Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Kwahiyo unataka niteseke tu hata usingizi nikose sababu sina pesa?š¤£
Huna hela usingizi unatoa wapi kijana [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hela usingizi unatoa wapi kijana [emoji3][emoji3]
Sasa je huo muda unaolala usingizi pengine ungepambana ungepata hizo pesaKwahiyo unataka niteseke tu hata usingizi nikose sababu sina pesa?š¤£
Dah ningepata mke kama huyu huenda sahz ningekuwa nakimbizna na MOSasa je huo muda unaolala usingizi pengine ungepambana ungepata hizo pesa
ššššDah ningepata mke kama huyu huenda sahz ningekuwa nakimbizna na MO
Sasa je huo muda unaolala usingizi pengine ungepambana ungepata hizo pesa
Sana aise sema hawa masister du wetu sijui unaanzaje kumwambia avae, hawaelewi tu kama inaleta stimu kali sanaMzuka upi, yani bado sijaelewa hebu nipeni hio elimu... yani wanazitumiaje mzuka unapanda?
Mimi nilikua najua ni urembo tu kuna zina matumizi yake. Tupe somo mkuuWengine kwenye makabila yao huko Wanavaa ni Mila zao...
Ukiacha wale wanaovaa kimalayamalaya!
Kuna wanaovaa km urembo!
Kuna wanaovaa sbb mwanaume wake anataka(Nina rfk angu) mwanaume wake mtu wa singida ye mhaya ,alinunuliwa na mwanaume wake ndo alikuwa anataka,na anajua kuzitumia.
I wish nikuone jinsi shanga zinavyokupendezaWoii yaan nisivae urembo wangu kisa nitaonekana Malaya tchaaaah ..
Kila mtu ni Malaya kwenye engo yake nitavaa vile najisikia na sio vile walimwengu wanajisikia juu yangu
Hawa watafiti inatakiwa tuwe tunawavalisha shanga wao kabla ya kupenzika ili utafiti wao ukamilike bila kona kona š¤£š¤£š¤£Wenzio wanafanya tafiti za madini we upo unafanya tafiti za shanga....wakeup child
Kuna wahaya, wairaqwi, warangi aisee hao wangoni wanaigiza tuSasa wangoni unawatenganisha vipi na umalaya
Na mimi nime observe kuwa wewe ume observe alicho observe yeyeNami nime-observe kuwa wewe ni mtu wa kuwafanyia malaya wavaao shanga observation.
Haya maneno yana uzito mkubwa sana kwenye mishipa ya fahamuKwamba nikivaa cheni(nikimvalia) mume wangu
Nikiwa Malaya kitandani Kwa mume wangu Kuna shida ganiššš¤£
Umewaona wangapi?Habari wakuu,
Kuna observation nimekuwa naifanya, nimegundua wanawake wengi wanaovaa shanga kiuononi ni malaya waliokubuhu.
Asanteni