Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Pamoja na kuwa mfuasi wa cdm wa muda mrefu, inaonyesha hujui vizuri siasa zakeLissu apewe nchi by 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kuwa mfuasi wa cdm wa muda mrefu, inaonyesha hujui vizuri siasa zakeLissu apewe nchi by 2025
Acha mihemko wewe, rudia clip ya Jana, amesema angalau sa100 ana sikio la kusikia.Acha kupotosha wewe mbowe ndo mwamba wa siasa hapa nchini na hayo maneno labda kama unambowe wako huko kwenu aliyesema hivyo sawa.
Huyu?Labda mzee wa ubwabwa n mpe maana chadema n vibaraka kama ccm
mpumbavu ni wewe na ccm yako yote na sio chadema ndio maana huyo mkapa wenu kwa ulofa na upumbavu wake hakuendelea kuishi hapa dunian maana Mungu aliona ni lofa bora atoweke na nyie malofa wachache mliobaki ni wala la muda tu.
Changia kama mtu mwenye akili timamu hata kama huna akili ya kiwango cha juu.Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Kwa sasa sitaki tena kusikie hilo jina!Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Irudie akili yako ya 2015!Changia kama mtu mwenye akili timamu hata kama huna akili ya kiwango cha juu.
Kuua watu, kuteka, kutesa, kupora watu pesa zao, kuoba pesa ya Serikali na kuofanya yake binafsi, kuwapoteza watu wanaomkosoa, hayo yote wewe unaita ni udhibiti wa nidhamu na kupambana na ufisadi.
Marehemu, tumshukuru sana Mungu kwa kuweza kumwondoa kwenye madaraka kwa namna ambayo wengi hatukufikiria. Alikuwa ni mtawala katili, alitekosa hekima, mtawala juha, aliyeongoza kwa uwongo na hadaa, na wajinga wengi aliwapata kwa hadaa zake.
Ni wapi ambapo Magufuli alifanya vizuri?
1) Kuangusha ukuaji wa uwekezaji toka 28% hadi 4%?
2) Kuangusha ukuaji wa utalii toka 15% mpaka 3.6%?
3) Kuangusha thamani ya mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa 50%?
4) Kupora pesa zaidi ya trilioni 1.5 za Serikali na kwenda kuzificha nyumbani kwake?
5) Kuwafunga matajiri, na kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi, kisha kuwalazimisha kununua uhuru wao kwa pesa aliowapangia yeye na wakala wake, mganga, na kisha pesa yote kuipora yeye binafsi?
6) Kupunguza speed ya ujenzi wa barabara za lami, toka zaidi ya 12,000km za mtangulizi wake mpaka 2,800km tu mpaka anafariki?
Wsjinga wataendelea kumhusudu, na siyo jambo la ajabu, maana hata majambazi huwa yana watu wanaowaona ni wakombozi wao. Kwa baadhi ya watu, jambazi sugu ni shujaa, lakini kwa wenye akili timamu, jambazi sugu, ni mwovu kupindukia.
Wakati tunamshukuru Mungu kwa matendo yake makuu ya kumwondoe mtawala mwovu, tuendelee kumwomba Mungu awajalie moyo wa ujasiri mkuu ndugu, wanafamilia na marafiki wa wale wote ambao marehemu aliwaua au kuwapoteza. Wafarijike na tendo kuu la Mungu, maana yule kiongozi mwovu, kule alikodhani anawapeleka kuwakomesha wakosoaji ili wasimkosoe tena, naye ndiko alikoenda.
Ukiangalia kwa jicho la tatu Rais Samia Suluhu anafanya maendeleo makubwa sana nchini lakini ukiangalia kwa jicho la chuki hautaona Chadema wakae kwa kutulia watanzania wote tunamuamini Rais wetu na tunajua atatufikisha tunapotakaNilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Chadema wameshazoea kulalamika hawajai kuona zuri yani wanaweza wakakwambia mpaka mabaya ya Nyerere hahha tumeshawazoea lakini sasa watanzania hatuyumbishwi tunajua Rais Samia Suluhu ndio kiongozi anaestahiliNyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Kama jibu lako ndo ili una tofauti gami na huyo mdude.unajifanya unajielewa kumbe nawe jinga tu.Muulize mama yako atakwambia
Ulitaka wawaeleze wapi wakati mmewafunga midomo na mikono.amuoni aibu.Wala usijali chadema hawana kitu kimpya cha kuwaeleza wananchi matapeli tu hao
Kuna ufisadi gani alipambana nao magufuli.Ni pumbavu kama wewe peke yake anayeweza kuamini ule usanii.Kama uliamini ule ujinga wewe nae ni pumbavu.Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Wananchi wakikasirika wako tayari kuchagua hata mwehu. Ni vigumu kumshawishi Mama anayenunua Mchele 3000 kwa kilo Amchague Samia kwasababu tu Kuna Mkenya aliruhusiwa kusomba chakula chote.Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.
Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.
Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio
Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
Sio lazima useme kwa midomoUlitaka wawaeleze wapi wakati mmewafunga midomo na mikono.amuoni aibu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mtesi namba moja wa S100 atakuwa S gang...Chadema watamalizia kwa kumsukuma mlevi tu.Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Mtu ukihisaniwa, lazima utakumbuka fadhila!. Niliwahi kuuliza Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Kama Chadema nzima wewe umemuona mdude tuu basi huijui Chadema.Wananchi wenyewe hawajielewi...
Chadema yenyewe ina watu ambao hawajielewi mf Mdude