๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHata mdogoangu alikuwa anatabia hiyo akiwa mdogo Hadi anafikisha miaka 7 hapo faza akaamua amuachishe kinguvu alitumia mbinu hii na ilifanya kazi.
Alimwita Kama kumkatakucha mikononi harafu akamkata jeraha dogo kwenye kidole husika baada ya hapo akamuwekea bonge la bandeji katika hicho kidole baada ya wiki alipo itoa bandeji, dogo hajawahi nyonya Tena Hadi leo ana miaka 30.
Shukrani sana mkuuTatizo lipo. Meno yake ya mbele hasa ya juu hayatakuwa sawia. Nashindwa kuelezea vizuri ila kuna mbunge mmoja mwanamke na ni waziri nimemsahau jina, mweupe meno yake ya juu ni uthibitisho tosha kuwa utotoni alinyonya vidole. Huo ni uhakika ๐ฏ%. Uliza hata wengine watu wazima km mimi watakuambia hivihivi, ila kiafya hakuna madhara.
Oh, ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuna jamaa yangu ana 30+ yeye sio kunyonya, anang'ata kabisaa hapa juu ya ukucha,
Kuna siku nikamtania, " wewe utamuambukiza mwanao" akasema "we unasema mwanagu? Nakati hata Babu yake mpaka leo ananyonya"
Nilichoka nikajiachia, Sijui inakua kwenye damu, kujiendekeza au kujifunza kwa mazingira unao waona.
Nadhani hii itasaidiaWATOTO WA kileo wanalelewa kimayai sana.
ENZI zetu kidole kinapakwa pilipili siku mbili tu anaacha kunyonya.
KUPANGA ni kuchagua
Inakela hasa mtoto wa kiume,kuna afisa wa jeshi naye ananyonya kidole mpaka leo imebidi tumzoee mtu miaka arobaini utamfanyeje sasaHili jambo kuna muda nahisi kama ni ugonjwa, Bro wangu Ana miaka zaidi ya 40 lkn kuna muda anajisahau ananyonya kidole hasa akiwa peke yake.
Uzi ufungweHaina shida mkuu. Hiyo inaitwa sucking reflex ambayo ni hali inayoanzia tokea mtoto akiwa tumboni, huanza kuanzia mwezi wa tatu wa ujauzito.
Wataalamu wanasema hali hiyo hujijenga ili mtoto atakapozaliwa aweze kunyonya. Ndio maana ukiona viumbe hai wengi hawafundishwi kunyonya auto tu akiipata chuchu anafanya yake.
So wanasema kitu chochote kikigusa (hard palate) sehemu ngumu juu ndani ya mdogo hiyo suck reflex inatokea ana anajikuta ananyonya.
Hiyo hali inaweza kuendelea kwa mtoto mpaka miaka kadhaa hata baada ya kuacha kunyonya.
I stand to be corrected.
Sawa, muhimu chunga sn dental formula huaribika na kuathiri uongeaji wake mzuri. Hata huyo mbunge ambae pia ni waziri akiwa anaongea utaona jinsi asivyopendeza kutokana na upper jaw dental formula yake ilivyoharibiwa na kula vidole udogoni. Wengi wao hayo meno ya mbele ya juu huwa mafupi kidogo kuliko mengine na mdomoni huenekana hovyo. In short, ni kumzuia tu. Hata wale walikuwa hawajui hili basi wajue hivyo.Shukrani sana mkuu
Nimekupata vema kiongozi ๐๐๐Sawa, muhimu chunga sn dental formula huaribika na kuathiri uongeaji wake mzuri. Hata huyo mbunge ambae pia ni waziri akiwa anaongea utaona jinsi asivyopendeza kutokata na upper jaw dental formula yake ilivyoharibiwa na kula vidole udogoni. Wengi wao hayo meno ya mbele ya juu huwa mafupi kidogo kuliko mengine na mdomoni huenekana hovyo. In short, ni kumzuia tu. Hata wale walikuwa hawajui hili basi wajue hivyo.
Anjela KairukiSawa, muhimu chunga sn dental formula huaribika na kuathiri uongeaji wake mzuri. Hata huyo mbunge ambae pia ni waziri akiwa anaongea utaona jinsi asivyopendeza kutokata na upper jaw dental formula yake ilivyoharibiwa na kula vidole udogoni. Wengi wao hayo meno ya mbele ya juu huwa mafupi kidogo kuliko mengine na mdomoni huenekana hovyo. In short, ni kumzuia tu. Hata wale walikuwa hawajui hili basi wajue hivyo.
Sawa, muhimu chunga sn dental formula huaribika na kuathiri uongeaji wake mzuri. Hata huyo mbunge ambae pia ni waziri akiwa anaongea utaona jinsi asivyopendeza kutokata na upper jaw dental formula yake ilivyoharibiwa na kula vidole udogoni. Wengi wao hayo meno ya mbele ya juu huwa mafupi kidogo kuliko mengine na mdomoni huenekana hovyo. In short, ni kumzuia tu. Hata wale walikuwa hawajui hili basi wajue hivyo.
We noma ha ha ha ha ilitakiwa iwe siri yako. Usitaje taje majina hayo ndiyo maan tunaweka ..........Anjela Kairuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa wizara kubwaa au sio.Tatizo lipo. Meno yake ya mbele hasa ya juu hayatakuwa sawia. Nashindwa kuelezea vizuri ila kuna mbunge mmoja mwanamke na ni waziri nimemsahau jina, mweupe meno yake ya juu ni uthibitisho tosha kuwa utotoni alinyonya vidole. Huo ni uhakika [emoji817]%. Uliza hata wengine watu wazima km mimi watakuambia hivihivi, ila kiafya hakuna madhara.
Oh, ahsante sana!!
Kuna mama wa kambo ana meno aina hiyo usiombe akacheka uwiii kama zombiWe noma ha ha ha ha ilitakiwa iwe siri yako. Usitaje taje majina hayo ndiyo maan tunaweka ..........