Mzazi hatakiwi kuomba, yani inatakiwa aweze kumlea mtoto wake vizuri kiasi huyo mtoto aweze kumsaidia mzazi kabla mzazi hajaomba.Ni kweli tuwasaidie wazazi wetu....lakini wanaomba kwa kutumia nguvu kama vile kuna kitu alikuwekesha....
Unaiandika kama mtu ambaye hajasoma au ambaye hujapata exposure yoyote kuna umri unafika pesa c chochote zaidi ya watu nyumbani tulikuwa 17 kipindi nakuwa, nyumba ilikuwa na vyumba 9 Leo hii kabaki Bibi na dada yake na mfanyakazi na mtoto WA mjomba ana kila kitu pesa gari mashamba analimisha na anapata mazao kibao Tu Ila kila siku anataka wajukuu wake akakkae nawo Ila ndyo ivyoo ata ujipange VIP kuna umri utafika utaitaji watu wa Kula nawo meza, kucheka nawo, na kujifariji hasa pale unapoumwa ndyo maana wahindi au waarabu wengi wanakaa kama familia wengi tunaona kama ushamba Ila lile ni Jambo jema sana kwenye kutunza wazee wenuUpweke mwingine ni dalili ya ujinga.
Ni dalili ya mtu kutoweza kuwa na mawazo yanayojiongeza kupata vitu vya kum keep busy.
Ulimwengu huu una mambo mengi sana ya kuchunguza, kujua, kusoma, kufanya mazoezi, kuangalia movie, kukaa na marafiki wa rika lako, sasa hapo upweke wa kulazimisha kuwa na mtoto uzeeni unakuja vipi?
Wenzetu wanasherehekea watoto kukua, wanaishi kwa uhuru wa kupunguza majukumu ya kulea.
Sisi mara nyingi tatizo linakuwa watu wanafanya familia kuwa kama biashara.
Yani, wazazi wanalea na kusomesha watoto ili hao watoto waje kuwatunza wazazi siku wazazi wakiwa wazee.
Hapo ndipo tatizo linapoanza. Watoto wamekuwa investment ya kutunzwa uzeeni.
Hii strategy imepitwa na wakati.
Nimeandika mengi, zaidi ya pesa.Unaiandika kama mtu ambaye hajasoma au ambaye hujapata exposure yoyote kuna umri unafika pesa c chochote zaidi ya watu nyumbani tulikuwa 17 kipindi nakuwa, nyumba ilikuwa na vyumba 9 Leo hii kabaki Bibi na dada yake na mfanyakazi na mtoto WA mjomba ana kila kitu pesa gari mashamba analimisha na anapata mazao kibao Tu Ila kila siku anataka wajukuu wake akakkae nawo Ila ndyo ivyoo ata ujipange VIP kuna umri utafika utaitaji watu wa Kula nawo meza, kucheka nawo, na kujifariji hasa pale unapoumwa
🤣🤣🤣Napenda tembea yake,Kila Kona yumo😜Nyoka unampendea kipi?
Au nyoka mwenye jicho mojaa?? 😀 😀 😀
Uzuri wa JF hata Baba yako aliekuzaa,akakulea,akakusomesha unaweza kumwambia hajasoma na hana exposure.Unaiandika kama mtu ambaye hajasoma au ambaye hujapata exposure yoyote kuna umri unafika pesa c chochote zaidi ya watu nyumbani tulikuwa 17 kipindi nakuwa, nyumba ilikuwa na vyumba 9 Leo hii kabaki Bibi na dada yake na mfanyakazi na mtoto WA mjomba ana kila kitu pesa gari mashamba analimisha na anapata mazao kibao Tu Ila kila siku anataka wajukuu wake akakkae nawo Ila ndyo ivyoo ata ujipange VIP kuna umri utafika utaitaji watu wa Kula nawo meza, kucheka nawo, na kujifariji hasa pale unapoumwa ndyo maana wahindi au waarabu wengi wanakaa kama familia wengi tunaona kama ushamba Ila lile ni Jambo jema sana kwenye kutunza wazee wenu
Tamaduni za wahindi hizo.Ila suala la Upweke katika umri mkubwa ni jambo ambalo litatutafuna sana siku za usoni. Mambo haya yamekuwa mengi sana huko Ulaya na Nchi zilizoendelea lakini hata huku Afrika linabisha hodi Kwa kasi kubwa.
Suala la kuwa na wafanyakazi wa ndani au kuoa Uzeeni bado sio solution, sana sana unaweza kupigwa tukio litakalokufanya ufe haraka kwani wenza wengi katika umri huo wanakuwa wanafata Mali kuliko kukupenda.
Binafsi nimeanza maandalizi ya kuja kuwaajiri watoto wangu kwenye kampuni zangu ili kupunguza uwezekano wa kufa Kwa upweke nyakati za Uzee wangu. Najua kampuni nawafungulia watoto but lazima wawe sehemu ya management nikiwa CEO huku tukiishi compound Moja.
Maandalizi ya Kujenga maboma makubwa yanaendelea ili vijana wangu wote waoe na kuwa na familia wakiishi kwenye Boma la Baba yao.
Kila kona? Hata uani anafika?🤣🤣🤣Napenda tembea yake,Kila Kona yumo😜
Kila Kona shimo kuu wewe😳 huko uani si ulozi wake ndo unampeleka.Na hatosameheka na Mwenyez Mungu 😏Kila kona? Hata uani anafika?
Haaaya, nilitaka kujua tu unaongelea nyoka au nyoka?Kila Kona shimo kuu wewe😳 huko uani si ulozi wake ndo unampeleka.Na hatosameheka na Mwenyez Mungu 😏
Huu uzi umekaa kibaguzi sanaWazazi wengi, wanajitahidi sana kusomesha watoto wao ili huko mbeleni wawe na maisha mazuri au wasiwe tegemezi.
Watoto wakishahitimu, uanzisha maisha yao, kwa kujitegemea pamoja na kuwa mbali na wazazi wao; wakuoa wataoa, na wakuolewa wataolewa.
Changamoto inayojitokeza, ni wazazi kubaki wenyewe, na kukosa watu wa kuwafariji pale wanapohitaji faraja. Wengi hubaki na vijana wakazi, ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi kuumaliza msongo wa mawazo wa wahusika.
Uzee ni umri unaohitaji kuwa karibu sana na uzao wako, kwa kufurahi pamoja na kupeana faraja; ingawa wazee wengi hawapati hiyo fursa kutokana na uzao wao kuwa mbali nao, hii inawapelekea kujutia uzao wao.
Wenzetu wa Asia wamejaribu kudhibiti hii hali, kwa kuishi na uzao wao kwenye boma moja, lengo kuu ni kudhibiti hali ya upweke huko uzeeni.
Karibuni wakuu, kwa maoni.
Wewe hujamuelewa mtoa mada upweke na huduma ni vitu viwili tofauti mtoa mada kaelezea upweke hajaelezea kukosa huduma unaweza kuwa na kilakitu ndani lakini upweke ukakusesha faraja, na unaweze kua na upungufu wa huduma lakini maliwazo yakakupa farajaMtoa uzi upo sahihi kwa sehemu fulani lakini kwanini usomeshe watoto wako ukisubiri kupewa faraja huko uzeeni na bahati mbaya sana unakuja kupata matarajio usiyoyafurahia na kupelekea kufa mapema. Kama mzazi umebarikiwa kupata watoto basi fanya kwa uwezo wako kuwatunza, kuwasomesha na yote yanayowastahili kama watoto wako lakini usiwafanyie watoto wako yote hayo ili upate kitu in return kutoka kwa hao watoto wako utajifia mapema sana. MAISHA NI KUISHI, Wasomeshe watoto ila usisahau KUISHI, Enjoy the World.!
Hata Ivo nimeghairi...uzee nitapanga then nyumba yangunitapangisha😔Haaaya, nilitaka kujua tu unaongelea nyoka au nyoka?
Sasa nishakufahamu. Sasa unataka nyoka kila kona na watoto kibao nyumbani uzeeni itakuwaje hapo?
Huoni hatari?
Upweke kuupata uzeeni wakati maisha yote ulijua upweke wa uzeeni unakuja ni ujinga fulani hivi.Wewe hujamuelewa mtoa mada upweke na huduma ni vitu viwili tofauti mtoa mada kaelezea upweke hajaelezea kukosa huduma unaweza kuwa na kilakitu ndani lakini upweke ukakusesha faraja, na unaweze kua na upungufu wa huduma lakini maliwazo yakakupa faraja
Wewe mpaka uzee ufike utakuwa ushaghairi ulichopindua baada ya kughairi 🙂Hata Ivo nimeghairi...uzee nitapanga then nyumba yangunitapangisha😔
Mimi sitojutia na nimejiandaa kwa hilo,kwani mtaani hakuna vijiwe?Wazazi wengi, wanajitahidi sana kusomesha watoto wao ili huko mbeleni wawe na maisha mazuri au wasiwe tegemezi.
Watoto wakishahitimu, uanzisha maisha yao, kwa kujitegemea pamoja na kuwa mbali na wazazi wao; wakuoa wataoa, na wakuolewa wataolewa.
Changamoto inayojitokeza, ni wazazi kubaki wenyewe, na kukosa watu wa kuwafariji pale wanapohitaji faraja. Wengi hubaki na vijana wakazi, ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi kuumaliza msongo wa mawazo wa wahusika.
Uzee ni umri unaohitaji kuwa karibu sana na uzao wako, kwa kufurahi pamoja na kupeana faraja; ingawa wazee wengi hawapati hiyo fursa kutokana na uzao wao kuwa mbali nao, hii inawapelekea kujutia uzao wao.
Wenzetu wa Asia wamejaribu kudhibiti hii hali, kwa kuishi na uzao wao kwenye boma moja, lengo kuu ni kudhibiti hali ya upweke huko uzeeni.
Karibuni wakuu, kwa maoni.
Kupeleka mtoto wako akalelewe na baba yako ni uzembe. ufumbuzi ni mzee asikubali mpangilio wa watoto wanne(4)tu eti basi zalisha mpaka mbegu ziisheWajukuu si wapo, shida nini
Bado kidogo sana mkuuWewe mpaka uzee ufike utakuwa ushaghairi ulichopindua baada ya kughairi 🙂