Kwa kweli ameshtuka na kwa hili alikuwa akwepeki kujumuishwa na huwenda Ni yey kawapa taarifa Hawa wanaojita dcea
 
Eddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkude kijna wa kinondoni Sina mashaka nae na edon na kipa manula na. Mohamed hao pia nawatilia mashaka Sana baada ya hi ripot kutoka nimewaza mbli San jinsi alivyo weze kufanikisha biashra zake kwa kuwatumia vijana
 
Mmiliki wa Cambiaso fc bwana Zuber alijaribu kuhonga Hela Kwa Kusaya Ikashindikana.
.
Ni vile Kusaya ni Tiss na mkorofi Sana so Jamaa hakufanikiwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kweli jamaa Ana nusa haswa nakumbuka kipindi fln aliwai nusa utakatishaji pesa kweny kampuni ya stawisha ya kuingiza pesa kuwapa chadema kufanya kampeni huyu kusaya alikuwa ndio katibu mkuu wizara ya kilimo kwa wakt ule

Kampunihyo iko hapo uyule ya waolanzi
 
Watu wengi wa masaki na osterbay nje watu ndani nyoka! Kyna jirani yangu mmoja hapa upanga anabadilisha magari kila siku na si hizo kama ist zenu ni hizi ranger rover jana amenunua land discover namba E halafu ana biashara ya kipuuzi tu kariakoo
Babu mripotie achunguzwe
 
Ogopa San vijan watemeke ogopa Sana nikisikia mtu anakah tmk namfikiria vibay san
 
Napitia page za wachambuzi. Naona wote wamepiga kimya. Shaffii alikuwa ameandika naona kafuta. Wale wa maswali kwanini the so called wachambuzi wanaacha kazi Azam na kwenda kwenye vilabu, mmepata majibu
Mm ndio niliye pandisha ule Uzi sas leo nimepata majibu why and soo
 
Lakini kwa Simba viongozi wao kufanya hivi siyo ajabu, Marko Masanja mpaka Leo yupo jela China huko
na hawa macho ndogo unaowaona wamejaa kariakoo na tanzania kwa ujumla ya baada ya yule mtoto wa namba moko wakati ule kushikwa kule kwa wa wamandarin.
 
Majambazi ndio.tunaita waheshimiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…