Kwa sababu wanaume ni warahisi, so nikimtongoza akakataa naona kama nimejidhalilisha alafu kanidharau like kanichukuliaje na vitu kama hivyo ndo vinazalisha makasiriko.Mbona na nyie wanaume wakiwalatalia mnashidwa kuweka makasiriko kando
Naomba nikununulie
Ohoo bas sawaHiyo uwongo,kwamba watatu kwa siku wote wakatae labda huyo mtu huwa anawatongoza kwa kuwaponda na kuwatukana lakini kama anatumia ile lugha inayoeleweka,dunia ya sasa ilivyo rahisi anaondoka nao wote.
Kuna week niliokota # za wadada 8 ule muda ambao nipo idle baada ya kazi nikatulia nikatongoza mmoja mmoja aliyenikatalia ni mmoja na hakukataa bali alikuwa kesho yake aondoke mkoani so tusingeweza kuonana tena.
Mmoja tuuu. Ukiongeza mwingine ni kujitiw mikosi
Hakika.Mmoja tuuu. Ukiongeza mwingine ni kujitiw mikosi
Kwanza tufahamu , wewe ni ke au me?Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua alitongoza mabinti Kadha wa kadha mtaani baada ya kukataliwa ndo anakuja kumalizia machungu JamiiForums.
Dunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.
Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.
Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.
Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
π€£π€£π€£π€£ Wee kunyimwa mbususu kunauma basi tuu hamjui. Kama hivi ninawamaind wadada wa jf mnanipiga vibuti tuu huko pm.Kwa sababu wanaume ni warahisi, so nikimtongoza akakataa naona kama nimejidhalilisha alafu kanidharau like kanichukuliaje na vitu kama hivyo ndo vinazalisha makasiriko.
Ila ya kwenu ni PRO MAXππππ
π€£π€£π€£π€£π€£polee weee usivunjike moyo huko PM muda utaongeaπππππππ€£π€£π€£π€£ Wee kunyimwa mbususu kunauma basi tuu hamjui. Kama hivi ninawamaind wadada wa jf mnanipiga vibuti tuu huko pm.
Ila muache makasiriko wanawake pia tukiwakataa....ndio hivyo preferences jamani kama nyie tuu
Ah nyie wazee wa dakika mbili na andunje andunje hamtutakiπ€£π€£π€£π€£π€£polee weee usivunjike moyo huko PM muda utaongeaππππππ
Sawaπ
Kumbe wewe ni andunje?πππAh nyie wazee wa dakika mbili na andunje andunje hamtutaki
Wee humu mmeshambukizwa mambo ta TDH na KelseaKumbe wewe ni andunje?πππ
Ngoja nisiseme neno emolo mimiπ€£π€£π€£
π€£π€£π€£πππPamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua alitongoza mabinti Kadha wa kadha mtaani baada ya kukataliwa ndo anakuja kumalizia machungu JamiiForums.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ Wee na watoto wako wa kike utawaambia haya maneno?
Kelsea ana sema kuwa ni tall dark and handsomeTf is TDH?π
Mambo rafiki!! Ulijificha wapi??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]