Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kausha kijana wangu this is jf usichukulie siriazNani alikuonesha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kausha kijana wangu this is jf usichukulie siriazNani alikuonesha?
Siriaz ndo nini?Kausha kijana wangu this is jf usichukulie siriaz
Wacha weeeAmepanda sanaaaaa. Diwani kwa sasa ni boss wa kila mtu anaereport kwa presdaa. Mkuu wa majeshi anarwport kwa rais. Mawaziri wote wanareport kwa rais. Idara ya usalama wa taifa inareport kaa raia. Yeye niboss co for now he is the boss og watumishi wootw wa raia
Amepanda au ameshuka wewe inakuhusu nini?Kuuliza si ujinga , kapanda au kashuka ?
Una hakika??Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Niluwahi kusikia kwa mtu mmoja kwamba Katibu Mkuu Kiongozi ofisi yake haitakiwi kuwa Ikulu. Katibu Mkuu Ikulu ndio ofisi yake inatakiwa kuwa Ikulu na hivyo yeye ni Mkuu wa Watumishi wa Ikulu.Katibu Myeka ndio nasikia leo hilo neno Myeka ila sidhani ndio chief staff. Katibu wa Ikulu ndio mkuu wa shughuli za Ikulu that equates to ‘chief of staff’.
Katibu wa wizara ya mambo ya ndani on paper ni mkubwa kuliko mkuu wa idara ya usalama na katibu mkuu kiongozi ndio boss wao ambae yupo Ikulu.
Chief Staff ndio head ndani ya Ikulu wa watumishi wote kila anachoambiwa raisi na yeye anatakiwa kukijua na ndio mshsuri wake mkuu kwenye maamuzi na nchi nyingi anaingia vikao vya baraza la mawaziri kwa sababu kila anachoshauriwa raisi na yeye lazima akijue.
Je, hapo kabla Diwani hajawahi kutuwakilisha Zimbabwe?Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
Kwa majukumu yapi na bajeti ipi?Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Awapi, huyo unamzungumzia KMKMkuu wa makatibu wakuu pamoja na mabalozi cndio
Kwa nini asilipwe wa Katibu Mkuu Ikulu hata kama ni mdogo au mkubwa kuliko wa TISS?Hizi ni Taasisi mbili tofauti kwaio kulinganisha ni ngumu kidogo ila cha msingi kama mshahara wa Tiss kama ni kubwa kuliko KM ateendelea kulipwa huo mshahara ila kama wa KM ni mkubwa atalipwa wa KM waio hana cha kupoteza
Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Tofauti ya ya nilichoandika na ulichoandika ni maneno niliyo chagua ila yana maana moja. Kama Mkuu wa watumishi wa wizara Moja ni Katibu Mkuu na KMK ni Mkuu wa Makatibu wakuu wote, Ina maana basi KMK ni Mkuu wa Watumishi wote wa Serikali.Elimu yako ulipata wapi aisee, Katibu Mkuu kiongozi ni Mkuu wa utumishi wa umma.
Katibu wa Baraza la Mawaziri.
Katibu mkuu ikulu yuko chini ya katibu mkuu kiongoziSijabisha katibu mkuu kiongozi ni mtu mkubwa sana akiwa kama head of civil service makatibu wakuu wote yeye ndio boss wao na idara zote za serikali.
Na katibu wa Ikulu pia sio mtu mdogo yeye ndio ana control maswala ya Ikulu including taarifa za katibu mkuu kwa raisi; sasa nani mkubwa kati ya hao wawili inategemea na nchi.
Ila tulipo kopa katiba chief of staff ni mkubwa zaidi ya katibu mkuu kiongozi. Sijasema na Tanzania ni hivyo.
Either way kwa Diwani ni promotion (on paper) kutoka kuongoza Idara, kwenda Ikulu.