Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Ila simba, chui na black mamba ni very aggressive sana Yani ukikutana nao no bargaining ni kufa tu ila hili komodo ukilishtukia unasepa tu au unaweza kulikimbiza na fimbo na likaogopa
 
Mkuu nashukuru kwa mchango wako, japo nasikitika haujui vizuri ni mnyama gani tunaemzungumzia hapa. Huyo lizard inaemzungumzia hapa hana uhusiano wowote na hili dubwasha. Ni sawa sawa uone paka afu uje uwambie watu umeona chui eti kwa sababu tu paka na chui wanafanana.

Kifupi hili dubwasha linaitwa Komodo dragon, venom yake haina kinga kwa mnyama yoyote yule hapa duniani.
Hapa nikiwa na maana kwamba huyo mangoose wako akikutana na hili dubwasha ataliwa bila hata kutumia gharama ya sumu. Kwanza ni mkubwa mara 3 au 4 ya huyo mangoose wako, pili ana mdomo wa kuweza kummeza mtoto wa mbuzi wa miezi 2 mzima mzima, na kama ni mnyama mkubwa itachukua dakika 3 tu au 4 awe ashamaliza hadi mkia. Tatu ana sumu ambayo hakuna mnyama anaweza kuiepuka kwa namna yoyote ile, na mwisho ana nguvu mara 5 ya huyo mangoose wako wakijichanga na black mamba wake wote wataliwa kwa pamoja. Don't mess with this devil brother, halina msalie mtume kwa kitu chochote kinachoitwa kiumbe.
Ndo huyohuyo
 
Mkuu nashukuru kwa mchango wako, japo nasikitika haujui vizuri ni mnyama gani tunaemzungumzia hapa. Huyo lizard inaemzungumzia hapa hana uhusiano wowote na hili dubwasha. Ni sawa sawa uone paka afu uje uwambie watu umeona chui eti kwa sababu tu paka na chui wanafanana.

Kifupi hili dubwasha linaitwa Komodo dragon, venom yake haina kinga kwa mnyama yoyote yule hapa duniani.
Hapa nikiwa na maana kwamba huyo mangoose wako akikutana na hili dubwasha ataliwa bila hata kutumia gharama ya sumu. Kwanza ni mkubwa mara 3 au 4 ya huyo mangoose wako, pili ana mdomo wa kuweza kummeza mtoto wa mbuzi wa miezi 2 mzima mzima, na kama ni mnyama mkubwa itachukua dakika 3 tu au 4 awe ashamaliza hadi mkia. Tatu ana sumu ambayo hakuna mnyama anaweza kuiepuka kwa namna yoyote ile, na mwisho ana nguvu mara 5 ya huyo mangoose wako wakijichanga na black mamba wake wote wataliwa kwa pamoja. Don't mess with this devil brother, halina msalie mtume kwa kitu chochote kinachoitwa kiumbe.
Umeelewa au umekurupuka tu kujib???
 
Mkuu nashukuru kwa mchango wako, japo nasikitika haujui vizuri ni mnyama gani tunaemzungumzia hapa. Huyo lizard inaemzungumzia hapa hana uhusiano wowote na hili dubwasha. Ni sawa sawa uone paka afu uje uwambie watu umeona chui eti kwa sababu tu paka na chui wanafanana.

Kifupi hili dubwasha linaitwa Komodo dragon, venom yake haina kinga kwa mnyama yoyote yule hapa duniani.
Hapa nikiwa na maana kwamba huyo mangoose wako akikutana na hili dubwasha ataliwa bila hata kutumia gharama ya sumu. Kwanza ni mkubwa mara 3 au 4 ya huyo mangoose wako, pili ana mdomo wa kuweza kummeza mtoto wa mbuzi wa miezi 2 mzima mzima, na kama ni mnyama mkubwa itachukua dakika 3 tu au 4 awe ashamaliza hadi mkia. Tatu ana sumu ambayo hakuna mnyama anaweza kuiepuka kwa namna yoyote ile, na mwisho ana nguvu mara 5 ya huyo mangoose wako wakijichanga na black mamba wake wote wataliwa kwa pamoja. Don't mess with this devil brother, halina msalie mtume kwa kitu chochote kinachoitwa kiumbe.
Tatizo huelewi sentensi na unajibujibu, acha stori za vijiwen unakurupuka kuja kuanzisha uzi uku
Ko we ndo mtu pekee ulioona hilo dunian apa sio, afu umeelewa mangoose jimemuwekaje apo au unakurupuka tu
 
Zaman binadam wanaoishi katika mapori yaliokaribu na hao jamaa walikuwa wanaishi vizuri tu kwa raha mustarehe. Sasa haya madubwasha baada ya kumaliza wanyama waliokuwa maeneo hayo. Wameanza kuwinda na binadam. I mean binadam yeyote ukiingia 18 zake umeliwa. Kwahiyo watu wanaanza kwenda kuishi mbali na maeneo au hifadhi za wanyama hao.
Hakuna mnyama anaewinda binadam kwa akili zake timamu, kama hujui hili una akili za mtoto wa darasa la5, na mwili wa H baba
 
Ila simba, chui na black mamba ni very aggressive sana Yani ukikutana nao no bargaining ni kufa tu ila hili komodo ukilishtukia unasepa tu au unaweza kulikimbiza na fimbo na likaogopa
sahihi kabisaa
 
Anapatikana wapi jamani nianze kuepuka hio njia?😂😂
Maporinu,vichakani,halafu yakikukimbia hayo hayapigi kelele ni kimya kimya na yanambio na mkia wake una nguvu za ajabu!.
Niliwahi kushuhudia akiharibu ekari 4 za karanga kachimbua chimbua kazikatakata ni hatari wakuu
 
Dah uongo uliopitiliza komodo hana sumu. Ila mate yake yamejaa bacteria na hii imesababishwa na uchafu wa kinywa chake. So akikuuma anakuachia bacteria ambao watakushambulia na itachukua muda kufa na si kwa dkk 3 au 5 ni zaidi ya masaa kadhaa. Acha uongo
 
Ila simba, chui na black mamba ni very aggressive sana Yani ukikutana nao no bargaining ni kufa tu ila hili komodo ukilishtukia unasepa tu au unaweza kulikimbiza na fimbo na likaogopa

Kwa binadamu ni mwoga hana ujanja hata kwa wanyama linavizia vizia kwanza halina mbio kiviilee maana likishaona mnyama linanyatia alafu likinkaribia linawahi king'ata mguuni alafu linalalia tumbo hapo hapo huku linamtizama yuke mnyama anavyoanza kuishiwa nguvu na anakoenda kudondoka
 
Hakuna mnyama anaewinda "BINADAMU" kwa akili zake timamu, kama hujui hili una akili za mtoto wa darasa la5, na mwili wa H baba
Wale wanaoliwa na mamba pindi wanapoenda mtoni kuoga, kufua au kuchota maji wanakuwaga mashetani au miti? Wale wanaouwawa na chui au simba wakiwa wamelala majumbani mwao usiku ni mashetan au miti? Wale wanaoenda labda shambani na ghafla anavamiwa na chatu na kuuwawa huwa ni miti au mashetani?
 
Back
Top Bottom