Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

Unamjua sana wewe ni mkewe?, acha tabia za ajabu kujifanya unamjua sana mwanaume mwenzako.Wewe hata jina kulitamka uwezi ila ujuaji.!! Nonsense
Bila shaka ww utakuwa Zainab mke wake maana sio kwa povu hili, mumeo mpigaji tu dada hana jipya usanii mwingi.
 
Upotevu wa maji kwa kwa 54% hii haileti picha nzuri.
 
Kama na Mama anapata mgao unategemea ni nani atalifwatilia hili?
Hii ni Network ya walaji

Na Bado mradi hapo lazima upigwe chini ya kiwango
 
kwa uandishi huu nauhakika ww n Tm kama sio Tm bas utakua Commericial manager mamlaka nying zina dna dana za kutosha Fika mwauwasa ustaajabu ya mussa bodi zmewekwa mfukon na wajanja wachache kaimu Md hana saut na haelew nn afanye nn aache kuna madudu ya kutosha Kwa top managment
 
Ww ni chawa wa Awesu, Ni wakuja tu ndio wasiomjua huyo Wazir kwamba Ni mpigaji Hana uzalendo wowote ule

awrsu mzeee wa uber na bolt akiwa anaenda kwenye miadi yake ya ten percent ; faili lake lina hadi picha zake akivuta…
Mzee wa kukaaa kona ; chini ya muti na kapelo ahaaaa haaaaa

Eti naye anawaza kuwa rais aiku moja hivyo anataka naye pesa
 
Mkataba wa AUWSA na Tumainieli H. Mbwambo( Skilled Labour) wenye thamani ya T.sh 599,377,500/= kujenga mtandao wa Majitaka kutoka A to Z ni Wakifisadi na haukufuata taratibu za manunuzi.
1.Mfano wa ufisadi kwenye Mkataba unakifungu Cha kuchimba na kufikia bomba T.sh 358,500,000/= umbali wa kuchimba = 8500m maana yake 1m inachimbwa Tsh 42,176/= badala ya T.shs12,000/=
2. Mkataba kutopitisha na Bodi ya Zabuni(Tender Board) ya AUWSA kinyume na Sheria ya manunuzi PPA,2011 section 35(1),(2)&(3)
3.Zabuni kutofuata Sheria ya Manunuzi( The Public Procurement (Amendment) Regulations,2016 - Section 91-Method of tendering for Non Consultancy Services
4. Guideline for Carrying out Works under Force Account, May-2020 section 15.3, 15.5 & 15.1
Wafanyakazi wa AUWSA na UMMA wa Watanzania unaomba kikao Cha kesho 22/12/2021 Kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Wafanyakazi swali Hili liweze kujibiwa kwanini Engineer Rujomba na Timu yake hawakufuata taratibu za Manunuzi.
 
Mradi wa A to Z Majitaka ni Wakifisadi na haukufuata taratibu za Manunuzi:
1. Thamani halisi za Mradi ni T.sh 190,000,000/=
2. Serikali imepata hasara ya zaidi T.sh 400,000,000/=
3. Tumainiel tayari kalipwa zaidi T.sh 160,000,000/= kwa Mkataba hewa! Engineer Rujomba arudishe hizo hela za Serikali.
Wafanyakazi tutapiga kelele Hadi hatua ya Mwisho.
Dr. Masika Kama tayari hizi ni za uongo , Waiteni Waandishi wa Habari Mkanushe
Engineer Rujomba ni Mwizi:
 
Mradi wa A to Z Majitaka ni Wakifisadi na haukufuata taratibu za Manunuzi:
1. Thamani halisi za Mradi ni T.sh 190,000,000/=
2. Serikali imepata hasara ya zaidi T.sh 400,000,000/=
3. Tumainiel tayari kalipwa zaidi T.sh 160,000,000/= kwa Mkataba hewa! Engineer Rujomba arudishe hizo hela za Serikali.
Wafanyakazi tutapiga kelele Hadi hatua ya Mwisho.
Dr. Masika Kama tayari hizi ni za uongo , Waiteni Waandishi wa Habari Mkanushe
Engineer Rujomba ni Mwizi:
Duuh poleni sana wafanyakazi!
 
Mkataba wa AUWSA na Tumainieli H. Mbwambo( Skilled Labour) wenye thamani ya T.sh 599,377,500/= kujenga mtandao wa Majitaka kutoka A to Z ni Wakifisadi na haukufuata taratibu za manunuzi.
1.Mfano wa ufisadi kwenye Mkataba unakifungu Cha kuchimba na kufikia bomba T.sh 358,500,000/= umbali wa kuchimba = 8500m maana yake 1m inachimbwa Tsh 42,176/= badala ya T.shs12,000/=
2. Mkataba kutopitisha na Bodi ya Zabuni(Tender Board) ya AUWSA kinyume na Sheria ya manunuzi PPA,2011 section 35(1),(2)&(3)
3.Zabuni kutofuata Sheria ya Manunuzi( The Public Procurement (Amendment) Regulations,2016 - Section 91-Method of tendering for Non Consultancy Services
4. Guideline for Carrying out Works under Force Account, May-2020 section 15.3, 15.5 & 15.1
Wafanyakazi wa AUWSA na UMMA wa Watanzania unaomba kikao Cha kesho 22/12/2021 Kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Wafanyakazi swali Hili liweze kujibiwa kwanini Engineer Rujomba na Timu yake hawakufuata taratibu za Manunuzi.
Katika nchi hii ambayo serikali haiheshimu katiba wala sheria ninyi wapiga zumari wa AUWSA hamtafanikiwa kwa sababu watoa uamuzi ni sehemu ya uongozi wa Mamlaka. Sheria hufanya kazi pale tu viongozi hawakushirikishwa na siyo wanufaika wa ufisadi wenyewe. Hatua zingeweza kuchukuliwa kama vyombo vya dola vingekuwa huru lakini haviwezi kuwachukulia hatua yo yote wakubwa wao!

Njia pekee iliyobaki labda kupitia viongozi wa CCM kama si wanufaika wa ufisadi huo! Kwa sasa endeleeni kusikilizia maumivu vinginevyo jiungeni katika ufisadi huo.
 
Kuna watumishi wapo Auwsa lakini wapo kama wafanyakazi hewa, wanakula mshahara tuu na viongozi wapo wanaangalia tuu,
Eng Rujoba una kijana wa mfano ndg crispin wa uhasubu yupo tuu anatanga kila ofisi hana hata kiti wala meza. Sasa FAM Na HR wanafanya nini ofisini? Matumiza mabaya rasilimali watu
 
Hongereni PPRA,kwa report yenu nzuri baada ya kufanya ukaguzi maalum kwenye upatikanaji wa Tumainieli (Skilled Labour) na kugundua kuvunjwa kwa taratibu za Manunuzi- kazi yenu mumemaliza Mungu awabariki sana.

TAKUKURU Arusha tunajua mnaendelea na uchunguzi kuhusu upatikanaji wa Tumainieli( Skilled Labour), haki itendeke na Kila Mtu avune alichopanda: Ofisi za Serikali zinaendeshwa kwa ushauri wa maandishi, hakuna barua hata moja ambayo Bw. Charles Kondela (HPMU) amewahi kumshauri Engineer Rujomba kwamba taratibu za Manunuzi zimekamilika unaweza kusaini mkataba wa AUWSA na Tumainieli : Bali ni tamaa zake kuchukua rushwa.

Mradi mkubwa wa maji T.sh Bil.520 Kuna mengi ambayo Engineer Rujomba amefanya kwa manufaa binafsi
1. Baada ya kuwa MD- AUWSA kuna Wahandisi( Consultant) aliwafukuza kazi na kumlazisha Managing Director wa DOCH (Chuwa) amwajiri Engineer Hosena ambaye amewahi kuwa Meneja Ufundi -Moshi Mamlaka ya Maji na hakuwa na vigezo .
2. Engineer Hosena amekuwa akishirikiana na Engineer Rujomba kupitisha malipo hewa kwa maslahi yao.

Tuko hapa kuzisaidia taasisi Kama TAKUKURU na CAG kugundua kirahisi.l
Mwaka Mpya tunarudi na taarifa ya Malipo hewa katika Mradi Mkubwa yanayofanywa na Engineer Rujomba akishirikiana na Engineer Hosena.
 
Tarehe 10/12/2021 Engineer Rujomba alisaini Final Certificate baada ya Mkandarasi kumaliza DLP, Mkandarasi alikuja Arusha akitokea Mwanza ana Mradi(MWAUWASA) .
Mchina Mida ya Jioni(12:00Jioni-4:00Usiku) aliingia Ofisini kwa Engineer Rujomba na Begi la hela ambalo alimwachia Engineer Rujomba baada ya kazi ya kusaini Final Certificate( Wafanyakazi wa AUWSA ambao mko kwenye CCTV Camera angalieni hiyo tarehe Mtaona.
Engineer Rujomba ni fisadi , Baada ya Mwaka Mpya tunaweka malipo hewa ya zaidi ya T.sh. Bil 1 kwenye Mradi Mkubwa wa T.sh Bil 520 ambayo amekuwa akishiriana na Engineer Hosena Rafiki yake.
 
awrsu mzeee wa uber na bolt akiwa anaenda kwenye miadi yake ya ten percent ; faili lake lina hadi picha zake akivuta…
Mzee wa kukaaa kona ; chini ya muti na kapelo ahaaaa haaaaa

Eti naye anawaza kuwa rais aiku moja hivyo anataka naye pesa

Nchi hii ina wajinga wengi sana, tatizo ni umasikini wa kipato na fikra, umetufanya tujenge tabia ya kuchukiana na husuda
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana, tatizo ni umasikini wa kipato na fikra, umetufanya tujenge tabia ya kuchukiana na husuda

Eti kutaka Uraisi” nonsense kabisa, sio kila Kiongozi anaetimiza wajibu wake ana mawazo hayo; wengine wameumbwa hivo, akili ndogo namna hii zimefika vp humu JF, tumezoea hili ni jukwaa la critical thinkers
 
Tunashukuru PPRA kwa report yenu Nzuri baada ya kufanya ukaguzi maalum kwenye Mradi wa A to Z kugundua kuvunjwa kwa taratibu za Manunuzi.

Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Kamishna wa Polisi Salum Hamduni watanzania wana Imani kubwa sana na wewe kutokana na Uadilifu wako ila Kamanda wa PCCB Arusha anakuangusha wana Taarifa za Ufisadi wa Mradi wa Ujenzi wa Mfumo wa Majitaka wa A to Z awafanyii kazi

Wana Taaarifa za Ufisadi wa Manunuzi Mashati watumishi wa AUWSA awafanyii Kazi

Wana Taaarifa za Ufisadi Ujenzi wa Pondi Terati wa Tzs 96 bilion awafanyii Kazi , Mkandarasi amekabidhi Pondi mwezi Moja imeanza kubomoka

Mkurugenzi wa TAKUKURU kamishna Hamduni tuma kikosi Maalum kutoka HQ kushugulikia Suala la AUWSA.
 
Menenjimenti ya AUWS Mna Undezi mwingi sana mmemuamisha Eng Mkama kwa kuuliza Mkandarasi Tumaini Engineer wa A to Z alipatikanaje?

Engineer Mkama Komaa wewe piga kazi hata wakikupeleka Karatu Kama ishmael.. kikubwa Punguza hasira uliwachana group la “Failure is not our Optioion”

Wezi wakubwa mnawakumbatia mnawashugulikia wazalendo Kama Mkama

HRM Kanyanza Kaiba Cememt mifuko 200 Godown ya Lorovani kapeleka Site Kwake Kisongo mnamchekea tuu…
 
Back
Top Bottom