Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Jamani, nakuelewa..Pole sana .

Mimi wakati mjamzito, nilitamani bby boy but ultrasound ikasoma bby girl and nikawa tu kawaida but as time went on I loved her so much mpaka leo nampenda kweli mrembo wangu. But for now I wish to have a bby boy hakuna mfano.

So inabidi nizingatie siku zangu vyema, na siku ya kutunga mimba ya bby boy niwe tayari na mwenzangu awe ready kweli kweli cuz one of the things to consider is deep penetration.

Angalia hapo some of the dos to consider when having sex ili upate bby girl.View attachment 2123667
Mwanaume ndio anatoa jinsia ya kiume so harakati upande wa mwanamke hata hazina matunda. Mimi sijawah fuatisha tarehe na wameenda girl, boy, girl na hua najua nimeconceive lini.
 
Makofi kwa mwanamke maana alikupa yai siku yai lake limepevuka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wee kuhusu mtoto wa kiume pongezi apewe babaa...!!! Raha sana kuwa na first born kidume
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wee kuhusu mtoto wa kiume pongezi apewe babaa...!!! Raha sana kuwa na first born kidume
Wakike ana siku 3 kupatikana,wa kiume 1 ......je hiyo siku moja mama angekunyima je
 
Aaha mimi ndo nabeba XY so yeye akininyima ipo siku atanipa tuu au nimbake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana huwa mnazuga hamtakiii ikipenyaa mauno hayoo
Haya bhana
 
Jamani, nakuelewa..Pole sana .

Mimi wakati mjamzito, nilitamani bby boy but ultrasound ikasoma bby girl and nikawa tu kawaida but as time went on I loved her so much mpaka leo nampenda kweli mrembo wangu. But for now I wish to have a bby boy hakuna mfano.

So inabidi nizingatie siku zangu vyema, na siku ya kutunga mimba ya bby boy niwe tayari na mwenzangu awe ready kweli kweli cuz one of the things to consider is deep penetration.

Angalia hapo some of the dos to consider when having sex ili upate bby girl.View attachment 2123667
We bado una nafasi mbona mi ninao 3,, asante kwa anagalizo nitalijaribu nione nikimpata she nitafurahi sana
 
Tupo wakiume wanne,wakike mmoja Tena wa mwisho.sipati picha tungekua hatuna dada mama angepata tabu sana,yaani dada Amekua msaada mkubwa kifamilia mama anamtegemea San kwenye mambo yake..ila sikufichi mama anapenda watoto wake wakiume pia
Wakike atakuwa anapendwa zaidi,, 😜😜 ndo msiri wa mama yenu huyo
 
na wewe uombe Mungu na utuuzima huo usije ukaingia kwenye majaribu ya kumtamani kidume mwenzio mwenye midevu na six pack za kutosha umuombe akufanye mchezo mbaya ambao hauruhusiwi na jamhuri ya tanzania.

NB
Mambo mengine bora tukae kimya na kumshukuru Mungu kwa maamuzi yake kuliko "kujifanya" wajuaji na wajanja wa ku-comment negatively. karibu sana ndg.
Una jingine au hilo ndio umeona kubwa zaidi?
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
Hizo ni akili za wanaume wachache ambao wanamila za kukandamiza wanawake. Mi sina mtoto wa kiume na sijawahi kujali zaidi ya kufurahia maisha na my family
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
Mimi natafuta wa kike. Kweli dunia duara!!
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
bora wa kike ambae nina hakika ni wangu wa kufanana kuliko wakiume wakusakiziwa
 
Back
Top Bottom