Kuna ulazima hayo mashindano ya Quran yafanyike Mkapa Stadium? Siku ya mchezo Simba vs Orlando!?

Kuna ulazima hayo mashindano ya Quran yafanyike Mkapa Stadium? Siku ya mchezo Simba vs Orlando!?

Utakua hujui au kuna Kitu unafichwa:

Miongoni mwa mambo yanayofanywa viwanja vya Mpira ambayo sio mpira wa Miguu Dunia Nzima na si Tanzania tu.

1) Michezo ya Rugby
2) Sherehe za Kitaifa (Uhuru, Muungano n.k.)
3) Matamasha ya Muziki
4) Ngumi za kulipwa
5) Mashindano ya Riadha/Mbio
6) Kufanya maonesho ya Silaha za Kivita na Gwaride.
7) Mashindano mbali mbali yakiwemo hayo ya Qur-an.

SWALI KWAKO: Ni kweli hujawahi kuona popote uwanja wa Mpira kufanyiwa shuhuli yoyote isiyokuwa ya Kimpira au umeamua kuficha ukweli hata ukasema ule ni uwanja wa mpira na sio wa Dini?

Vijana kama hawa, wanatakiwa wapigwe life ban. Wanapost vitu havina maana yoyote.
 
Tunajua sote jinsi mchezo huu ulivyo muhimu kwa Simba na Taifa kwa ujumla, ndio wa kwanza katika historia ya Nchi yetu kutumia teknolojia ya usaidizi wa Video kwa Mwamuzi (VAR).

Zaidi ya hayo Sheria za CAF zinataka uwanja kuwa wazi angalau saa 72 kabla ya mchezo.

Pamoja na kwamba Wanasema saa 7 kamili hao washindani wa Quran watatolewa kwa usaidizi wa Polisi...

Lakini naona kabisa hapa kuna lawama zinaenda kutengenezwa sisi Waswahili tunajijua katika kutunza muda.

Lakini vipi kama mtu akaingia then akagoma kutoka ili aangalie mechi?

Lakini vipi kama hayo mashindano yakachelewa kwisha baada ya saa 7?

Ndio maana nauliza kuna ulazima haya mashindano kufanyika Lupaso?

N.B
Sina nia ya kukashifu Dini ya mtu.
Shida Iko wapi?
 
Kama shughuli yao inaisha saa 7 sioni shida kwasababu kuna masaa matano mbele kufikia muda wa mchezo
Nikweli kabisa ila sheria inataka uwanja usiwe na matumizi mengine zaidi ya maandalizi ya mechi ndani ya saa 72........
 
Hapo utakuta walishalipia gharama za huo uwanja zamani kidogo kwa hivyo wahusika hawataki kuzirefund hizo fedha.

Kwani viwanja si viko viwili? Kwa nini wasitumie kile cha zamani? Ni mipango tu ya hao maorganizer ambayo haieleweki.
 
Hapo utakuta walishalipia gharama za huo uwanja zamani kidogo kwa hivyo wahusika hawataki kuzirefund hizo fedha.

Kwani viwanja si viko viwili? Kwa nini wasitumie kile cha zamani? Ni mipango tu ya hao maorganizer ambayo haieleweki.
Wanatumia vyote
 
Tujiulize tu hilo Jengo limejengwa kwa madhumuni gani ?

Tukipata jibu basi chochote kingine kinaweza kusubiri au kupangiwa sehemu nyingine iwapo kile kilichopangiwa matumizi husika ya Jengo kitatakiwa kufanyika....
 
N
🤣🤣🤣🤣🤣 Asante mkuu kwa kunichesha leo. Mimi sioni umuhimu wa hao wavaa makobaz kuwepo wakati viwanja vipo vingine level zao
Ni kujiendekeza tu...ila ni jukumu letu kuwaelimisha taratibu taratibuu...yawezkana wakatuelewa
 
Hapo utakuta walishalipia gharama za huo uwanja zamani kidogo kwa hivyo wahusika hawataki kuzirefund hizo fedha.

Kwani viwanja si viko viwili? Kwa nini wasitumie kile cha zamani? Ni mipango tu ya hao maorganizer ambayo haieleweki.

Ratiba ya mashindano ya Qur'an itakuwepo pale pale, ikiwezekana masaa 24, hilo litimulao wapeleke huko azam complex n.k.
 
Back
Top Bottom