sio Tanzania tu iliyo pigika kiuchumi bali Dunia nzima ipo ktk kipindi kigumu sana kiuchumi, ni ajabu kwa wanasiasa kudai mchakato wa katiba mpya ktk kipindi hiki kigumu cha kiuchumi bila hata kuwaonea huruma wananchi.Kilichoshuka ni kasi ya ukuaji wa uchumi, lakini uchumi wetu bado unakua.
Usisahu kuwa tuko uchumi wa kati!
Wanacho waza wanasiasa wao ni kutwaa dola tu hawana mpango na umasikini unao tukabili. Hata hivyo katiba mpya ni jambo jema ila ni vyema tukawa na subira kwani subira yavuta heri.
Tusiwe ving'ang'anizi kama ruba.
Sent using Jamii Forums mobile app