reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
Kuna jamaa yangu ana 30+ yeye sio kunyonya, anang'ata kabisaa hapa juu ya ukucha,
Kuna siku nikamtania, " wewe utamuambukiza mwanao" akasema "we unasema mwanagu? Nakati hata Babu yake mpaka leo ananyonya"
Nilichoka nikajiachia, Sijui inakua kwenye damu, kujiendekeza au kujifunza kwa mazingira unao waona.
Kuna siku nikamtania, " wewe utamuambukiza mwanao" akasema "we unasema mwanagu? Nakati hata Babu yake mpaka leo ananyonya"
Nilichoka nikajiachia, Sijui inakua kwenye damu, kujiendekeza au kujifunza kwa mazingira unao waona.