MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Inaumiza Sana .
Mungu msaidie zaidi na zaidi huyo kijanaa .Amina .
Hapo afungue kesi ya kusumbuliwa na mtu asiyemjua akijitanabisha kuwa mzazi ,wakifika huko mzazi akijieleza kuwa mzazi kijana amakane mbele ya mahakama kuwa hataki kuwa na baba wa aina yake na hivyo hataki usumbufu wowote japokuwa yote yafanyike mama mtu akiwa karidhia kuwa hampendi bwana yake ,asijeharibu sherehe mahakamani akasema anamtambua Kama mumewe maana mapenzi Yana nguvu Sana man
Mungu msaidie zaidi na zaidi huyo kijanaa .Amina .
Hapo afungue kesi ya kusumbuliwa na mtu asiyemjua akijitanabisha kuwa mzazi ,wakifika huko mzazi akijieleza kuwa mzazi kijana amakane mbele ya mahakama kuwa hataki kuwa na baba wa aina yake na hivyo hataki usumbufu wowote japokuwa yote yafanyike mama mtu akiwa karidhia kuwa hampendi bwana yake ,asijeharibu sherehe mahakamani akasema anamtambua Kama mumewe maana mapenzi Yana nguvu Sana man