtoe nyoka pangoni.....wewe andaa panya Tu wa kumlisha
Au naongopa Mzee mwenzangu.......wajuaji wote wapo kwenye vifusi....... wajinga tunadumu......utaumiaje wakati mtu kaamua kugawa kitobo chake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaoa kwel 😋😋au unatania kam mimMs R njoo PM tuyajenge😋