Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
Sasa mbona wanaume munawadangia wazunguUnaelewa maana ya utalii na watalii kweli? Kama matukio ya utapeli yangekuwa yanajitokeza mara kwa mara, tusingeona Arusha na Tanzania watalii wanafurika kila siku.
Arusha ni salama kwa wageni na mgeni anajihisi yupo sehemu salama kabisa kutofautisha na mgeni akiwa Dar es salaam anamwona kila mtu ni mwizi na tapeli.
Ataki kuamin ukija tena nipigieNone of the two,
Siyo mara moja wala siyo mara mbili na unachokisema hakijawahi tokea..!!
Enweiz, tusharudi zetu Makao Makuu tunakula zabibu..!!
Mwachiluwi mbona wanaume wa mikoani wana vigezo vyote ulivyoongelea?? halafu mnasema mikoani, mikoa ni mingi be specific.... huwezi linganisha arusha na songea
Ni culture yao, tuliaIlo nakataa mbona arusha wapo na wanavaa vikuku kwa kisingizio culter
WeeWanaume wa arusha tunajua mnawadangia wazungu ilo halina ubishi
Kudanga sawaNi culture yao, tulia
kati ya mimi na wewe nani anadanga bruhKudanga sawa
Niny wa arusha mnadangia wazungukati ya mimi na wewe nani anadanga bruh
hujaleta hoja ya msingi bado.....Wanaume wa arusha tunajua mnawadangia wazungu ilo halina ubishi
ninyi wa dar mnakazana sentabolti mnapost twitterNiny wa arusha mnadangia wazungu
Njoo nawe basiKudanga sawa
Wewe lete yako tyonehujaleta hoja ya msingi bado.....
Sio wameru na waarusha?Magasho wamejazana hapo Bongo, Arusha Magasho wengi wametoka kanda ya mashariki..
Mimi nategemewa na familia af najua kufanya kaziNjoo nawe basi
Anakataaa wakat noel kinara anatokea uko ukoSio wameru na waarusha?
SawaMimi nategemewa na familia af najua kufanya kazi
Acha kufurahishaninyi wa dar mnakazana sentabolti mnapost twitter
Watasikia karibuSawa
Wasalimie huko Mbeya