Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Alipoulizwa kuhusu kufanya review ya Katiba yetu ya JMT alisemaje kwani?Magufuli alikuwa mchafu kwa sababu mfumo wetu uliruhusu awe mchafu.Mfumo bado upo na uchafu bado unaendelezwa.Shtukeni.
Mkuu uhuru ambao haupo kimfumo bali ni kiutashi nao unata uhuru.Unajua kuwa huu uhuru upo kwa sababu ya utashi wa aliyepo na sio kwa sababu ni wa kimfumo.Daini Mfumo acheni kuwa kama mazuzu ambayo yenyewe yanasahau tatizo la msingi kwa propaganda.JPM alianzaga kwa style kama hii mmekuja kushtuka tayari kashajenga mfumo wake.Ujinga wa kulazimishana ulishapita kila mtu ana uhuru wake kwa sasa
Hapo ndipo mzizi wa fitna ulipo mkuu.Ni lazima tudai katiba kwa NguvuAlipoulizwa kuhusu kufanya review ya Katiba yetu ya JMT alisemaje kwani?
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Asulubiwe tu kuchoma nyavu zetu halali alitegemea hiyo miradi ya alinacha ndio itatulisha sisi nakusomesha watoto zetu sijawahi kuona rais mnyanganyi kama yule aliokufa mungu amlani huko alipoMimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.
Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.
Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni
Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?
Wewe ni pumbavu!Mkuu,Mimi narudia tena!!Kuna mchezo mpya unapikwa.Tuskubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao.Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara.Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
Subiri Utamuona kama hautadai mfumo imara na madhubutiAsulubiwe tu kuchoma nyavu zetu halali alitegemea hiyo miradi ya alinacha ndio itatulisha sisi nakusomesha watoto zetu sijawahi kuona rais mnyanganyi kama yule aliokufa mungu amlani huko alipo
Muuaji kashakufa hana maslahi.Ni kwa maslah yetu sisi.Tusikubali kuongozwa na utashi tu.Tudai haki ya kimfumoWewe ni pumbavu!
Hukumbuki watu walipogoma enzi za mtakatifu wako aliwapiga risasi.
Leo unataka watanzania wagome kwa maslahi muuaji?
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.
Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.
Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni
Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?
Taja walau moja tu unaloamini limeshindikana kaliweza yeyeW
Wote hao wanatembelea nyota ya JPM si rahisi kuondoa legacy kwa vile ameacha alama ya mambo yaliyoshindikana miaka mingi. He was a result oriented man wengine wasipoangalia wataishia porojo.
Mkuu,Meko alikuwa MWIZI kwa sababu Mfumo Uliruhusu.TATIZO ni kwamba tusiposimama sa hivi tutaendelea kuwa na KINA MEKO wengi sana huko mbeleni na hata sasaMEKO alikuwa mwizi mkuu ,simameni wewe na ukoo wako kumtetea.
Sawa Chief andoza, lakini bado hujajibu swali.Hapo ndipo mzizi wa fitna ulipo mkuu.Ni lazima tudai katiba kwa Nguvu
Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?
Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???
Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??
Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.
Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
Yeye alishaharibu legacy yake.Sisi tuliobaki tunao wajibu wa kukataa mfumo wa pindua meza uendelee.Tutake Mfumo imara.Tumlinde CAG,Tumpunguzie Rais Mamlaka zaidi na Tulete heshima ya mfumo hapa kwetuSawa Chief andoza, lakini bado hujajibu swali.
Doctor Yohana alipoulizwa kuhusu kufanya mabadiliko ya Katiba alisemaje?
Huoni kuwa labda angehepuka kikombe hicho cha huo "mfumo" unaoongelea wewe?
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Hiyo haitoshi omba kufunguliwa kabuli ulale karibu yake.Mimi niko na wewe hata kukibaki wawili.
Kuna fala amenisimanga eti kama nimeumia niende kulala juu ya kaburi,
Ndio naenda chato kabisa kugalagala juu ya kaburi.
Ukigoma wewe inatosha!Mkuu,Mimi narudia tena!!Kuna mchezo mpya unapikwa.Tuskubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao.Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara.Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
Kwani kuna nn mpaka atetewe? Kadhulumiwa nn maana ni chama chake ndo wapo madarakani wanaendeleza kaz, au CCM wanamdhulumu nn? Nadhan tujikite kusoma report ya CAG kwa kina ili tujue taifa letu lilikua linaekea wap.Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.
Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.
Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni
Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?