Huu ni ujasiri wa Hali ya juu kwa mamlaka zilizohusika na uchunguzi na ukamataji wa mapapa haya
. Tanzania wazalendo bado wapo wengi. Wajitahidi tuu ushahidi uwe watertight ili conviction ipatikane ijapokuwa ni ngumu Sana kwa kesi za aina hii.
Watanzania tunaoishi kinafiki Sana na dini zetu. Machoni mwa watu tunajionyesha ni wema Sana, watoa misaada kwenye jamii, wajenga nyumba za ibada ,hata mtu akiisema vibaya dini ambayo upo kwa jina tuu ila matendo upo tofautibkabisa unaweza kumtoa roho.
Najua ni jukumu la mahakama pekee kuthibitisha tuhuma hizi na haturuhusiwi kumhikumu hata kwa maneno lakini kitendo Cha mtu mwenye daraja la alhaji ambaye ameshasafiri kwenda kumpigia sheitwani na mawe kutuhumiwa tu au kutajwa linafikirisha. Tuwaombee vijana wetu wanaofanywa mazezete na watu hawa wasiojalinkesho yao