Mama ashaanza kuonja utamu wa Ikulu, kuteua na kutengua si mchezo.

Meko alikuwa anadanfanya eti hii kazi ngumu-ujanja tu!

Eti katiba huko mbeleni ahahaha hamna mtu hapo! Na akiruhusu katiba mpya atakuwa Rais mwenye historian zote ikiwemo ya kuwa Rais wa mwisho wa CCM
 
Mimi ni muumini wa katiba mpya lakini hoja ya kuinua uchumi inamashiko uchumi ulivurundwa kutokana na sera ambazo hazina muelekoe, 'policy uncertainty and herding behaviour', herding behaviour is an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of panic or fear of their leaders(unyumbu) awamu ya 5 biashara zimekufa siyo kwakukosa mitaji ama elimu ya ujasiriliamali
 
Watu wananjaa na bado wanapiga kelele ile mbaya wakishiba sijui itakuajee!?
 
Anavutia wawekezaji akishirikiana na Mulamula. Wanataka waache legacy fulani. Kwenye 2023 au 2024 mchakato wa katiba unaweza kuanza tena.
 
Hatutaki Tanganyika kuendelea kuvaa koti la Muungano
 
Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
mmeanza kumuita dikteta ?
 
Jiwe alijua kutetea hoja zake hata kama ni upuuzi. Sikumpenda jiwe kabisa lakini ilikuwa ukisoma speech zake unaelewa anaongelea nini
Jiwe alisema tutamkumbuka ndio kama hivi sasa, jumong sijawahi kuona mantiki kwenye speech zake karibu zote
 
Kujenga uchumi ni kazi ya kila siku ya serikali yoyote, haiwezi kuwa excuse ya kuwanyima wananchi katiba bora ambayo ni msingi wa siasa safi na uongozi bora vitu ambavyo ni misingi ya maendeleo!
 
Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
Anahisi kila muda kwamba yeye sio "mkuu" anakaa kutukumbusha kila siku nafasi yake, akimaliza hapo anaongelea jinsia tu. Hayo ndio mambo anayoweza.
In short hana consistency, jiwe alikuwa akisema leo hakuna corona kesho na kesho kutwa atasema hivo hivo, ila jumong juzi alisema tujikinge kwani nchi jirani zina wimbi la tatu, jana akasema mengine, leo amesema kuna wagonjwa zaidi ya 100, sasa je hao wamepatikana kwa siku moja ? Na kwanini hataji idadi kamili
 

Sisi ni wananchi na tunataka katiba mpya, hao wananchi wanaotaka wapate mkate wao, katiba mpya haizuu mkate wao, bali itawapa mkate wa siagi.
 
Siku Chama cha Mapinduzi kikikubali suala la Katiba ndo itakuwa mwisho wa uhai wake.Amini usiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…