DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
General rule ni niliyoisema

Exceptions za general rule ni ulizozisema.

But in its basic Chirwa ni Mmalawi
Ok keep it in your head that theory, names have hot nothing to do with countries. Ukijiuliza wajapani wamepataje jina la Kumamoto labda utanielewa.
 


Nakwambia wewe mpuuzi tena, nenda Masaki pale pana wazungu wa kutosha, umewahi kuhoji uhahali wao kuwepo nchini au unawawaza tu wa Malawi, nani kakwambia hawana permit?
 
Hakuna serikali hovyo na nchi hovyo kama Tanzania Kila kitu ni zero brain
 
Sina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.

Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
Ifahamike pia wamalawi wameathirika sana na virus vya ukimwi sijui hili watanzania wamejipangaje, chukueni tahadhari.
 
Hata Sisi watanzania tumejaa hapa Lilongwe Malawi,watu wana maduka,migahawa,vibanda vya chips ,umachinga ,biashara za mazao nk. Hatuna vibali vya kufanya biashara zaidi ya entry permit ya kwenye passport.
Msalimie bibi debora
 
Africans tend to glorify their differences more than those aspects that unifies us.

We are all Africans in African continent, This boundaries between us are just Fictional identity.
 
Ukimwambia Karume ni mmalawi hawezi kuamini, Ukimwambia aliyepandisha bendera mlima kilimanjaro ni mmalawi hawezi kuamini. Watu ambao hawasafiri ndio wanaweza kuongea hivyo,aende Lusaka akajionee watanzania walivyojaa tena hawana vibali na mamlaka za huko zinajua eneo hili kuna watanzania na hawana vibali.
 
naweza kupatapo mmoja wapo nimkonyee dushe
 
Wamalawi wezi pia nimewashuhudia.

Kiingereza siyo lugha ya kwanza Malawi badala yake wengi wanaoongea kiingereza kama lugha ya kwanza ni waliozaliwa centre la sivyo huanza na Kichewa na kutakiwa kujifunza
Shule zote Malawi hufundisha kwa kiingereza, hakuna shule zinazoweka ada kubwa kwa ujinga eti wanafundishia kiingereza, mbona hata hapa mpaka miaka ya sitini mwishoni shule zote kasoro za TAPA zilikuwa zinafundisha kwa kiingereza.
Hao mahausi boi na geli wanapendwa na wazungu kws sababu wanaelewana lugha, kuna mzungu mmoja bahati mbaya aliingia kichwa kichwa akaajiri mmbongo akawa kila siku ananiita nimtafsirie maagizo, mwisho wenzake wakamtafutia mmalawi.
 
naweza kupatapo mmoja wapo nimkonyee dushe
Hii ndiyo inawafanya msiajiriwe na wazungu, mzungu si muhindi mshahara si chini ya 5k na akiondoka anakufungashia furushi la nguo na vyombo hata flatisikirini atakupa kama ulifanya kazi kwa uaminifu mfano nyama ya mbwa wake ulinunua kama alivyokuachia maagizo alipoenda likizo, akimkuta amekonda atakufukuza na ujinha wetu eti unaenda baa kuchukua mabaki! Mbwa hali makombo.
 
Sina shida na uwepo Wao kea Uwingi kwani hata Watanzania nao wako Wengi sana Afrika Kusini na 70% hawana Vibali.

Mimi shida yangu Kubwa kwa Wamalawi walioko hapa Tanzania ni kwanini hawana Mbunye ( K ) Tamu japo siyo wachoyo wa Kukuvulia Chupi zao?
kaka unaweza nisaidia namba zao inbox
 
Wamalawi walianza kuingia nchini siku nyingi km wafanyakazi wa ndani wa majumba ya viongozi wakubwa baada kupeleka watoto wao shule za kingereza wakirudi nyumbani housegilr hawezi kingereza hapo ndipo walipo pata soko walikuwa wanalipwa mpaka 250,k kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…