Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kweli mtoto ni mtoto na hatutakiwi kujilaumu tukikosa matamanio yetu, Ila kuwa nao wote inaleta furaha zaidi moyoni. Yani una baby boys hapo na girls hapo unajisikia raha sana, Ila mambo ya imani yanatutaka tusichague jinsia as hatuna uwezo wa kuumba.

Jaribu kufanya yafuatayo huenda ukapiga booom bingo,[emoji23] ya baby girl.

√ Angalia mzunguko wako, kutana na mume siku nne hadi mbili kabla ya kuwa peak/ovulation. Mf. Kama una mzunguko wa 28 days, ovulation inakadiriwa kuwa 14th day, kutana na mwamba siku ya 12, 11, 10, 9(usikutane nae siku ya 13 na 14). Mbegu za kiume X zina kiherehere cha kukimbia, Ila zinajifia haraka...hivyo zikielea siku mbili kabla ya wewe kuingia ovulation zitajifia na zitabakia za Y na hapo booom...baby girl.

√. Ovulation day huwa mnatoa mucus nyeupe..usimpe mwamba siku hiyo...utapata boy.

√ Missionary style ndio nzuri kwa ajili ya kutungisha mimba, ila kwa baby girl jamaa asiingize yote...isiingie yote ili mbegu zipate kuelea kwa mda mrefu Y chromo.

Jaribu halafu tutaitwa uncle hivi karibuni.
Maelezo murua Asante kwa kujali kaka, maelezo haya nimepata kwa watu km watatu nitajaribu nione 🙏🙏🙏 nitaleta mrejesho
 
Shemeji yangu mmoja alizaa watoto ke 5 hadi akapata wa 6 Me, sababu ndugu yetu alichepuka akapata kidume na akasema ndio mrithi wake.
Yule shemeji baada ya kupata katoto cha kiume ali bongeka, sijui ndio kuridhika asee
Alibongeka sababu akili yake ilitulia kwa kupata baby boy,, Sasa Hadi mume alichepuka hapo angenenepea wapi
 
Kweli mtoto ni mtoto na hatutakiwi kujilaumu tukikosa matamanio yetu, Ila kuwa nao wote inaleta furaha zaidi moyoni. Yani una baby boys hapo na girls hapo unajisikia raha sana, Ila mambo ya imani yanatutaka tusichague jinsia as hatuna uwezo wa kuumba.

Jaribu kufanya yafuatayo huenda ukapiga booom bingo,[emoji23] ya baby girl.

√ Angalia mzunguko wako, kutana na mume siku nne hadi mbili kabla ya kuwa peak/ovulation. Mf. Kama una mzunguko wa 28 days, ovulation inakadiriwa kuwa 14th day, kutana na mwamba siku ya 12, 11, 10, 9(usikutane nae siku ya 13 na 14). Mbegu za kiume X zina kiherehere cha kukimbia, Ila zinajifia haraka...hivyo zikielea siku mbili kabla ya wewe kuingia ovulation zitajifia na zitabakia za Y na hapo booom...baby girl.

√. Ovulation day huwa mnatoa mucus nyeupe..usimpe mwamba siku hiyo...utapata boy.

√ Missionary style ndio nzuri kwa ajili ya kutungisha mimba, ila kwa baby girl jamaa asiingize yote...isiingie yote ili mbegu zipate kuelea kwa mda mrefu Y chromo.

Jaribu halafu tutaitwa uncle hivi karibuni.
Aisee!
Ufafanuzi kuntu!
 
Niwe na mtoto wa kiume au wakike tuu URITHI PEKEE NITAKAO WAACHIA NI ELIMU NA MAARIFA NA SI PESA NA MIJENGO! YAANI NIACHE JINA AU NISIACHE JINA HAITA NIFAA BAADA YA MAISHA YA DUNIANI!
Elimunsionurithi we jamaaa. Walachia watoto Mali waziendeleze washirikoshe toka mapema Waanhalie Wahindi waarabu na hata wazungu wana family business....najua utanipiga spana Nina uzoefu
 
Kweli mtoto ni mtoto na hatutakiwi kujilaumu tukikosa matamanio yetu, Ila kuwa nao wote inaleta furaha zaidi moyoni. Yani una baby boys hapo na girls hapo unajisikia raha sana, Ila mambo ya imani yanatutaka tusichague jinsia as hatuna uwezo wa kuumba.

Jaribu kufanya yafuatayo huenda ukapiga booom bingo,[emoji23] ya baby girl.

√ Angalia mzunguko wako, kutana na mume siku nne hadi mbili kabla ya kuwa peak/ovulation. Mf. Kama una mzunguko wa 28 days, ovulation inakadiriwa kuwa 14th day, kutana na mwamba siku ya 12, 11, 10, 9(usikutane nae siku ya 13 na 14). Mbegu za kiume X zina kiherehere cha kukimbia, Ila zinajifia haraka...hivyo zikielea siku mbili kabla ya wewe kuingia ovulation zitajifia na zitabakia za Y na hapo booom...baby girl.

√. Ovulation day huwa mnatoa mucus nyeupe..usimpe mwamba siku hiyo...utapata boy.

√ Missionary style ndio nzuri kwa ajili ya kutungisha mimba, ila kwa baby girl jamaa asiingize yote...isiingie yote ili mbegu zipate kuelea kwa mda mrefu Y chromo.

Jaribu halafu tutaitwa uncle hivi karibuni.
Maelezo yapo sawa ila nikurekebishe kidogo mbegu Y ndo huwa za mtoto wa kiume na X ndo za mtoto wakike pengine kote upo sawa kabisa .
 
Alibongeka sababu akili yake ilitulia kwa kupata baby boy,, Sasa Hadi mume alichepuka hapo angenenepea wapi
Mungu ndiye mpangaji wa kila kitu ila tukija kiubinadamu anayetakiwa kulaumiwa kwa kukosa mtoto wa kiume ni sisi wanaume na si mwanamke maana wanawake wameumbwa na mbegu XX pekee ambazo ni za kike a wanaume tuna XY sasa ukiona mtu anampa presha mke wake kwa kukosa mtoto wa kiume jua yeye ndo anatatizo mahali .
 
Niwe na mtoto wa kiume au wakike tuu URITHI PEKEE NITAKAO WAACHIA NI ELIMU NA MAARIFA NA SI PESA NA MIJENGO! YAANI NIACHE JINA AU NISIACHE JINA HAITA NIFAA BAADA YA MAISHA YA DUNIANI!
Nani alikudanganya elimu ndiyo urithi ? Unadhani ukisikia "familia tajiri " ni kwamba walirithi elimu tu?
Watanzania tuache mawazo ya kimaskini achia watoto mali na elimu si elimu .
 
Mungu ndiye mpangaji wa kila kitu ila tukija kiubinadamu anayetakiwa kulaumiwa kwa kukosa mtoto wa kiume ni sisi wanaume na si mwanamke maana wanawake wameumbwa na mbegu XX pekee ambazo ni za kike a wanaume tuna XY sasa ukiona mtu anampa presha mke wake kwa kukosa mtoto wa kiume jua yeye ndo anatatizo mahali .
Afrika ukiwa ke jiandae kubeba hata lawama za wanaume wa ukoo mzima ndo tulivyo
 
Niwe na mtoto wa kiume au wakike tuu URITHI PEKEE NITAKAO WAACHIA NI ELIMU NA MAARIFA NA SI PESA NA MIJENGO! YAANI NIACHE JINA AU NISIACHE JINA HAITA NIFAA BAADA YA MAISHA YA DUNIANI!
Yani hao graduates wanavyohamgaika na bahasha za vyeti kutafuta kazi ndo useme ni urithi wa kuwaachia wanao?
Tafuta mali na elimu uwape
 
Kiuhalisia kama una uchumi wa Kati ni rahisi kumlea mtoto wa kike aweze kujitegemea kuliko wa kiume
Mfano: Just a diploma education or simple VETA technical skills inaweza kumfanya mtoto wa like kumudu maisha ya mtaa
Shida ni pale mzazi anapomwandaa mtoto wa kike kama manager badala ya executors,
Kama uchumi ni mmbaya sana kweli mtoto wa kike pressure!

Inachukuwa more time and resources kumfanya mtoto wa kuime ajitegemee

Personally uchumi wangu wa TECNO sio mkubwa wala sio hoehae, nimeweza kuwasaidia wadogo zangu wa like na kiume ila wale wa kike ndio wanajimudu completely.
Iko hivi wa kike wako wawili, mmoja diploma in clinical medicine anajitegemea very well
Mwingine Veta na sasa ni fundi Simu, redio na the likes pia anajitegemea ....nasubiri mahari on behalf ya wazazi

Huyo wa kiume Diploma in Electrical. Engineering sasa nimeshamtoa polisi mara kadhaa...mara kaiba waya za copper kiwandani, mara anadaiwa hajamaliza kazi ya installation kwenye nyumba flan.....mim najua hela haimtoashi kwan lazma ahonge mtoto wa kiume yule
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga alianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
Sisi tunaotafuta wakike tunacomment wapi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom