Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH

Mtakwama tu washenzi nyie,

Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa

Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue

over Roja
Soon tu mtarudia wimbo wenu.
Mataga watabakia
 
Tutamuombea kwa Mungu amlinde dhidi ya mahasidi msio na sababu na mliojaa husdaa.
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH

Mtakwama tu washenzi nyie,

Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa

Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue

over Roja
Ungeonesha ni wapi hilo kundi linamchafua Mh Rais tungekuelewa,lakini ulichokiandika ni taarabu iliyojaa mipasho pasipo na mifano ya kutetea hoja yako, Jumatatu shule zinafunguliwa,mrudi shule mtupunguzie mipasho humu!
 
Sikuelewi mkuu,mwanzoni nilikuwaje na sasa nikoje?Mimi Niko kawaida,Niko CCM,kamwe sitahama,sasa unaposemema akili Yangu imeanza kukaa Sawa sikuelewi
Namaanisha sasa hivi unaongea uhalisi na siyo kusifu na kuabudu mtu kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha Jiwe, kingine kuwa mwana Ccm siyo dhambi au makosa lakini pia siyo tiketi ya kuwa mjinga, hapa namaanisha wale wanao behave kama headless chicken kisa tu wao ni Sisiemu/Mataga/Wanyonge
 
Namaanisha sasa hivi unaongea uhalisi na siyo kusifu na kuabudu mtu kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha Jiwe, kingine kuwa mwana Ccm siyo dhambi au makosa lakini pia siyo tiketi ya kuwa mjinga, hapa namaanisha wale wanao behave kama headless chicken kisa tu wao ni Sisiemu/Mataga/Wanyonge
Mama samia piga kazi ,nakukubali sana,walanguzi na wahujumu uchumi watakutambua tu.
 
Kila mtu chaguo la mungu, huyo mungu hana kazi nyingine ni kuchagua tu viongozi wa ccm? Aisee.

Samia is the president by mistake , sio chaguo la watanzania wala la Mungu , asituchezee huyo Mtoa Mada na kichwa chake kama jeneza la mchawi mxieew
 
Wazandiki wakubwa nyinyi.

Na mubaki kuwa mashujaa wa mitandaoni tu. Mtumike kumchafua rais wetu kwa maslahi yenu.

Tukiwakamata ndio mtajua hili taifa lina mifumo yake na kamwe hatuwezi wachekea wazandiki.

Muacheni Mheshimiwa rais Mama yetu Samia afanye kazi.

Raisi wa nani ? Ulimchagua wapi mbwa wewe??
 
Huna huo ubavu..urais wa peremende hauna misingi ndani ya mioyo ya watu..point blank.
Hehe hehe poleeee mlitaka yule muuwaji wenu aendelee kutuvimbia, Mungu fundi hawezi ona watu wake wanateseka sababu ya mbumbumbu mmoja.... Kwisha habari yake, Haya muongezeeni muda basi.... Na ule muda wa kukaa madarakani tunamuongezea mama.... Ukatili hauna nafasi awamu ya mama
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH

Mtakwama tu washenzi nyie,

Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa

Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue

over Roja
Hawawezi uwezo wao ni mdogo upstairs
 
Back
Top Bottom