Kwakweli huo uzuri wa ajabu sijauonaHype tu za wazungu
Nikifikiri mi peke angu ndo nimeona hivyo😅Mbona kawaida
Eti bhana wakija kukutana na wewe kamodel 💃 sijui itakuaje 😁Kwakweli huo uzuri wa ajabu sijakuona
Kuna wanawake wazuri zaidi yake😅
🤣🤣🤣🤣UwiiiiiiEti bhana wakija kukutana na wewe kamodel 💃 sijui itakuaje 😁
Hao jamaa kuna namna wanapata pesa kupitia images za huyo demu hamna kingine
Hii hatari 😁😁Wanasema alikuwa anaogea maji yenye barafu ili ku-keep ujana asizeeke
Madonna alikuwa obsessed sana marlyn kiasi kuna rumours, alikuwa akijifungia ndani akiangalia tapes za miss munroe Ila apate siri za kuwa na umaarufu mkubwa kama yeye 😁.The Mystery of Marilyn Monroe: The unheard Tapes
Mimi huwa namfananisha na Maddona na Sharon Stone
Ndio hio nyotaMadonna alikuwa obsessed sana marlyn kiasi kuna rumours, alikuwa akijifungia ndani akiangalia tapes za miss munroe Ila apate siri za kuwa na umaarufu mkubwa kama yeye 😁.
Ila madonna at least umaarufu wake una talent ndani yake. Huyo monroe ndio tabu, hakuwa outstanding actress wala singer 😁
Wanawake wa aina hii wanakuwaga watamu jamani nisiwafiche kwa wasiojua
Kwa hiyo angetembea na mmoja ingekuwa morality?She was the Bitch Gal...huwezi changanya Wanaume/ Wanawake ndugu. Thats Immorality..
Fidel Castro hajawahi kutoka na Marilyn, umechanganya na Ilona Marita Lorenz. Huyu ndio alikuwa kimada wake na CIA walijaribu kumtumia kumuua Castro lakini wakachemka.Mpaka mwamba Fidel Castro alitoka nae, huyu demu alikuwa noma. C.I.A walimuua
Sponsor wa visungura una vurugu😁🙄😂🤒Kama Mwanamke mwenyewe ndo huyu namie angenichanganya pia
Sponsa wa whaaaaat 🤣🤣🤣Sponsor wa visungura una vurugu😁🙄😂🤒
Visungu😂😂,Sponsa wa whaaaaat 🤣🤣🤣
Nguvu ya marilyn Monroe hadi leo watu hawajaweza kuielewa, imagine ni miaka zaidi ya 50 toka kifo chake lakini hadi leo yupo relevant kiasi cha kuwa moja ya mastar marehemu wanaoingiza pesa nyingi hadi leo [emoji1487]
Kwa wengi bado ni sex symbol na fashion icon, tuseme ni sepetu wa Hollywood. Yawezekana asiwe mzuri kuliko wote Ila ana star power iliyopitiliza