ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
auYule Refa wa kichapo chenu Dahane ameteuliwa na FIFA kuendesha mashindano ya Olimpik kuanzia august 20 mwaka huu...
Kelele za vyura inamaana hawa FIFA hawajasikia au?
Hua hamkomi kiherehere tarehe 20 sio mbaliCc mayele clabu ya wahuni.
Ni yule bilinganyqMbona hawajasema ni mchezaji gani huyo
Msitutishe bana...mnajiamini nini sasa...kwani ss tunaoongea ndo wachezaji? Kama wao wamebweteka huko watakandwa wao...Hua hamkomi kiherehere tarehe 20 sio mbali
Hatuwatishi ila mkae mkijua safari hii kipigo kitakatitfu kitahusika kama mnaweza kuomba mechi isogezwe mbele fanyeni hivyoMsitutishe bana...mnajiamini nini sasa...kwani ss tunaoongea ndo wachezaji? Kama wao wamebweteka huko watakandwa wao...
Waambie wapuuzi na waoga wasiojua mchezo wa mpira mkuu..ila sio sisi..labda mlete majini ila mkicheza watu timu kama timu huo ubashiri wako haujakaa kimichezo...hizo ni fantasy zakoHatuwatishi ila mkae mkijua safari hii kipigo kitakatitfu kitahusika kama mnaweza kuomba mechi isogezwe mbele fanyeni hivyo
Tangu lini majini yakacheza mpira? tarehe 20 kipigo ni inevitableWaambie wapuuzi na waoga wasiojua mchezo wa mpira mkuu..ila sio sisi..labda mlete majini ila mkicheza watu timu kama timu huo ubashiri wako haujakaa kimichezo...hizo ni fantasy zako
Sasa nyie mfungiwe mna nini?Hawa watu wa ajabu sana hawakawii kuja hapa kusema FIFA inawaonea wivu mafanikio yao
Barua inaeleza kuwa Yanga walikumbushwa lakini wakashupaza shingoTatizo ni TFF ilikuwaje wasione tatizo Hadi fifa waone
Yanga wqkihesabu Wana bahΓ‘ti.
πππSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.View attachment 2961481View attachment 2961482
Ww endelea kusema taarifa yao haijajazia lkn hy kitu imetoka FIFA Sasa Nyie wafia Yanga hamtokaa muelewe.Malipo ya mchezaji gani? Mbona taarifa yao haijajazia..
Imepenya hiyo [emoji382] makalioni mwako vumilia tu maumivu Makolokolo Mwandamizi [emoji38]Wewe utakuwa unatoka SENGE-Rema
Kwamba unajifanya leo mimi kuwa ni utopolo?Ww endelea kusema taarifa yao haijajazia lkn hy kitu imetoka FIFA Sasa Nyie wafia Yanga hamtokaa muelewe.
Tukiwaambia Yanga ni wahuni mnakuja kutuona sisi hatuna akili